Mtanzania kwafukuta, Absalom Kibanda kupewa likizo ya lazima kupisha uchaguzi Mkuu

Mtanzania kwafukuta, Absalom Kibanda kupewa likizo ya lazima kupisha uchaguzi Mkuu

Yeye team Lowassa huku owner ni team CCM
kwa hiyo kulikuwepo na struggle waripoti vipi kampeni
both side zilikuwa zinapewa promo ingawa Lowassa zaidi
so now owner wameamua moja kwa moja wawe team CCM
kwa hiyo lazima apewe likizo..hawezi kutimuliwa sababu
hao owner walikuwa team lowassa zamani akiwa ccm...
so wanarudi CCM kwa maslahi tu lakini hawapo CCM kimoyo...

Kwahiyo kura zao watazipeleka kwa lowasa siyo?
 
Yeye team Lowassa huku owner ni team CCM
kwa hiyo kulikuwepo na struggle waripoti vipi kampeni
both side zilikuwa zinapewa promo ingawa Lowassa zaidi
so now owner wameamua moja kwa moja wawe team CCM
kwa hiyo lazima apewe likizo..hawezi kutimuliwa sababu
hao owner walikuwa team lowassa zamani akiwa ccm...
so wanarudi CCM kwa maslahi tu lakini hawapo CCM kimoyo...

Ccm lazima wajue kuwa wapiga kura ni watanzania
 
namkumbuka mh lissu aliwahi sema kila mabadiliko yana wahanga wake,mabadiliko 2015 tanzania wahanga ndio hawa absalom kibanda ila hayaepukiki hata mafisiem wafanye nini

Ccm ndio imeanza kukimbia kivuli chake
 
Mkuu hofu ondoa hiyo nisawa na homa ya DENGUE inayopona bila dawa Mh. Lowassa hata asipoandikwa na chombo chchote TZ bado atapeta tu, siri ni hii:- Jinma la Lowassa li mioyoni mwa watu......

Kweli kabisa mkuu hilo halina ubishi na makomeo analijua hilo
 
Taarifa za uhakika ni kwamba Dennis Msaki na Samson Mfalila waliokuwa mwananchi na kuamia New Habari ccoperation kwa minajiri ya kumjenga Lowassa katika harakati zake za kuusaka urais, sasa wanasakamwa sana mpaka Mfalila kakimbilia Nipashe na Msaki naye very soon atasepa.
Kumbuka Kibanda, Msaki, Mfalila, Meena na wengine kadhaa wamekwisha apa kufa na Rais wao Lowassa

Ccm wanashindana na nguvu ya mungu jambo ambalo ni kufuru
 
Katiba ipi inaruhusu uanzishwaji wa hiyo mahakama?

Kati ya mafisadi 11 waliotangazwa Mwembeyanga, 10 wapo CCM akiwemo JK, hiyo mahakama itakuwa ni kwa ajli ya hao!

Nakushukuru sana mkuu BIGURUBE
 
Wakuu,

Ni dhahiri kabisa ndugu yetu mpenda haki na usawa bwana Absalom Kibanda amepewa likizo ya lazima, ili awekwe kada wa CCM alietokea Mtwara UVCCM. Nimeona kwenye mtandao gazeti hili limeandika kuwa membe kazungumzia kifo cha Balali,
Na kwanini wasingeandika membe:"iwe isiwe lazima tushinde tusiposhinda tutakutana msituni na Lowassa."

Nataka niwaeleweshe wanaccm ambao mliitwa mavuvuzela na babu kingunge.lowasa hakusema atamleta balali bali alikuwa anawaquote wananchi waliokuwa wanapiga kelele kumtaka balali.gazeti hili la mtanzania limekuja na kwa speed ya ajabu ya kutetea ufisadi wa ccm ikiwa ni siku moja tu tangu mpenda haki absalom kuachia ofisi.

Sasa nasema hivi wananchi walishaamua hata mnunue vyombo vyote vya habari lakini kura wanampa Lowassa

CCM ni jopo la mafisadi

Wanasubiri kuhamia the hague kwa gharama za mama Fatou Bensouda
 
That move is late... Watu wameshaamua muda mrefu na mambo kama hayo kwa mtazamo wangu ndio yanaweza kupunguza kura zaidi kwa ccm.
Ccm wanashindwa kabisa kuzichanga karata zao vema.. Mfano wanapoamua ivi sasa kumtumia mtu kama Mkapa ambae alishawatusi watz pale mwanzo na watu walishaanza kusahau hawaoni kabisa kuwa that's a negative move.

Mkuu kumbuka ule usemi maarufu usemao SIKIO LA KUFA..............
SIKU YA KUFA NYANI..........
 
