Mtazamo kuhusu Hotuba ya JK kuzindua Bunge Maalum la Katiba

Mtazamo kuhusu Hotuba ya JK kuzindua Bunge Maalum la Katiba

Mtanganyika,
Nakusoma sana na takwimu zako za ki-serengeti advisors ambazo hazitoi hata chembe za majibu ya hoja zetu kwamba: sio kweli znz hawatakuwa na uwezo wa kuchangia gharama za muungano katika yale mambo saba na hilo limeshajadiliwa kwa hoja lakini anaamua kubaki mbugani serengeti. Pili ni hoja yetu kwamba Kwa mfumo wenu, mnatuumiza walipa kodi kwani mfumo wenu una:Ya muungano, ya Tanzania bara na ya mchaganyiko; sasa kwa vile mnatuelewa, sasa mmekuja na baraza la wawakilishi wa Tanzania bara, which means mabunge matatu, serikali mbili. Kwa kweli mmelewa sana ukada. Nitakuja na takwimu zangu tena kama bado haujatembelea threads zangu za nyuma.vinginevyo una kiporo cha maswali yangu kwako haujajibu.

Na swali kwamba mfumo wa sasa ni nafuu kwa mlipa kodi kuliko serikali tatu, tuonyesheni namba? Mnajificha mbugani serengeti.



Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Watachangia vipi wakati pato lao la taifa ni 200 Million Dollar, matumizi ya serikali yao ni 650 Million dollar, serikali yenu ya Tatu aka Serikali ya Muungano nimewaambieni ikiwa na hayo mambo 7 itatugharim 2.5 Billion dollar. Mkiwaambiza Zanzibar wachangie 11% kama mnavyonadi hiyo ni sawa na 71% ya pato lote la Zanzibar, wao watabaki na pesa ya kuendesha nchi kwa Mwezi mmoja. Unajua any development bank haiwezi kukupa mkopo at 100% ya pato lako, sababu hakuna debt covenants yoyote inayokubali hilo.

Mkuu mchambuzi, mnataka kushona suti ya mtu mzima kwa kitambaa cha robo meter? Mwalimu alikuwa anasema "shona suti kutokana na ukubwa wa kitambaa". Kama kitambaa robo mita shona bukta tuu. Huu muungano ni kuumizana kichwa tuu.

Kinachofuata tutafanya headcount analysis ili kuwaonyesha kwamba bado gharama za kuendesha serikali mbili ni better than tatu. Sababu 21% ya budget ya Tanzania inalipa mishahara.

Kama mnataka tujadilini practicality ya serikali mbili hapo nakubaliana na hoja zenu zote. Lakini kama mnataka tujadili kuhusu cost za serikali tatu, sisi nyinyi tuu hamna jibu, Bali Jaji Warioba na wenzie wote, Juma Duni, Maalim Seif na wengine wote die hard 3 serikali hawajakaa chini wakaangalia namba.

Kumbuka usemi wa kingereza "Number don't lie" however, politician does.
 
Watachangia vipi wakati pato lao la taifa ni 200 Million Dollar, matumizi ya serikali yao ni 650 Million dollar, serikali yenu ya Tatu aka Serikali ya Muungano nimewaambieni ikiwa na hayo mambo 7 itatugharim 2.5 Billion dollar. Mkiwaambiza Zanzibar wachangie 11% kama mnavyonadi hiyo ni sawa na 71% ya pato lote la Zanzibar, wao watabaki na pesa ya kuendesha nchi kwa Mwezi mmoja. Unajua any development bank haiwezi kukupa mkopo at 100% ya pato lako, sababu hakuna debt covenants yoyote inayokubali hilo.

Mkuu mchambuzi, mnataka kushona suti ya mtu mzima kwa kitambaa cha robo meter? Mwalimu alikuwa anasema "shona suti kutokana na ukubwa wa kitambaa". Kama kitambaa robo mita shona bukta tuu. Huu muungano ni kuumizana kichwa tuu.

Kinachofuata tutafanya headcount analysis ili kuwaonyesha kwamba bado gharama za kuendesha serikali mbili ni better than tatu. Sababu 21% ya budget ya Tanzania inalipa mishahara.

