Wanaozamia huko wengi wametoka Dar usitegemee uchakalikaji wa njia za halali hapoHabari zenu wana JF wenzangu.
Nikiwa natoka zangu kwenye shughuli zangu, nikaamua kupitia maskan fulani ya wabongo huko town. Nika stick kwa masela huku tukipiga story mbili tatu na kukumbushana...
🤣🤣🤣watoto wanasema BINDUKI"Mbongo mungine apigwa bunduki sauzi"
Dah eti "apigwa bunduki"
Watanzania sijui nini kinaturoga, malezi, elimu au aina ya maisha yetu?Habari zenu wana JF wenzangu.
Nikiwa natoka zangu kwenye shughuli zangu, nikaamua kupitia maskan fulani ya wabongo huko town. Nika stick kwa masela huku tukipiga story mbili tatu na kukumbushana...
Yan wakija mikuki inakua mingi kwenu🤣🤣🤣Bora wawapunguze punguze huko huko,maana wakishafeli maisha wanarudi huku na itikadi zao za 26,27 wanatusumbua.
Ya swadakta kabisa. Ndio yeye huyu!Bila shaka ni huyu mwamba ,kafariki juzi Jo'berg, sababu kupigwa risasi.View attachment 2543406
Unapiga gitaa Mbele ya kwaya ya mbuziHabari zenu wana JF wenzangu.
Nikiwa natoka zangu kwenye shughuli zangu, nikaamua kupitia maskan fulani ya wabongo huko town. Nika stick kwa masela huku tukipiga story mbili tatu...
Bora ubaki bongo tu mkuu.Bado Tanzania inanishawishi niipende kimaisha ingawa sijui lini nitakuwa Tajiri kama Kiduku Lilo A.K.A Lugano, Msomi mwenye PhD kama akina Dr Msukuma...
Sio mafala bali hawapendi mafala. Wabongo nyookonyoko nyingi. Panya road wanakwenda kuishi southDaaah South hapafai wale jamaa ni mafala sana. R.I.P mwamba...
Kwahiyo unamsema mwanangu NYANDU TOZZY sio?Bora wawapunguze punguze huko huko,maana wakishafeli maisha wanarudi huku na itikadi zao za 26,27 wanatusumbua.
Maisha wanayoishi ndugu zetu wabongo wengi ni aibu hata kusimulia. Ndo maana nashauri wawe wanajifikiria mara mbili kabla ya kuja au baada ya kuja, kwamba wako hapa kushindana kupiga bao nne hadi tano kwa kina Thuli na Nomtando au kutafuta na kurudi nyumban kujenga na kuwekeza.Yeah na tunazidi kuharibu passport yetu, nipo hapa lingusenguse nasoma news24.com, mtanzania na jina limetajwa kakamatwa mpumalanga na gari ya moto...
Kwanini unasema haujatosha mkuu?Ushauri uliotoa haujatosha mkuu?? basi mtafute balozi muyaweke sawa.
Inafika kipindi mtu unashindwa hata kujitambulisha kama ni mtanzania kutokana na aina ya maisha wanayoishi watanzania wenzetu hapa Kaburu.Kuna Jamaa yangu anafanya Ubalozi wetu huko, aliniambia hakuna Ubalozi unaopata Changamoto kama Ubalozi Wetu Afrika Kusini.
Watu wengi sana wanauwawa na idadi kubwa sana wanafungwa jela...