Mtanzania mwenye umri wa miaka 60 akamatwa na Mihadarati Ethiopia

Mtanzania mwenye umri wa miaka 60 akamatwa na Mihadarati Ethiopia

sio mchezo manake imebidi nicheke kwasauti 🤣🤣🤣 malinda yangu nayapenda kwakweli... ngoja tu huo ujasiri unitoke... nibaki na uoga wangu​
Kwa hiyo suala unalolisema Kwa vijana halihitaji ujasiri peke yake bali,linahitaji kujitambua na umoja pia ,wakati wewe unasema unataka kupambana sijui ,wakati huo huo Kuna kijana mwenzako ambaye ni mnufaika wa hali ilivyo au ambaye hajui umuhimu wa unachokipambania , akisia unaleta upinzani lazima atakuzuia tu
 
Na huwezi kuona naandika uzi kuhusu hawa jamaa. Ila kama mfatiliaji wewe mwenyewe utajua.
Nina taarifa ya hiyo issue, na nazijua issue nyingi ziinazotokea kwenye interchange hiyo, Mungu si athumani nazifahamu.
NB; Ya ngoswe muachie ngoswe
Sasa kama hutaandika akitoka tutajuwaje katoka? Wewe mzushi tu ila unajifanya mjuwaji. Acha umbwiga andika akitoka
 
Sasa kama hutaandika akitoka tutajuwaje katoka? Wewe mzushi tu ila unajifanya mjuwaji. Acha umbwiga andika akitoka
Hivi ndio ulitaka kuandika you wanted to insult. Sina muda huo. Utapata taarifa mtu akidakwa hutopata akitoka that's nature. Ww mgeni zishakuja habari nyingi kama hizo, na tupo na vijana wetu mtaani. Mtu natoa taarifa za mwisho mtanzania mwenzetu una leta hate. Bongo bwana.
Nikwambie tu kuna sehemu huku ungekuepo na. Hizo kejeli ushachinjwa(tunakuchinja)
 
uzuri hizi kesi hafungwi mtu

watamrudisha tu apa hom tz zitaanza ping-pong za mahakamani

apo zitapigwa is na was mara shwaa jamaa yuko zake kitaa

juzi kati nmemwona yule hasano wa madunduka aliwahi kamatwa na ngada yuko zake anagonga chiaz na wakuu wenzake hana waswas mwenyewe
 
uzuri hizi kesi hafungwi mtu

watamrudisha tu apa hom tz zitaanza ping-pong za mahakamani

apo zitapigwa is na was mara shwaa jamaa yuko zake kitaa

juzi kati nmemwona yule hasano wa madunduka aliwahi kamatwa na ngada yuko zake anagonga chiaz na wakuu wenzake hana waswas mwenyewe
Ethiopia wanakufunga na Kwa kulala Kwa mabalozi wetu hao hufia jela tu
 
uzuri hizi kesi hafungwi mtu

watamrudisha tu apa hom tz zitaanza ping-pong za mahakamani

apo zitapigwa is na was mara shwaa jamaa yuko zake kitaa

juzi kati nmemwona yule hasano wa madunduka aliwahi kamatwa na ngada yuko zake anagonga chiaz na wakuu wenzake hana waswas mwenyewe
Hasanoo hazikua Ngada,ni Walikua wanaiba Shaba zile kutoka Zambia! Pia Hasanoo na Msoga ni Family friend ndiyo maana alitoka
 
Hivi ndio ulitaka kuandika you wanted to insult. Sina muda huo. Utapata taarifa mtu akidakwa hutopata akitoka that's nature. Ww mgeni zishakuja habari nyingi kama hizo, na tupo na vijana wetu mtaani. Mtu natoa taarifa za mwisho mtanzania mwenzetu una leta hate. Bongo bwana.
Nikwambie tu kuna sehemu huku ungekuepo na. Hizo kejeli ushachinjwa(tunakuchinja)
Umechinja wangapi ndugu? Yaani nikuogope kukuuliza kwa kuwa wewe ni muuza madawa? Damn shit!!
 
UMESAHAU KUCHOMANAA KUMO SANA MKUU NILIWAHJ KUWA SEHEMU FLAN JAMAA WANAKUJA ULIZA NAOMBA LIST YA ABIRIA WA NDEGE HIII INATOKEA SEHEMU MWANZO UNAHISI ANAANGALIA SHANGAZI YAKE KAMA ANARUDI AAGIZE TAX WEEEEEE......UKIJIBU NDIO ANAENDA CHOMOLEWA KIROHOSAFII KUTOKA PALE UNASIKIA...AKAMATWA. KG. ....HATAREE SANA.....
OGOPA WAUZA UNGA WA TZ WANAOISHI 🇪🇹 HAWAFAI


UUU
Nadhani Kuchomana ni rahisi kama Muhusika wanamvizia mwisho wa safari yake, kama vile ingekua Uganda....!

Ila ukiwa Transit ujue ni unashuka kwenye Ndege hii, unasubiri Ndege ingine juu kwa juu.
 
Kwa hiyo suala unalolisema Kwa vijana halihitaji ujasiri peke yake bali,linahitaji kujitambua na umoja pia ,wakati wewe unasema unataka kupambana sijui ,wakati huo huo Kuna kijana mwenzako ambaye ni mnufaika wa hali ilivyo au ambaye hajui umuhimu wa unachokipambania , akisia unaleta upinzani lazima atakuzuia tu
ulicho kisema ndio uharisia... kama ikihitajika tudai uhuru kwa mara nyingine itatuchukua miaka 1000 kuupata😭😭😭​
 
Hasanoo hazikua Ngada,ni Walikua wanaiba Shaba zile kutoka Zambia! Pia Hasanoo na Msoga ni Family friend ndiyo maana alitoka
ndo umoumo kiongozi

izo unazoziita "shaba" ndo "is" na "was" zenyewe sasa[emoji38]

mzigo unatafutiwa jina tu shughuli inaishia apo

iyo bznes ina pesa nono sana
 
Back
Top Bottom