makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Panju wa panjuwani.Huyu sio Mtanzania, ni Mhindi. Kama huyu ni Mtanzania, je ni kabila gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Panju wa panjuwani.Huyu sio Mtanzania, ni Mhindi. Kama huyu ni Mtanzania, je ni kabila gani?
Hawa ni wahamiaji haramu hamna Mtanzania hapo.Kwani Mo, Rostam, Manji na Bashe ni kabila lipi maana itatusaidia kujua kabila lake huyu binti mkuu
Alibeba bendera mkuu.. kama unauthubitisho tuma hata picha akiwa juu kileleniUsiseme mtanzania wa kwanza miaka ya 90‘s baba yangu mkubwa alipanda huo mlima na kufika kileleni, sio huo tu alipanda na milima mingine ya asia
Mkuu wenye roho mbaya wapo ila wenye roho nzuri wapo pia.. tena wengi sana, binafsi nimeshawahi shuhudia live mbongo akinyanyasa muhindi so hili swala lipo kotekote tuseme tabia ya mtu kwa sababu ya rangi yao mtu kama Shivji(kama sijakosea) amekua akijitolea sana kuonesha vile anauzalendo na hili taifa,Kwanini Wahindi wengi huwa na roho mbaya?
Aiseeh halafu ni wachoyo balaa...mabahili waliopitiliza...na wanatumatuma sana,yanaogopa police kama kifo Ako radhi ahonge lakini asilale selo, mifisi sana! 😂 😂 😂www.jamiiforums.com
Inatosha kuwa ni mtanzania, unauliza asili ukatambike?[emoji38]Mtanzania mwenye asili ya wapi huyu? Maana kwa hakika si mbantu
Nenda keys hotel and tour company, Moshi inayomilikiwa na watoto wa Ndesa pesa ulizia tourguides wakongwe kuanzi 1889 wapo wengi walioongozana nae kipindi hicho.Alibeba bendera mkuu.. kama unauthubitisho tuma hata picha akiwa juu kileleni