Kama mnataka tujadilini practicality ya serikali mbili hapo nakubaliana na hoja zenu zote. Lakini kama mnataka tujadili kuhusu cost za serikali tatu, sisi nyinyi tuu hamna jibu, Bali Jaji Warioba na wenzie wote, Juma Duni, Maalim Seif na wengine wote die hard 3 serikali hawajakaa chini wakaangalia namba.

Kumbuka usemi wa kingereza "Number don't lie" however, politician does.

Nikitulia nitawasilisha analysis yangu kwa namba zinazogusa maisha ya kila siku ya mwananchi wa kawaida zinazoendana na lugha anayotumia Nguruvi3 ambayo ni lugha ya huyo mwananchi;hizi analysis zenu based on framework za Serengeti advisors hazina maana nje ya hiyo mbuga na nitafafanua;

Nasubiri majibu yako kwa maswali yangu pending;



Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Nikitulia nitawasilisha analysis yangu kwa namba zinazogusa maisha ya kila siku ya mwananchi wa kawaida zinazoendana na lugha anayotumia Nguruvi3 ambayo ni lugha ya huyo mwananchi;hizi analysis zenu based on framework za Serengeti advisors hazina maana nje ya hiyo mbuga na nitafafanua;
Nasubiri majibu yako kwa maswali yangu pending;

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Mchambuzi, kama kuna mtu nashindwa kabisa kuelewa hoja zake, ni huyo Mtanganyika! Nimesoma na kurudia alichoandika hapo juu lakini kwa bahati mbaya nimetoka kapa...Eti Wazanzibari watachangia vipi wakati pato lao la taifa ni 200 Million Dollar na matumizi ya serikali yao ni 650 Million dollar? So what? Yaani Zanzibar haiwezi ku"survive" nje ya Muungano? Kwamba Muungano wa serikali mbili lazima uendelee ili Zanzibar isijifie? Kwamba serikali ya Tanzania kwa kujivika koti la Muungano, liendelee kubeba mzigo wa kuiendesha Zanzibar kwa sababu matumizi yao ni makubwa kuliko mapato? Kwamba Zanzibar ambayo imekataa hata kuiheshimu Katiba ya Muungano, iendelee kubebwa na Tanganyika? Hili mbona pamoja na kuwa tusi kubwa kwa nchi ya Zanzibar, ni tusi kubwa zaidi kwa Tanganyika! Mtanganyika, ulitaka kusema nini? Kwamba sisi Watanganyika ni mataahira? Kujinyima ili viumbe wasiotutaka waendelee kuneemeka kwa jasho letu?
 
Mchambuzi, kama kuna mtu nashindwa kabisa kuelewa hoja zake, ni huyo Mtanganyika! Nimesoma na kurudia alichoandika hapo juu lakini kwa bahati mbaya nimetoka kapa...Eti Wazanzibari watachangia vipi wakati pato lao la taifa ni 200 Million Dollar na matumizi ya serikali yao ni 650 Million dollar? So what? Yaani Zanzibar haiwezi ku"survive" nje ya Muungano? Kwamba Muungano wa serikali mbili lazima uendelee ili Zanzibar isijifie? Kwamba serikali ya Tanzania kwa kujivika koti la Muungano, liendelee kubeba mzigo wa kuiendesha Zanzibar kwa sababu matumizi yao ni makubwa kuliko mapato? Kwamba Zanzibar ambayo imekataa hata kuiheshimu Katiba ya Muungano, iendelee kubebwa na Tanganyika? Hili mbona pamoja na kuwa tusi kubwa kwa nchi ya Zanzibar, ni tusi kubwa zaidi kwa Tanganyika! Mtanganyika, ulitaka kusema nini? Kwamba sisi Watanganyika ni mataahira? Kujinyima ili viumbe wasiotutaka waendelee kuneemeka kwa jasho letu?
Mkuu Mtanganyika anasema tuendelee na serikalimbili ili znz ipate subsidy. Anashauri tuendelee kubeba znz. Mkandara alisema tuache kujenga bandari ili ile ya znz ipanuke bidhaa ziingie kule na kuja Tanganyika bila kodi.
Akashauri tuache kujenga mahoteli Arusha, yote yaelekezwe znz ili kuinua uchumi wao.

