Mtaturu: Gharama za ATCL ndani ya Tanzania ni kubwa kuliko zile za Dubai

Mtaturu: Gharama za ATCL ndani ya Tanzania ni kubwa kuliko zile za Dubai

Mbunge Miraji Mataturu alia na bei za ATCL​

MTATURU PIC

===
Mbunge wa Singida Mashariki (CCM), Miraji Mtaturu ameitaka Serikali kutafuta suluhisho la bei kubwa ya usafiri katika ndege za Shirika la Ndege Nchini (ATCL) ambapo amezifananisha gharama hizo na gharama za kwenda Dubai.

Mtaturu ameyasema hayo jana Jumanne Februari 15, 2022 wakati akichangia taarifa ya shughuli za Kamati ya Bunge ya Miundombinu kwa kipindi cha Januari 2021 hadi Februari 2022.

Amesema Shirika la ATCL limekuwa likifanya vizuri baada ya Serikali kulinunua ndege lakini limekuwa likikabiliwa na changamoto mbalimbali.

Amesema bei ya tiketi ya ndege kutoka Dar es Salaam kwenda Dodoma inafikia Sh400,000 hadi Sh700,000, gharama ambayo ukiangalia ni kama abiria anakwenda Dubai.

“Tumekuwa na changamoto kubwa kwa maana ya bei za tiketi. Ukiangalia tiketi ya kutoka Dar es Salaam kuja Dodoma ni Sh400,000 hadi Sh700,000 ukiangalia wengine ni kama umeenda Dubai kumbe uko Tanzania hapa kumekuwa na changamoto lakini hakuna majibu,”amesema.

Mtaturu ameiomba Serikali kuangalia changamoto hiyo ya bei ya usafiri wa ndege.

Aidha, kumekuwa na malalamiko makubwa katika masuala ya mabando na kwamba mara nyingi wamewaeleza Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano (TCRA) waweze kuwasimamia watoa huduma kuhusu changamoto hiyo lakini haijafanyiwa kazi.

“Leo unaweka bado la wiki moja ikiisha fedha zinaondoka wakati ulilipia mwenyewe. Wananchi wanalalamika, tunaiomba Serikali iwasaidie wananchi waweze kuwa na haki yao ya msingi katika wanapoweka bando,”amesema.

Amesema licha ya kuwasilisha changamoto hiyo TCRA limekuwa ni tatizo isiyokuwa na majibu hata wanapoulizwa watu wahuduma kwa wateja wamekuwa hawana majibu ya moja kwa moja.

Ameiomba Serikali kulifanyia kazi ili kuwapa haki wateja.
Kwan nauli ya kwenda Dubai ni sh ngapi??
 
Wachukue CEO kutoka Ryan Air, Fastjet wawaulize mode of business waliyokuwa wanatumia.

Ndege inatakiwa ijae kwa bei zao ni ngumu kujaza, ila wangeweka Cap ya 100K kwa route kama ya Dar Dom kwa siku wangeweza piga route zaidi ya 10

Mwanza ikiwa 250K go return watajaza mno na kwa siku wanaweza beba pax zaidi ya 2000
Hata wakiwachukua hao CEOs, bado hawataweza kutengeneza faida
Ndege tulizonunua ki sifa sifa , hazifai kwa biashara ya budget airline
Fastjet wakati wanafunga biashara walikuwa wantumie embraer e90 one of the most efficient airline for budget business, sasa unaponunua dreamliner 787 ambazo ni gas guzzles huwezi kuwa na nauli nafuu
 
Hata wakiwachukua hao CEOs, bado hawataweza kutengeneza faida
Ndege tulizonunua ki sifa sifa , hazifai kwa biashara ya budget airline
Fastjet wakati wanafunga biashara walikuwa wantumie embraer e90 one of the most efficient airline for budget business, sasa unaponunua dreamliner 787 ambazo ni gas guzzles huwezi kuwa na nauli nafuu
Ndo maana nikasema wawaulize mode yao ilikuwa ipi, ikiwezekana wauze hizi wanunue Embraer, kwani hata KQ kutoka Nai anatumia Embraer
 
Ndo maana nikasema wawaulize mode yao ilikuwa ipi, ikiwezekana wauze hizi wanunue Embraer, kwani hata KQ kutoka Nai anatumia Embraer
Ni kweli , ila hii biashara hata in a layman view Atcl hawakutabiriwa kufaulu, fast jet alikuwa na ndege chache , but very well utilized, ndege moja ilikuwa na routes za kutosha , yani muda mwingi ndege zao zilikuwa angani sio parking.
 
