Mtanzania wa kwanza kupanda Mlima Everest akaribia kufika kileleni

ndugu yangu huyu ni mtanzania tu ukianza kuuliza ana asili ya wapi hapo unatafuta kajambo fulani,Kwa mfano dewji (mo) mi ukinuiliza ana asili y wapi ntakwambia singida maana nikisema india kale kachembe kanaanza kuonekana kwa mbaaaaali!!!
 
Marekani Kuna raia wenye asili ya rangi mbalimbali na ni wamarekani, acheni ubaguzi wa kizamani .Mtanzania
 
ndugu yangu huyu ni mtanzania tu ukianza kuuliza ana asili ya wapi hapo unatafuta kajambo fulani,Kwa mfano dewji (mo) mi ukinuiliza ana asili y wapi ntakwambia singida maana nikisema india kale kachembe kanaanza kuonekana kwa mbaaaaali!!!
Mmmh haya basi sawa.. Tulioenda tukaishi huko kwingineneko mitazamo yetu ni tofauti kabisa
 
Watanzania wa Jf ni Waduwanzi kishenzi,Ooh Siyo Mbantu mara siyo Mtanzania,Mwacheni Bi Dada aitangaze nchi yetu.Nyie wangine hamjawahi hata kupanda Mlima Kitonga.Hongera kwake Rawan Dakik.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…