Unaweza kuona jinsi gani Watanganyika sijui wamelishwa limbwata au nisema nini.
Ndiyo hayo ya Mtanganyika.
Hao anaosema znz hawana uwezo, sijui kwanini wawe na uwezo wa matusi hadi ya kubadili katiba.

Ndio kundi lile la Dodoma linalojiita CCM ambalo limeamua kuisaliti Tanganyika.
Huu mzigo ni mzito sana muda wa kuutua umefika, mznz hana raha na Mtanganyika
 
Bado haijaelezwa mpaka sasa,ni kwa vipi serikali tatu ni gharama zaidi kuliko serikali mbili.Mwenye kusimamia hoja hii amejikita zaidi kueleza ni kwa vipi Zanzibar haitakuwa na uwezo wa kuchangia kwenye serikali ya shirikisho.

Sidhani kama kusema hivyo peke yake kunaifanya serikali tatu kuwa ni gharama kubwa kwa serikali mbili.Ila inathibitisha zaidi ni kwa vipi hoja ya watanganyika kubebeshwa mzigo na wazanzibar ilivyo sahihi.

Zanzibar ikiwa na mamlaka kamili chini ya shirikisho vyanzo vyake vya mapato vitaongezeka na kutoka hapo ilipo sasa chini ya "mkoloni" mtanganyika.Tunapoweka hizo hisabati ni lazima kuzingatia mabadiliko ya kimfumo ambayo dhahiri yataathiri mapato na matumizi.Endeleeni na mjadala,tunawasoma.
 
Mchambuzi, kama kuna mtu nashindwa kabisa kuelewa hoja zake, ni huyo Mtanganyika! Nimesoma na kurudia alichoandika hapo juu lakini kwa bahati mbaya nimetoka kapa...Eti Wazanzibari watachangia vipi wakati pato lao la taifa ni 200 Million Dollar na matumizi ya serikali yao ni 650 Million dollar? So what? Yaani Zanzibar haiwezi ku"survive" nje ya Muungano? Kwamba Muungano wa serikali mbili lazima uendelee ili Zanzibar isijifie? Kwamba serikali ya Tanzania kwa kujivika koti la Muungano, liendelee kubeba mzigo wa kuiendesha Zanzibar kwa sababu matumizi yao ni makubwa kuliko mapato? Kwamba Zanzibar ambayo imekataa hata kuiheshimu Katiba ya Muungano, iendelee kubebwa na Tanganyika? Hili mbona pamoja na kuwa tusi kubwa kwa nchi ya Zanzibar, ni tusi kubwa zaidi kwa Tanganyika! Mtanganyika, ulitaka kusema nini? Kwamba sisi Watanganyika ni mataahira? Kujinyima ili viumbe wasiotutaka waendelee kuneemeka kwa jasho letu?

Kwanza naomba ulewe kitu kimoja hakuna hata sehemu moja niliyosema kwamba Zanzibar ni lazima wawepo kwenye muungano. Mimi sio mwenye kuabudu huu muungano tangu nilipoanza kuwa na akili zangu timamu. Ninachosema Zanzibar either WAJITOE KWENYE MUUNGANO, AU TUENDELEE KUWABEBA, lakini mkisema wachangie muungano hapo ndio ninapowaambia hilo haliwezakani, sababu hawana pato la kutosha.

Kuliko tujidanganye kusema kwamba serikali ya tatu itachangiwa na Zanziibar nasema hilo haliwezekani sababu the numbers doesn't add up. Sasa kama kuna jingine naombeni tujadili.

Ukiangalia maandiko yangu utaona nimekuwa nikisema Tuvunje Muungano sababu ya manung'uniko. Mimi sipo upande wa kupaka sukari, I tell the tale. Nimesema ukiangalia historia ya Zanzibar utaona ya kwamba Muungano haupendwi sababu moja kubwa ni kwamba mapinduzi ya 1963 yanaonekana ni haramu kutoka kwa Wazanzibar wengi. Chuki ya Zanzibar haitibiwi kwa kuanzisha serikali ya 3. Dawa moja tuu VUNJA, lakini serikali ya 3 hilo nitapinga kwa nguvu zangu zote.
 