Ni kweli , ila hii biashara hata in a layman view Atcl hawakutabiriwa kufaulu, fast jet alikuwa na ndege chache , but very well utilized, ndege moja ilikuwa na routes za kutosha , yani muda mwingi ndege zao zilikuwa angani sio parking.
Fastjet alikua kifaa yule
Ndege hiyo hiyo inatoka JBurg, inaenda Mwanza, Kili, Zimbabwe.
Mbeya
 
Fastjet alikua kifaa yule
Ndege hiyo hiyo inatoka JBurg, inaenda Mwanza, Kili, Zimbabwe.
Mbeya
Hiyo ndo mode of operation ya budget airlines, kwanza hawadeal kabisa na cosmetic services , beverages utazikutq ndani ya ndege ila utalipia , uzito wa bure ulikuwa nadhan ni kilo 32 zaidi ya hapo utalipia, Air Tanzania wanagawa korosho juice na maji , lakini unaweza kuta ile ni tenda ya mtu kigogo na indraw al lot of funds

Hiyo ndege unasema inatoka jo burg na kwenda mwanza ni sahihi kabisa , tena kabla ya kwenda huko jo burg ilikuwa inafanya local trips ndo sababu safari za south zilikuwa ni usiku tu .

Kuna siku nilimuuliza attendant mmoja aliniambia asubuhi wanaamka dar wanakwenda mwanza wanarud saa nne dar , wanakwenda kilimanjaro saa tano na kurudi saa nane , wanakwenda mbeya na kurudi saa moja , wanakwenda kilimanjaro tena na kurudi saa nne saa sita wanenda south na kurudi alfajiri kwa ajili ya schedule nyingine kwa wiki walikuwa wan route ya namna hii mara mbili.
 
Hiyo ndo mode of operation ya budget airlines, kwanza hawadeal kabisa na cosmetic services , beverages utazikutq ndani ya ndege ila utalipia , uzito wa bure ulikuwa nadhan ni kilo 32 zaidi ya hapo utalipia, Air Tanzania wanagawa korosho juice na maji , lakini unaweza kuta ile ni tenda ya mtu kigogo na indraw al lot of funds

Hiyo ndege unasema inatoka jo burg na kwenda mwanza ni sahihi kabisa , tena kabla ya kwenda huko jo burg ilikuwa inafanya local trips ndo sababu safari ,a south zilikuwa ni usiku tu .

. Kuna siku nilimuuliza attendant mmoja aliniambia asubuhi wanaamka dar wanakwenda mwanza wanarud saa nne dar , wanakwenda kilimanjaro saa tano na kurudi saa nane , wanakwenda mbeya na kurudi saa moja , wanakwenda kilimanjaro tena na kurudi saa nne saa sita wanenda south na kurudi alfajiri kwa ajili ya schedule nyingine kwa wiki walikuwa wan route ya namna hii mara mbili.
Fastjet alikua 20KG free

ATCL wanatakiwa wafikirie maximum pax badala ya max revenue
 
Nenda tu hata ofisi yao hapa Mwanza haifanani kama ni ofisi ya international airline. Nje ofisi chafu, ndani watumishi hawana sare. Mnatakiwa mjitathmini.
 
Yani kifupi anayosema mbunge yatawezekana kama wataruhusu ushindani kwa wenye uwezo wa kufanya biashara waruhusiwe hawa Air Tanzania hawaheshimu hata route mabadiliko kila siku wanakuwa na excuse kibao kifupi niubabaishaji na hii Monopoly waliyonayo ndio inawapa kiburi
 
Huyu jamaa ni mzalendo zaidi kuliko Lissu,

Tangu amechukua lile jimbo limepiga hatua kubwa sana kimaendeleo,

Mtaturu Chapa kazi,
Israel mbona huyu ni mbunge wa singida mjini wakati Lissu alikuwa mbunge wa Singida mashariki.

Uwe makini unapoandika acha papara
 
Nilipata tiketi ya Dar to Kilimanjaro kwenye site ninayoifahamu nje ya nchi nililipa sh 240000 . Nilipojaribu kukata site ya Air Tanzania ningelipa sh 345000
 

Mbunge Miraji Mataturu alia na bei za ATCL​

MTATURU PIC

===
Mbunge wa Singida Mashariki (CCM), Miraji Mtaturu ameitaka Serikali kutafuta suluhisho la bei kubwa ya usafiri katika ndege za Shirika la Ndege Nchini (ATCL) ambapo amezifananisha gharama hizo na gharama za kwenda Dubai.

Mtaturu ameyasema hayo jana Jumanne Februari 15, 2022 wakati akichangia taarifa ya shughuli za Kamati ya Bunge ya Miundombinu kwa kipindi cha Januari 2021 hadi Februari 2022.

