Nyoko wew, so huyo ni raia wa tz ka akili zako?Mnatumia vigezo gani kusema huyo si mtanzania? Hivi duniani kuna nchi raia wake wote ni watu wa asili moja?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyoko wew, so huyo ni raia wa tz ka akili zako?Mnatumia vigezo gani kusema huyo si mtanzania? Hivi duniani kuna nchi raia wake wote ni watu wa asili moja?
ndugu yangu huyu ni mtanzania tu ukianza kuuliza ana asili ya wapi hapo unatafuta kajambo fulani,Kwa mfano dewji (mo) mi ukinuiliza ana asili y wapi ntakwambia singida maana nikisema india kale kachembe kanaanza kuonekana kwa mbaaaaali!!!Ubaguzi?
Acha ubaguziMtanzania mwenye asili ya wapi huyu? Maana kwa hakika si mbantu
Marekani Kuna raia wenye asili ya rangi mbalimbali na ni wamarekani, acheni ubaguzi wa kizamani .MtanzaniaMtanzania wa kwanza binti mwenye umri wa miaka 20, Rawan Dakik na pia mdogo kabisa Barani Afrika kupanda mlima mrefu zaidi duniani amefanikiwa kumaliza mzunguko wake wa pili wa mita 7,200 juu ya usawa wa bahari bila oksijeni ya nyongeza
Rawan atapumzika kwa siku tano katika kambi ya mlima Everest kabla ya kuanza mzunguko wake wa mwisho kuelekea kilele cha mita 8,850.
"Leo ilikuwa ngumu, nilihisi oksijeni inaniishia na zoezi la kupanda mlima kuwa gumu lakini ilikuwa nzuri," - Rawan binti ambaye alipima covid 19 wakati wa kupanda mlima.
Chanzo: Michuzi TV
Duu mtanzania wa Kwanza jamani. Ama ni mwafrica wa Kwanza kukwea everestHuyo sio wa kwanza sema akimaliza ndio ataweka rekodi ya kufika kilele cha mlima huo kama mtanzania
Mmmh haya basi sawa.. Tulioenda tukaishi huko kwingineneko mitazamo yetu ni tofauti kabisandugu yangu huyu ni mtanzania tu ukianza kuuliza ana asili ya wapi hapo unatafuta kajambo fulani,Kwa mfano dewji (mo) mi ukinuiliza ana asili y wapi ntakwambia singida maana nikisema india kale kachembe kanaanza kuonekana kwa mbaaaaali!!!
Ubaguzi ninini?Acha ubaguzi
Huyu sio Mtanzania, ni Mhindi. Kama huyu ni Mtanzania, je ni kabila gani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watu kila siku wanafika kileleni bila kwenda huko Everest 😎
Sio bidii peke yake; na Hela ya Kufacilitate hilo zoezi; Bidii pekee haisaidiiDuh watu wana bidii hongera kwake.
Baadae utaskia wazungu ni wabaguzi, waarab ni wabaguzi 😅😅😅 Wamarekani weupe ni wabaguziHuyu sio Mtanzania, ni Mhindi. Kama huyu ni Mtanzania, je ni kabila gani?
Umesoma types of citizenship ww kweli?Mtanzania mwenye asili ya wapi huyu? Maana kwa hakika si mbantu
Ukimaliza kumbagua kawabague na wanyantuzu kutoka usukumaniHuyu sio Mtanzania, ni Mhindi. Kama huyu ni Mtanzania, je ni kabila gani?
Hapana sijasoma naomba unielimisheUmesoma types of citizenship ww kweli?
Comment dhaifu sana