Mtanzania kufia Ukraine Tanzania iidai Urusi fidia

Mtanzania kufia Ukraine Tanzania iidai Urusi fidia

SAS kama mtu kakubali kwenda vitan why usiamin alikamatwa na dawa za kulevya kisa elim
Tabia yake kutokana na maelezo ya ndugu zake ni mtu anaependa secluded life, sio wa kujichanganya, hana marafiki wengi, amesoma degree ngumu, haujui mji vizuri (it takes knowledge ya mitaa kusukuma kete), age yake doesn’t fit with the usual profile.

Ni ngumu sana kuamini kama huyo mtu anaweza sukuma kete.

Kuhusu kuingia vitani hilo swala limeongelewa sana na vyombo vya kimataifa how Russia is forcefully using jail inmates to engage in the war.

Sasa hujui mtu alikuwa kwenye position gani mentally kukaa jela bila ya kesi kusikilizwa miezi nenda miezi rudi is stressful enough na wala hujui mahusiano yake na wafungwa, wala aina ya jela yenyewe sehemu zingine lockup ni 23 hours.

Ndio shida ya kupeleka diplomats kwa kupendeleana na kuacha trained civil servants fit for those posts. Yaani mwanafunzi yupo jela ubalozi haujui kijana wa watu anatumiwa kama chombo na vita ya wengine na mpaka anafariki hawana habari.

Bongo poa tu, ila hii skendo nchi nyingine inaondoka na ajira za watu kadhaa, very incompetent people.
 
Cha kwanza alikuwa mfungwa. Mfungwa hana maamuzi wala uchaguzi. Hadi kupiga kura bongo hayuko eligible.

Weka wako sasa kuwa alikwenda kwa ridhaa yake.
Lete sheria za urusi zinasema mfungwa hana uchaguzi.

Alienda vitan kwa ridhaa yake, kuthibitisha hili familia yake inasema aliwatarifu kuwa kuna kwenda vitan kisha kuwa huru na kubali Gerezan for 7 years kisha kuwa huru ,familia ilimkataza but akaamua kwenda vitan kwa kauli ya "huwez jua uwenda nkapata uhuru wangu"
 
Familia ya nani ina cha kufanya na jinai? Yalikataliwa ya Kingai na wenziwe mahakamani sembuse ya wamasai uchwara mnaowakusanya kutokea kwenye runinga kuwa ni wakazi wa Ngorongoro?
Hivi unachoandika unarudia kukisoma au unaandika unatuma tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Lete sheria za urusi zinasema mfungwa hana uchaguzi.

Alienda vitan kwa ridhaa yake, kuthibitisha hili familia yake inasema aliwatarifu kuwa kuna kwenda vitan kisha kuwa huru na kubali Gerezan for 7 years kisha kuwa huru ,familia ilimkataza but akaamua kwenda vitan kwa kauli ya "huwez jua uwenda nkapata uhuru wangu"
Hiyo siyo ridhaa yake ni coerced kutokana na situation yake.

Ridhaa ni pale upo huru kuamua, unaenda mwenyewe kujiandikisha.

Lakini kupewa option ya kuchagua under difficult circumstances huo sio uhuru.
 
Lete sheria za urusi zinasema mfungwa hana uchaguzi.

Alienda vitan kwa ridhaa yake, kuthibitisha hili familia yake inasema aliwatarifu kuwa kuna kwenda vitan kisha kuwa huru na kubali Gerezan for 7 years kisha kuwa huru ,familia ilimkataza but akaamua kwenda vitan kwa kauli ya "huwez jua uwenda nkapata uhuru wangu"

Nikadhani kutokea post #102 tukategemea:

"Unaweka uthibitisho wako sasa kuwa alikwenda kwa ridhaa yake"

Kumbe yale yale ya kuruka ruka kama bisi?

Hata hivyo umeielewa mada lakini?

