Mtanzania kwafukuta, Absalom Kibanda kupewa likizo ya lazima kupisha uchaguzi Mkuu

Mtanzania kwafukuta, Absalom Kibanda kupewa likizo ya lazima kupisha uchaguzi Mkuu

Muda wa kutumikia KAMA team lowasa umekwisha wacha aingie team mangufuli amalizie maja kwa moja .kutesa kwa zamu
 
Kura yako moja tu? Mimi ninazo zaidi ya 20 kwa Lowasa.
 
Wakuu,

Mhariri Mtendaji wa gazeti la Mtanzania, Absalom Kibanda, ametakiwa kuenda likozo kwa lazima kwa ajili ya kupisha uchaguzi Mkuu unaotegemewa kufanya Oktoba 25, 2015.

Imebainika kuwa sababu kubwa itakayotolewa na ndugu Kibanda ni kuwa anaenda kwenye matibabu nje ya nchi.

Aidha Mhariri Mwandamizi, Kulwa Karedia, ataenda likizo ya lazima kwa kipindi hicho na nafasi za wawili hao zitachukuliwa na ndugu, Michael Mande amabaye ni kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) aliyegombea kura za maoni za ubunge kwa tiketi ya CCM na kuanguka huko Masasi.

Kwa hali ilivyo sasa, haijulikani ninani yuko nyuma ya hili jambo, ninaendelea kufuatilia sakata hili kw akaribu zaidi, pindi nitakapopata taarifa kamili nitawajulisha.

Itakumbukwa kuwa Kibanda kwa muda mrefu sasa amekuwa mtu wa karibu na Mgombea Urais kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Edward Lowassa, tangu alipotangaza kujiunga na chama hicho.


Asante
Mkuu kibanda si ndiye aliye pofuliwa na zile filamu za CCM za ugaidi????
 
Mpaka mjinyee kama mgombea wenu mwaka huuu, na bado mnadhani kura za sisiem mpaka kibanda ahusike? Miaka yoote ccm inashinda huyo kibanda alikuwa likizo, subirini mtasingizia sana. Mara idadi ya wapiga kura, kulinda kura sijui nini mliyataka wenyewe kwani simwambie fisadi lenu amnunue aiende likizo au hela zimeisha? Kura yangu ni kwa MAGUFURI.

Rostam ni mjanja! Kaona lowasa hashindi na kamtosa. Nje ya CCM lowasa hana faida.
 
Wakuu,

Mhariri Mtendaji wa gazeti la Mtanzania, Absalom Kibanda, ametakiwa kuenda likozo kwa lazima kwa ajili ya kupisha uchaguzi Mkuu unaotegemewa kufanya Oktoba 25, 2015.

Imebainika kuwa sababu kubwa itakayotolewa na ndugu Kibanda ni kuwa anaenda kwenye matibabu nje ya nchi.

Aidha Mhariri Mwandamizi, Kulwa Karedia, ataenda likizo ya lazima kwa kipindi hicho na nafasi za wawili hao zitachukuliwa na ndugu, Michael Mande amabaye ni kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) aliyegombea kura za maoni za ubunge kwa tiketi ya CCM na kuanguka huko Masasi.

Kwa hali ilivyo sasa, haijulikani ninani yuko nyuma ya hili jambo, ninaendelea kufuatilia sakata hili kw akaribu zaidi, pindi nitakapopata taarifa kamili nitawajulisha.

Itakumbukwa kuwa Kibanda kwa muda mrefu sasa amekuwa mtu wa karibu na Mgombea Urais kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Edward Lowassa, tangu alipotangaza kujiunga na chama hicho.

Asante
Nina hakika Rostam pamoja na uswahiba wake na Lowassa yuko nyuma ya hili.
 
Wakuu,

Mhariri Mtendaji wa gazeti la Mtanzania, Absalom Kibanda, ametakiwa kuenda likozo kwa lazima kwa ajili ya kupisha uchaguzi Mkuu unaotegemewa kufanya Oktoba 25, 2015.

Imebainika kuwa sababu kubwa itakayotolewa na ndugu Kibanda ni kuwa anaenda kwenye matibabu nje ya nchi.

Aidha Mhariri Mwandamizi, Kulwa Karedia, ataenda likizo ya lazima kwa kipindi hicho na nafasi za wawili hao zitachukuliwa na ndugu, Michael Mande amabaye ni kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) aliyegombea kura za maoni za ubunge kwa tiketi ya CCM na kuanguka huko Masasi.

