DOKEZO Mtanzania huyu alikuja Marekani kusoma, akapata changamoto ya Akili, sasa hivi anaishi Mtaani, anahitaji msaada

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Sad
 
Kama ni rahisi hivyo, fanya ndio umeipata hii habari, unamsaidia vipi huyo dada maana mleta mada kashindwa kaishia tu "KUMCHORESHA"? Au na wewe msaada wako umeishia kwenye kufyonza?
Mie niko mbali na huyo dada, yeye ndie yuko karibu nae, aanze yeye huku akisubiri msaada kutoka kwangu.
 
Inawezekana kuna mengi sana huyu balozi wetu ameyakalia kimya kuhusu hao watu wetu, Rais Samia afanye kitu hapa. Hakuna balozi pale afanye mishe nyengine tu aachishwe hiyo kazi ina wenyewe.
Hii taarifa ikisambaa zaidi kwenye media itamharibia rais wetu kwa mtu mmoja tu asiyewajibika huko.
 
She is beautiful
 
Akaita tu police akapelekwa kwa nguvu
Nashangaaa na huko texas watz ni wengi sana
Watanzania wachawi sana, ingekuwa ni Mkenya wangemstiri mwenzao.

Imagine hapo Texas kuna community za Watanzania, mnashindwa vipi kuita Ambulace tu huyo akapelekwa hospitali kupata matibabu?

Federal government inawalipa some health agencies kuwatunza watu kama hao, nadhani ndio kazi zenye malipo makubwa tena kama Australia sasa hivi wameshusha kodi kwenye mishahara unalipwa mpaka laki 4 za Kitanzania kwa siku.
 
Mimi naona mtoa mada yupo sahihi, angeanzisha mada bila picha au video ungedai picha na hata video. Amefanya hivyo ili ndugu, rafiki, jamaa, majirani na waliosoma pamoja wamtambue ili msaada uwe rahisi kupatikana.
 
Nasimama na mtoa mada, hao wengine waliopinga kisa sijui human right and privecy sijui nini hawa ndiyo aina ya watu wanaondekeza issue za ushoga ni wapiga kelele tu.
Sasa ushoga hapa unahusu nn? Umevurugwa na ushoga eeeh?
Poleeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…