Mtanzania kufia Ukraine Tanzania iidai Urusi fidia

Eti nenda page millard ayo,kwani kila habari millard ndiyo ina uhakika asilimia 100,yeye mwenyewe anaokota okota habari tu
Mm hyu mwamba hata simlaumu kwa hatua yKe kwanza watu aina hii ndy wanatakiwa kuwepo

Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwaio wale wanaosema walimkataza tarimo kujiunga ila akagoma akidai anatak uhuru wake,ni watu wamepangwa kupotosha au unamaanisha nn?
 
Uthibitisho wako uko Millard Ayo? 🤣🤣🤣

Nimekuelewa mkuu.
 
Okay sawa hakuwa huru.Na mtu kuwa Gerezan ni sawa na kutokuwa huru hana kauli tafsir anaongozwa kila kitu yey ndio. So nisingeshangaa if mrusi angeenda akapick wafungwa akapeleka vitan.

Naamin dunia kwa kulijua hili kuna sheria za kuwalinda hawa watu wasio na uhuru.

Kitu nahitaj kutoka kwenu ni uthibitisho wa kuonyesha hiki alichofany mrusi ni kosa kisheria. No room for feelings only vifungu vya sheria juu ya hili swala, kwamba according to sheria hii mrusi yupo hatiani
 
Eti millard ayo wao wenyewe wanaokotakota mitandaoni habari

Ova
Kwahio ulitak al Jazeera waje waihoji familia ya tarimo ndo muamini yey ndo alichagua kwenda vitan [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

Kweli ujinga hauna umri [emoji41].
 
Pitia ‘UN declaration of human rights’ utaona haki zake. Zilizovunjwa

Kuwekwa jela muda mrefu bila ya kesi yake kusikilizwa

Kuwa recruited kwenye vita ya nchi nyingine akiwa under pressure

Mashaka ya juu ya kesi ya msingi

Na mambo luluki ukipitia human rights act.

Personal kwetu kumekucha muda wa mambo mengine sina muda kwa sasa kuipitia hiyo sheria nor other international conventions rules of war engagements.

Nonetheless it’s not hard to see his rights were violated, mistreated and abused leading to his death.

👋
 
Sakata lenyewe la madawa siyo kama aliwahi kujihusisha na biashara hyo

Ndg wanakuambia mwanamke ndiyo alimchomekea madawa ili kumkomoa,baada ya mwamba kumcheat mwanamke wake na mwanamke mwingine...

Ova
 
Sakata lenyewe la madawa siyo kama aliwahi kujihusisha na biashara hyo

Ndg wanakuambia mwanamke ndiyo alimchomekea madawa ili kumkomoa,baada ya mwamba kumcheat mwanamke wake na mwanamke mwingine...

Ova
Mbona ndugu wanasema hawajui chochote zaid ya ndugu yao kwenda kusoma [emoji23][emoji41].
 
Ngoja nipitie
 
Cha kwanza alikuwa mfungwa. Mfungwa hana maamuzi wala uchaguzi. Hadi kupiga kura bongo hayuko eligible.

Weka wako sasa kuwa alikwenda kwa ridhaa yake.
Rip Nemes....

Kuna uwezekano mkubwa huyu kijana alilazimishwa kwenda vitani.

Urusi kwa sasa ni sehemu hatari kuwa huko.
 
Inasikitisha sana......Kuna uwezekano kesi ilikuwa pia ya kubambikwa tu halafu ikawa inapigwa tarehe kila mara mwishowe akalazimishwa kwenda vitani.... inasikitisha sana..
 
Mtanzania mwenzetu kafia Ukraine kwa niaba ya Russia.

Kulikoni Serikali ya Urusi ikamfikisha Mtanzania mwenzetu huko vitani ndani ya kombati zake?

Wako wapi wanasheria wetu?

Haipo fursa ya maana hapa dhidi ya Putin?
akili za kitoto
 
Umesema sahihi sana.
 
Mfungwa hasa ambaye sio mwanajeshi hapaswi kupewa uchaguzi kama huo.
Hilo lililofanyika ni jambo la hovyo sana.
Aliambiwa achague kutumikia kifungo chake au atolewe akapigane mkabala na wagner group
 
Hujui usemalo. Mfungwa anaweza kufanyishwa kazi zozote na yule anayemfunga. Haki zake hurejea anapomaliza kifungo chake. Hivyo, mnaodhani mtapata fedha tokana na kadhia hii mnajidanganya. Isitoshe, mwamba wenyewe Urusi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…