"Uko wapi uhalali wa Russia kuwatumia wafungwa wake na hasa huyu mtanzania mwenzetu kwenye vita vyake kokote duniani?"

Kumjibia Putin hapa labda kama wewe ni dalali wake.
 
Hivi unachoandika unarudia kukisoma au unaandika unatuma tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Si unajua kuwa kuelewa siyo attribute ya kila mtu?

Beberu akisema - si kila jambo huwa kwa kila Tom, Dick au Harry kuelewa.

Kwamba mburula mmoja wewe hukuelewa jambo why should that concern me? 🤣🤣🤣
 
Hiyo siyo ridhaa yake ni coerced kutokana na situation yake.

Ridhaa ni pale upo huru kuamua, unaenda mwenyewe kujiandikisha.

Lakini kupewa option ya kuchagua under difficult circumstances huo sio uhuru.

Akikuelewa huyo mburula tuambie niko pale ninasubiri.
 
Hiyo siyo ridhaa yake ni coerced kutokana na situation yake.

Ridhaa ni pale upo huru kuamua, unaenda mwenyewe kujiandikisha.

Lakini kupewa option ya kuchagua under difficult circumstances huo sio uhuru.
Ridhaa ni pale upo huru kuamua.Sas kwan taarifa siilitolewa public kwa wafungwa wote kisha yey akaenda kujarib bahat yake.Uhuru unaanza na option zaid ya moja kitendo cha kuambiwa chagua kwenda Ukraine au kubaki jela ni uhuru wa kuchagua alipewa. Angegoma asingelazimishwa angesubir mpka miaka saba kuisha au vyovyote vile.

Msitake kuilaumu urusi kwa blabla njooni na sheria za wafungwa kimataifa tujadili tuone kama ni sawa au si sawa sio blabla za kihisia mnazoonesha
 
Nikadhani kutokea post #102 tukategemea:

"Unaweka uthibitisho wako sasa kuwa alikwenda kwa ridhaa yake"

Kumbe yale yale ya kuruka ruka kama bisi?

Hata hivyo umeielewa mada lakini?

"Uko wapi uhalali wa Russia kuwatumia wafungwa wake na hasa huyu mtanzania mwenzetu kwenye vita vyake kokote duniani?"

Kumjibia Putin hapa labda kama wewe ni dalali wake.
Nshakuletea uthibitisho wa hiari yake marehem, nenda page ya millard ayo katafute post familia yake ikiongea kuhus hili swala.

Pili sis hatujui kama ni sawa au si sawa mfungwa kwenda vitan so njo na uthibitisho kuonyesha mfugwa hapswi kwenda vitan.
 
Ridhaa ni pale upo huru kuamua.Sas kwan taarifa siilitolewa public kwa wafungwa wote kisha yey akaenda kujarib bahat yake.Uhuru unaanza na option zaid ya moja kitendo cha kuambiwa chagua kwenda Ukraine au kubaki jela ni uhuru wa kuchagua alipewa. Angegoma asingelazimishwa angesubir mpka miaka saba kuisha au vyovyote vile.

Msitake kuilaumu urusi kwa blabla njooni na sheria za wafungwa kimataifa tujadili tuone kama ni sawa au si sawa sio blabla za kihisia mnazoonesha

Kwamba "taarifa siilitolewa public Kwa wafungwa wote .. Kisha yeye akaenda kujaribu bahati yake..", uthibitisho wako uko wapi?

Kwamba "angegoma asingelazimishwa ...." Unasema hivyo kama nani na Kwa uthibitisho upi?
 
Mtu ameamua kwa hiari yake kujiunga na Russia tatizo lipo wapi hapo?
Hivi angefanikiwa kurudi Salama na kulipwa mkwanja $ ndefu,.

Angeipa serikali ya Tanzania kiasi gani?

Kuna madai mengine ukidai utaonekana mwehu..


Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
Tunapenda watu kama hawa na nchi fulani watu kama hawa ndiyo wanatakiwa kuwepo!

