Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Owner sio Manji? Manji ni.ukawa au ccm? Ccm.i.think. Mtanzania limenunulika sana kwa kuandika ukweli. Kama watachange wahesabu maumivu kununulika
Mkuu Anonymous, kwanza asante kwa habari kama hii, toka jikoni kabisa!, unaonyesha wewe uko mule mule kunako, sasa for curiosity tuu, why toka Join Date : 3rd February 2006, hadi leo, umePosts : 11 tuu?!.Wakuu,
Mhariri Mtendaji wa gazeti la Mtanzania, Absalom Kibanda, ametakiwa kuenda likizo kwa lazima kwa ajili ya kupisha uchaguzi Mkuu unaotegemewa kufanya Oktoba 25, 2015.
Imebainika kuwa sababu kubwa itakayotolewa na ndugu Kibanda ni kuwa anaenda kwenye matibabu nje ya nchi.
Aidha Mhariri Mwandamizi, Kulwa Karedia, ataenda likizo ya lazima kwa kipindi hicho na nafasi za wawili hao zitachukuliwa na ndugu, Michael Mande amabaye ni kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) aliyegombea kura za maoni za ubunge kwa tiketi ya CCM na kuanguka huko Masasi.
Kwa hali ilivyo sasa, haijulikani ninani yuko nyuma ya hili jambo, ninaendelea kufuatilia sakata hili kw akaribu zaidi, pindi nitakapopata taarifa kamili nitawajulisha.
Itakumbukwa kuwa Kibanda kwa muda mrefu sasa amekuwa mtu wa karibu na Mgombea Urais kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Edward Lowassa, tangu alipotangaza kujiunga na chama hicho.
Asante
=========
UPDATE:
JamiiForums imeongea na Absalom Kibanda (ambaye pia ni mwanachama wa JamiiForums), amekiri kuna jambo kama hili lakini akasisitiza lipo tofauti na lilivyoandikwa hapo juu. Ataingia JF kufafanua akipata muda lakini kasisitiza kuwa yeye hajalazimishwa kwenda likizo bali kaamua kukaa kando kwa muda
Hiyo mahakama ipo ilianzishwa na Nyerere tangu mwaka 1984, ukimsikiliza mgonjwa wa akili amtafananishwa akili, muulize mwanasheria anayepractise law atakueleza, siyo wanasheria aina ya Riziwani wanaojuwa wizi na mlango wa mahakama hawajawahi kukanyaga.Katiba ipi inaruhusu uanzishwaji wa hiyo mahakama?
Kati ya mafisadi 11 waliotangazwa Mwembeyanga, 10 wapo CCM akiwemo JK, hiyo mahakama itakuwa ni kwa ajli ya hao!
Mkuu Anonymous, kwanza asante kwa habari kama hii, toka jikoni kabisa!, unaonyesha wewe uko mule mule kunako, sasa for curiosity tuu, why toka Join Date : 3rd February 2006, hadi leo, umePosts : 11 tuu?!.
Hili la kupunzishwa Kibanda iwe ni likizo or not, hata lisinge tokea sasa, lingetokea tuu baada ya October 25!, kwa sababu kwa maoni yangu, huyu ndiye ata head ile Kurugenzi!.
Lowassa anaingia Ikulu kwa ulaini kama kumsukuma mlevi!, no one can stop him!.
Pasco
Unachekelea nini sasa wakati ksh1000 ni sawa na 21000tshmtaweweseka sana mwaka huu na siku zinahesabika tukutane october
wakuu ni dhahiri kabisa ndugu yetu mpenda haki na usawa bwana absalom kibanda amepewa likizo ya lazima,ili awekwe kada wa ccm alietokea mtwara uvccm.nimeona kwenye mtandao gazeti hili limeandika kuwa membe kazungumzia kifo cha balali,
Na kwanini wasingeandika membe:"iwe isiwe lazima tushinde tusiposhinda tutakutana msituni na lowasa."
Nataka niwaeleweshe wanaccm ambao mliitwa mavuvuzela na babu kingunge.lowasa hakusema atamleta balali bali alikuwa anawaquote wananchi waliokuwa wanapiga kelele kumtaka balali.gazeti hili la mtanzania limekuja na kwa speed ya ajabu ya kutetea ufisadi wa ccm ikiwa ni siku moja tu tangu mpenda haki absalom kuachia ofisi.
Sasa nasema hivi wananchi walishaamua hata mnunue vyombo vyote vya habari lakini kura wanampa lowasa
Ccm ni jopo la mafisadi
yes ni kweli kibanda yupo likizo ya lazima ss ni ccm mwendo mdundo...ila too late
Gazeti la Mwananchi limenunuliwa, hivyo ni msaliti...!Sasa Hapo Unalalamika Nini?Mbona Gazeti La Mwananchi Lilivoandika "Magufuli Akutana Na Nguvu Ya Ukawa" Mbona Mlifurahia?Inamaana Hakukua Na Habari Nyingine Zaidi Ya Ile?Nalo Mwananchi Tuseme Linatumika/limenunuliwa Na Ukawa??
Wakuu,
Mhariri Mtendaji wa gazeti la Mtanzania, Absalom Kibanda, ametakiwa kuenda likizo kwa lazima kwa ajili ya kupisha uchaguzi Mkuu unaotegemewa kufanya Oktoba 25, 2015.
Imebainika kuwa sababu kubwa itakayotolewa na ndugu Kibanda ni kuwa anaenda kwenye matibabu nje ya nchi.
Aidha Mhariri Mwandamizi, Kulwa Karedia, ataenda likizo ya lazima kwa kipindi hicho na nafasi za wawili hao zitachukuliwa na ndugu, Michael Mande amabaye ni kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) aliyegombea kura za maoni za ubunge kwa tiketi ya CCM na kuanguka huko Masasi.
Kwa hali ilivyo sasa, haijulikani ninani yuko nyuma ya hili jambo, ninaendelea kufuatilia sakata hili kwa karibu zaidi, pindi nitakapopata taarifa kamili nitawajulisha.
Itakumbukwa kuwa Kibanda kwa muda mrefu sasa amekuwa mtu wa karibu na Mgombea Urais kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Edward Lowassa, tangu alipotangaza kujiunga na chama hicho.
Asante..
=========
UPDATE:
JamiiForums imeongea na Absalom Kibanda (ambaye pia ni mwanachama wa JamiiForums), amekiri kuna jambo kama hili lakini akasisitiza lipo tofauti na lilivyoandikwa hapo juu. Ataingia JF kufafanua akipata muda lakini kasisitiza kuwa yeye hajalazimishwa kwenda likizo bali kaamua kukaa kando kwa muda.