Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muambie huyo.Kama hawafai nenda wewe!
Mambo ya kuoa na kuolewa tusitumie elimu kama kigezo.
Hata wasiosoma waliachana tena kijijini
Case closed.Sio wasichana wote waliosoma chuo hawafai kuolewa na sio wasichana wote walioishia darasa la 7 au kidato cha nne wanafaa kuolewa.
Ukiona pale unapowaza kuoa na ukaona bado unatumia nadharia ambazo zinafanya "simple generalisation", basi usioe kwanza bado unatakiwa kuyaona mengi zaidi
Kama mama yake alifariki kabla utafanyaje kujua tabia ya mama yakeUsioe binti bila kujua mama yake yupoje.80% binti ni photocopy ya mama.
Community yakeKama mama yake alifariki kabla utafanyaje kujua tabia ya mama yake
Kunywa Pepsi hapo kwa Mangi[emoji1]Sio wasichana wote waliosoma chuo hawafai kuolewa na sio wasichana wote walioishia darasa la 7 au kidato cha nne wanafaa kuolewa.
Ukiona pale unapowaza kuoa na ukaona bado unatumia nadharia ambazo zinafanya "simple generalisation", basi usioe kwanza bado unatakiwa kuyaona mengi zaidi
[emoji38][emoji38][emoji38]ww kariri maisha"Ukitaka kuoa msomi oa mwalimu" huwa siisahau hii kauli aliyoniambia mzee mmoja mstaafu.
Kunywa bia mbili nitalipaUsioe binti bila kujua mama yake yupoje.80% binti ni photocopy ya mama.