Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
- Thread starter
- #41
Yah ni kweli mkuu, wengi ni wa Dar haswa maeneo ya Mbagala, TMK na Tandika yake.Wanaozamia huko wengi wametoka Dar usitegemee uchakalikaji wa njia za halali hapo
Wa Magomeni, Kinondoni na maeneo mengine yaliostaarabika tuko wachache sana, na sisi ndio wale tunaojielewa kidogo.