Kwa hali ilivyo sasa, haijulikani ninani yuko nyuma ya hili jambo, ninaendelea kufuatilia sakata hili kw akaribu zaidi, pindi nitakapopata taarifa kamili nitawajulisha.

Itakumbukwa kuwa Kibanda kwa muda mrefu sasa amekuwa mtu wa karibu na Mgombea Urais kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Edward Lowassa, tangu alipotangaza kujiunga na chama hicho.


Asante

Taarifa za uhakika ni kwamba Dennis Msaki na Samson Mfalila waliokuwa mwananchi na kuamia New Habari ccoperation kwa minajiri ya kumjenga Lowassa katika harakati zake za kuusaka urais, sasa wanasakamwa sana mpaka Mfalila kakimbilia Nipashe na Msaki naye very soon atasepa.
Kumbuka Kibanda, Msaki, Mfalila, Meena na wengine kadhaa wamekwisha apa kufa na Rais wao Lowassa
 
Wakuu,

Mhariri Mtendaji wa gazeti la Mtanzania, Absalom Kibanda, ametakiwa kuenda likozo kwa lazima kwa ajili ya kupisha uchaguzi Mkuu unaotegemewa kufanya Oktoba 25, 2015.

Imebainika kuwa sababu kubwa itakayotolewa na ndugu Kibanda ni kuwa anaenda kwenye matibabu nje ya nchi.

Aidha Mhariri Mwandamizi, Kulwa Karedia, ataenda likizo ya lazima kwa kipindi hicho na nafasi za wawili hao zitachukuliwa na ndugu, Michael Mande amabaye ni kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) aliyegombea kura za maoni za ubunge kwa tiketi ya CCM na kuanguka huko Masasi.

Kwa hali ilivyo sasa, haijulikani ninani yuko nyuma ya hili jambo, ninaendelea kufuatilia sakata hili kw akaribu zaidi, pindi nitakapopata taarifa kamili nitawajulisha.

Itakumbukwa kuwa Kibanda kwa muda mrefu sasa amekuwa mtu wa karibu na Mgombea Urais kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Edward Lowassa, tangu alipotangaza kujiunga na chama hicho.


Asante

Kibanda kutoka ni advantage sana kwa Ukawa, nyie ndio hamjui.....
 
Kibanda alitekwa na nani? Dr Ulimboka? Hii nchi lazima irudishwe kwenye mstari .....
Mambo ya msingi watu wanaingiza siasa kwa watu wanaoamua kusimamia maslahi ya nchi na utu wao ....
 
Wakuu,

Mhariri Mtendaji wa gazeti la Mtanzania, Absalom Kibanda, ametakiwa kuenda likizo kwa lazima kwa ajili ya kupisha uchaguzi Mkuu unaotegemewa kufanya Oktoba 25, 2015.

Imebainika kuwa sababu kubwa itakayotolewa na ndugu Kibanda ni kuwa anaenda kwenye matibabu nje ya nchi.

Aidha Mhariri Mwandamizi, Kulwa Karedia, ataenda likizo ya lazima kwa kipindi hicho na nafasi za wawili hao zitachukuliwa na ndugu, Michael Mande amabaye ni kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) aliyegombea kura za maoni za ubunge kwa tiketi ya CCM na kuanguka huko Masasi.

Kwa hali ilivyo sasa, haijulikani ninani yuko nyuma ya hili jambo, ninaendelea kufuatilia sakata hili kw akaribu zaidi, pindi nitakapopata taarifa kamili nitawajulisha.

Itakumbukwa kuwa Kibanda kwa muda mrefu sasa amekuwa mtu wa karibu na Mgombea Urais kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Edward Lowassa, tangu alipotangaza kujiunga na chama hicho.


Asante

=========
UPDATE:

JamiiForums imeongea na Absalom Kibanda (ambaye pia ni mwanachama wa JamiiForums), amekiri kuna jambo kama hili lakini akasisitiza lipo tofauti na lilivyoandikwa hapo juu. Ataingia JF kufafanua akipata muda lakini kasisitiza kuwa yeye hajalazimishwa kwenda likizo bali kaamua kukaa kando kwa muda


bado kura yangu iko kwa ukawa tu
 
Back
Top Bottom