Ova
 
Nshakuletea uthibitisho wa hiari yake marehem, nenda page ya millard ayo katafute post familia yake ikiongea kuhus hili swala.

Pili sis hatujui kama ni sawa au si sawa mfungwa kwenda vitan so njo na uthibitisho kuonyesha mfugwa hapswi kwenda vitan.
Uko wapi huo uthibitisho? Sijauona mkuu.
 
Si unajua kuwa kuelewa siyo attribute ya kila mtu?

Beberu akisema - si kila jambo huwa kwa kila Tom, Dick au Harry kuelewa.

Kwamba mburula mmoja wewe hukuelewa jambo why should that concern me? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Njo na nakala ya kifungu cha sheria kinasema mfungwa kwenda vitan ni kosa. Kama huna nakupa masaa 72 kakitafute.

Acha drama [emoji23][emoji23].

Mim hata sikutukan
 
Kwamba "taarifa siilitolewa public Kwa wafungwa wote .. Kisha yeye akaenda kujaribu bahati yake..", uthibitisho wako uko wapi?

Kwamba "angegoma asingelazimishwa ...." Unasema hivyo kama nani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nshakwambia nenda millard ayo katafute post familia ikiongelea hili swala ndo uhiari utauona pale.

Kingne njoo na uthibitisho kuonyesha mfugwa wa kimataifa awez kwenda vitan.

[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41] mnaleta siasa kweny logic.
 
Uko wapi huo uthibitisho? Sijauona mkuu.
Eti nenda page millard ayo,kwani kila habari millard ndiyo ina uhakika asilimia 100,yeye mwenyewe anaokota okota habari tu
Mm hyu mwamba hata simlaumu kwa hatua yKe kwanza watu aina hii ndy wanatakiwa kuwepo

Ova
 
Ridhaa ni pale upo huru kuamua.Sas kwan taarifa siilitolewa public kwa wafungwa wote kisha yey akaenda kujarib bahat yake.Uhuru unaanza na option zaid ya moja kitendo cha kuambiwa chagua kwenda Ukraine au kubaki jela ni uhuru wa kuchagua alipewa. Angegoma asingelazimishwa angesubir mpka miaka saba kuisha au vyovyote vile.

Msitake kuilaumu urusi kwa blabla njooni na sheria za wafungwa kimataifa tujadili tuone kama ni sawa au si sawa sio blabla za kihisia mnazoonesha
Definition yako ya mtu huru na freewill ina tatizo.

Maana ya mtu ni yule anaefanya maamuzi bila ya pressure zozote.

Sasa utasemaje ni maamuzi huru wakati kuna option ya kukaa jela miaka saba au kujaribu kununua uhuru wako kwa kwenda vitani.

Vitu vingine kubishana ni kazi na mtu ambae ajawahi nor attempt to envision the circumstances of others.

Hivi we ufungwe jela miaka saba halafu ni 23 hours lock up labda, huna ndugu huko wa kuja kukutembelea, wafungwa wenzie sio culture yako, chakula sio chako, hujui utemi uliopo humo jela; do you understand the psychological deprivation and desperation ya kuutaka uhuru in that situation.

Halafu mtu anakuja katika situation hiyo anakupa option ya kwenda vitani uelewi mazingira yenyewe, ya vita, hujui mashambulizi wanayopokea tofauti na wewe unaesoma propaganda za pande zote huku mtaani. Mwenzako kama anapata hizo habari za vita basi ni kupitia News za Russia media propaganda ambazo zitasema wanashinda na very little loss of lives. Halafu katika hilo hiyo wanakwambia labda role yako sio front line and so forth ni kusaidia tu labda wana jeshi katika logistic you more likely to join.

Ni hivi ni ujuha wa hali ya juu kusema maamuzi yake yalikuwa huru wakati uelewi mazingira alivyokuwa nayo jela.
 
Back
Top Bottom