Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Ndio mm ni mmojawapo nilipanda mlima huo April 2018 ila sikutaka kuita media.Huyo sio wa kwanza sema akimaliza ndio ataweka rekodi ya kufika kilele cha mlima huo kama mtanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio mm ni mmojawapo nilipanda mlima huo April 2018 ila sikutaka kuita media.Huyo sio wa kwanza sema akimaliza ndio ataweka rekodi ya kufika kilele cha mlima huo kama mtanzania
Mtanzania mwenye asili ya wapi huyu? Maana kwa hakika si mbantu
Wabongo ni watu wa ajabu sana. Mtu ana tangaza nchi yako, bado mna mponda!Acha ubaguzi kaka mkubwa [emoji23]
😀😀Mburushi toleo la mwisho kaka
GabachoriPonjoro huyo
Awe gabachori, ponjoro, mwisho wa siku anakaribia kufika summit ya everest.Gabachori
[emoji1787]Mburushi toleo la mwisho kaka
Anataka kufa huyuMtanzania wa kwanza binti mwenye umri wa miaka 20, Rawan Dakik na pia mdogo kabisa Barani Afrika kupanda mlima mrefu zaidi duniani amefanikiwa kumaliza mzunguko wake wa pili wa mita 7,200 juu ya usawa wa bahari bila oksijeni ya nyongeza
Rawan atapumzika kwa siku tano katika kambi ya mlima Everest kabla ya kuanza mzunguko wake wa mwisho kuelekea kilele cha mita 8,850.
"Leo ilikuwa ngumu, nilihisi oksijeni inaniishia na zoezi la kupanda mlima kuwa gumu lakini ilikuwa nzuri," - Rawan binti ambaye alipima covid 19 wakati wa kupanda mlima.
Chanzo: Michuzi TV
nilijua tu atakua na asili ya kiarabuMtanzania wa kwanza binti mwenye umri wa miaka 20, Rawan Dakik na pia mdogo kabisa Barani Afrika kupanda mlima mrefu zaidi duniani amefanikiwa kumaliza mzunguko wake wa pili wa mita 7,200 juu ya usawa wa bahari bila oksijeni ya nyongeza
Rawan atapumzika kwa siku tano katika kambi ya mlima Everest kabla ya kuanza mzunguko wake wa mwisho kuelekea kilele cha mita 8,850.
"Leo ilikuwa ngumu, nilihisi oksijeni inaniishia na zoezi la kupanda mlima kuwa gumu lakini ilikuwa nzuri," - Rawan binti ambaye alipima covid 19 wakati wa kupanda mlima.
Chanzo: Michuzi TV
Hongera mkuu!👍Ndio mm ni mmojawapo nilipanda mlima huo April 2018 ila sikutaka kuita media.
Hapana ni 2013 huyo mtu alipandaNdio mm ni mmojawapo nilipanda mlima huo April 2018 ila sikutaka kuita media.
Nazungumzia mm mwenyewe sio mtu mwingine.Hapana ni 2013 huyo mtu alipanda
Kuna Mhindi mzalendo?Huo nao ni ubaguzi kama ubaguzi mwingine mkuu.. kule Igunga wapo hadi wanaongea kisukuma lakini pia usimeze mkuu kizazi ambacho tupo sahivi raia wa Tanzania sio lazima awe mtu mweusi tu cha muhimu ni uzalendo tu.. kama huyo asingebeba hiyo bendera kama hapendi nchi yetu yani nadhani umeelewa
Endeleeni kujipendekeza kwa maponjoro utafikiri Kuna jema lolote wanawatendeeniUkimaliza kumbagua kawabague na wanyantuzu kutoka usukumani
Wote wakimbizi ,si unawaona wanakwiba mali za UmaKwani Mo, Rostam, Manji na Bashe ni kabila lipi maana itatusaidia kujua kabila lake huyu binti mkuu
Huo nao ni ubaguzi kama ubaguzi mwingine mkuu.. kule Igunga wapo hadi wanaongea kisukuma lakini pia usimeze mkuu kizazi ambacho tupo sahivi raia wa Tanzania sio lazima awe mtu mweusi tu cha muhimu ni uzalendo tu.. kama huyo asingebeba hiyo bendera kama hapendi nchi yetu yani nadhani umeelewa