Amesema Shirika la ATCL limekuwa likifanya vizuri baada ya Serikali kulinunua ndege lakini limekuwa likikabiliwa na changamoto mbalimbali.

Amesema bei ya tiketi ya ndege kutoka Dar es Salaam kwenda Dodoma inafikia Sh400,000 hadi Sh700,000, gharama ambayo ukiangalia ni kama abiria anakwenda Dubai.

“Tumekuwa na changamoto kubwa kwa maana ya bei za tiketi. Ukiangalia tiketi ya kutoka Dar es Salaam kuja Dodoma ni Sh400,000 hadi Sh700,000 ukiangalia wengine ni kama umeenda Dubai kumbe uko Tanzania hapa kumekuwa na changamoto lakini hakuna majibu,”amesema.

Mtaturu ameiomba Serikali kuangalia changamoto hiyo ya bei ya usafiri wa ndege.

Aidha, kumekuwa na malalamiko makubwa katika masuala ya mabando na kwamba mara nyingi wamewaeleza Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano (TCRA) waweze kuwasimamia watoa huduma kuhusu changamoto hiyo lakini haijafanyiwa kazi.

“Leo unaweka bado la wiki moja ikiisha fedha zinaondoka wakati ulilipia mwenyewe. Wananchi wanalalamika, tunaiomba Serikali iwasaidie wananchi waweze kuwa na haki yao ya msingi katika wanapoweka bando,”amesema.

Amesema licha ya kuwasilisha changamoto hiyo TCRA limekuwa ni tatizo isiyokuwa na majibu hata wanapoulizwa watu wahuduma kwa wateja wamekuwa hawana majibu ya moja kwa moja.

Ameiomba Serikali kulifanyia kazi ili kuwapa haki wateja.
ATCL ticket zake ni gharama sana mana ndege zao zinatumia mafuta ya alizeti lita sh 7000
 

Mbunge Miraji Mataturu alia na bei za ATCL​

MTATURU PIC

===
Mbunge wa Singida Mashariki (CCM), Miraji Mtaturu ameitaka Serikali kutafuta suluhisho la bei kubwa ya usafiri katika ndege za Shirika la Ndege Nchini (ATCL) ambapo amezifananisha gharama hizo na gharama za kwenda Dubai.

Mtaturu ameyasema hayo jana Jumanne Februari 15, 2022 wakati akichangia taarifa ya shughuli za Kamati ya Bunge ya Miundombinu kwa kipindi cha Januari 2021 hadi Februari 2022.

Amesema Shirika la ATCL limekuwa likifanya vizuri baada ya Serikali kulinunua ndege lakini limekuwa likikabiliwa na changamoto mbalimbali.

Amesema bei ya tiketi ya ndege kutoka Dar es Salaam kwenda Dodoma inafikia Sh400,000 hadi Sh700,000, gharama ambayo ukiangalia ni kama abiria anakwenda Dubai.

“Tumekuwa na changamoto kubwa kwa maana ya bei za tiketi. Ukiangalia tiketi ya kutoka Dar es Salaam kuja Dodoma ni Sh400,000 hadi Sh700,000 ukiangalia wengine ni kama umeenda Dubai kumbe uko Tanzania hapa kumekuwa na changamoto lakini hakuna majibu,”amesema.

Mtaturu ameiomba Serikali kuangalia changamoto hiyo ya bei ya usafiri wa ndege.

Aidha, kumekuwa na malalamiko makubwa katika masuala ya mabando na kwamba mara nyingi wamewaeleza Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano (TCRA) waweze kuwasimamia watoa huduma kuhusu changamoto hiyo lakini haijafanyiwa kazi.

“Leo unaweka bado la wiki moja ikiisha fedha zinaondoka wakati ulilipia mwenyewe. Wananchi wanalalamika, tunaiomba Serikali iwasaidie wananchi waweze kuwa na haki yao ya msingi katika wanapoweka bando,”amesema.

Amesema licha ya kuwasilisha changamoto hiyo TCRA limekuwa ni tatizo isiyokuwa na majibu hata wanapoulizwa watu wahuduma kwa wateja wamekuwa hawana majibu ya moja kwa moja.

Ameiomba Serikali kulifanyia kazi ili kuwapa haki wateja.
Asante sana kwa kutetea Wanyonge
 
Hata wakiwachukua hao CEOs, bado hawataweza kutengeneza faida
Ndege tulizonunua ki sifa sifa , hazifai kwa biashara ya budget airline
Fastjet wakati wanafunga biashara walikuwa wantumie embraer e90 one of the most efficient airline for budget business, sasa unaponunua dreamliner 787 ambazo ni gas guzzles huwezi kuwa na nauli nafuu
Check your facts!
 
Back
Top Bottom