Ushauri kwa waandishi wa habari! Jaribuni kusoma vitu kabla hamjaandika mambo! Kumeungia kasumba ya kuandika vitu kwa ushabiki na kujifanya mnajua kila kitu!

Taarifa ya PPRA mliipindisha sanaa na najua tatizo ni kutojua sheria ya ununuzi na kanuni zake na pia kutojua kusoma report!

Kibanda huyo kwenye gazeti lake la mtanzania kama mhariri aliandika uongo mkubwa kisa tu kumchafua Magufuli kuhusu ukaguzi ndani ya wizara ya ujenzi.

Ujuaji na kupenda bahasha utatufikisha pabaya! Taifa haliwezi kuendelea kwa kuwa na waandishi wanaondeka kuandika mambo bila hata kufanya tafiti!

Taifa hili litaangamia kwa vijana mnaopenda kuendesha vigari vidogo mjini msivyojua vinatoka wapi! Jengeni Nchi! Wazee wanawatumia vibaya!

Maneno meeeengi... Scoop zimekutoa povu. Haya sasa uza wewe!
 
Wakuu,

Mhariri Mtendaji wa gazeti la Mtanzania, Absalom Kibanda, ametakiwa kuenda likizo kwa lazima kwa ajili ya kupisha uchaguzi Mkuu unaotegemewa kufanya Oktoba 25, 2015.

Imebainika kuwa sababu kubwa itakayotolewa na ndugu Kibanda ni kuwa anaenda kwenye matibabu nje ya nchi.

Aidha Mhariri Mwandamizi, Kulwa Karedia, ataenda likizo ya lazima kwa kipindi hicho na nafasi za wawili hao zitachukuliwa na ndugu, Michael Mande amabaye ni kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) aliyegombea kura za maoni za ubunge kwa tiketi ya CCM na kuanguka huko Masasi.

Kwa hali ilivyo sasa, haijulikani ninani yuko nyuma ya hili jambo, ninaendelea kufuatilia sakata hili kwa karibu zaidi, pindi nitakapopata taarifa kamili nitawajulisha.

Itakumbukwa kuwa Kibanda kwa muda mrefu sasa amekuwa mtu wa karibu na Mgombea Urais kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Edward Lowassa, tangu alipotangaza kujiunga na chama hicho.

Asante..

=========
UPDATE:

JamiiForums imeongea na Absalom Kibanda (ambaye pia ni mwanachama wa JamiiForums), amekiri kuna jambo kama hili lakini akasisitiza lipo tofauti na lilivyoandikwa hapo juu. Ataingia JF kufafanua akipata muda lakini kasisitiza kuwa yeye hajalazimishwa kwenda likizo bali kaamua kukaa kando kwa muda.

Kibanda kafanya maamuzi magumu.mzee hauziki na yeye hawezi kuaibisha taaluma kwa kuandika mafuriko hewa
 
Wakuu,

Mhariri Mtendaji wa gazeti la Mtanzania, Absalom Kibanda, ametakiwa kuenda likizo kwa lazima kwa ajili ya kupisha uchaguzi Mkuu unaotegemewa kufanya Oktoba 25, 2015.

Imebainika kuwa sababu kubwa itakayotolewa na ndugu Kibanda ni kuwa anaenda kwenye matibabu nje ya nchi.

Aidha Mhariri Mwandamizi, Kulwa Karedia, ataenda likizo ya lazima kwa kipindi hicho na nafasi za wawili hao zitachukuliwa na ndugu, Michael Mande amabaye ni kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) aliyegombea kura za maoni za ubunge kwa tiketi ya CCM na kuanguka huko Masasi.

Kwa hali ilivyo sasa, haijulikani ninani yuko nyuma ya hili jambo, ninaendelea kufuatilia sakata hili kwa karibu zaidi, pindi nitakapopata taarifa kamili nitawajulisha.

Itakumbukwa kuwa Kibanda kwa muda mrefu sasa amekuwa mtu wa karibu na Mgombea Urais kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Edward Lowassa, tangu alipotangaza kujiunga na chama hicho.

Asante..

=========
UPDATE:

JamiiForums imeongea na Absalom Kibanda (ambaye pia ni mwanachama wa JamiiForums), amekiri kuna jambo kama hili lakini akasisitiza lipo tofauti na lilivyoandikwa hapo juu. Ataingia JF kufafanua akipata muda lakini kasisitiza kuwa yeye hajalazimishwa kwenda likizo bali kaamua kukaa kando kwa muda.

Huyo ni Lowassa damu Ila anapima upepo maana haamini yanayotokea na ndugu yake Kibanda wamestukiwa
 
Back
Top Bottom