Bado haijaelezwa mpaka sasa,ni kwa vipi serikali tatu ni gharama zaidi kuliko serikali mbili.Mwenye kusimamia hoja hii amejikita zaidi kueleza ni kwa vipi Zanzibar haitakuwa na uwezo wa kuchangia kwenye serikali ya shirikisho.

Sidhani kama kusema hivyo peke yake kunaifanya serikali tatu kuwa ni gharama kubwa kwa serikali mbili.Ila inathibitisha zaidi ni kwa vipi hoja ya watanganyika kubebeshwa mzigo na wazanzibar ilivyo sahihi.

Zanzibar ikiwa na mamlaka kamili chini ya shirikisho vyanzo vyake vya mapato vitaongezeka na kutoka hapo ilipo sasa chini ya "mkoloni" mtanganyika.Tunapoweka hizo hisabati ni lazima kuzingatia mabadiliko ya kimfumo ambayo dhahiri yataathiri mapato na matumizi.Endeleeni na mjadala,tunawasoma.

Pato la Zanzibar kwa sasa ni Million 200 USD, vyanzo vya mapato Zanzibar viko limited sana, sababu ya Geographical location na population na lack of natural resources. Pato hilo na misaada wanaweza kujiendesha wenyewe, lakini mkiwaambia wachangie Vifaru, Submarine na office za mabalozi dunia nzima, watakubali kwenye karatasi few years later wataukimbia muungano na sisi ndio tulale nalo deni.

Jamani mmesahau kifo cha 1977 cha EAC mpaka leo Tanzania inalipa wafanyakazi wa EAC viinua mgongo.
 
Bado haijaelezwa mpaka sasa,ni kwa vipi serikali tatu ni gharama zaidi kuliko serikali mbili.Mwenye kusimamia hoja hii amejikita zaidi kueleza ni kwa vipi Zanzibar haitakuwa na uwezo wa kuchangia kwenye serikali ya shirikisho.

Sidhani kama kusema hivyo peke yake kunaifanya serikali tatu kuwa ni gharama kubwa kwa serikali mbili.Ila inathibitisha zaidi ni kwa vipi hoja ya watanganyika kubebeshwa mzigo na wazanzibar ilivyo sahihi.

Zanzibar ikiwa na mamlaka kamili chini ya shirikisho vyanzo vyake vya mapato vitaongezeka na kutoka hapo ilipo sasa chini ya "mkoloni" mtanganyika.Tunapoweka hizo hisabati ni lazima kuzingatia mabadiliko ya kimfumo ambayo dhahiri yataathiri mapato na matumizi.Endeleeni na mjadala,tunawasoma.
Ni kweli usemayo, akina Mtanganyika wanadai serikali 3 ni gharama, hawaonyeshi gharama zinaongezeka vipi na hawaonyeshi serikali 2 zinapunguzaje gharama.
Ironically, hawajapinga hoja zetu kuhusu serikali 3 na jinsi zitakavopunguza gharama.

Sasa wamekuja na hoja znz haiwezi kuchangia gharama.
Hapa wanatuunga mkono kuwa mambo 22 ni mzigo yakiwa ya muungano kuliko mambo 7.

Fikiria hivi, katika tume ya Warioba znz ina wajumbe 15 kwa maana ni nchi na mbia sawa wa muungano.

Katika bunge la katiba znz ina wajumbe 1/3 ya wajumbe wote.
Kwamba 1/3 ina uwezo wa kutoa maamuzi ya kuathiri Tanganyika.
Vipi suala la gharama waonekane hawawezi?

Mtanganyika anasema hawawezi kwasababu tu anadhani ndani ya serikali 2 kama asemavyo Gamba la Nyoka na Mkandara, ZNZ itaweza.

Kwamba uwezo wa znz ni pale wakiwa ndani ya muungano.
Mtanganyika amekiri tunatoa subsidy kwa znz, Mkandara anasema znz wanaonewa.

Tumetumia mfano rahisi sana wa gharama tukabaini hiyo misaada na gharama ni kwa maumivu ya Tanganyika.

Mtanganyika anapotosha kuwa gharama za kuendesha znz ni mililioni 50 dollar.
Ili kufanya mazingaombwe kama yale ya CCM anatumia dollar.
Kiasi hicho ni sawa na 80 Bilioni kwa mwezi katika exchange rate ya 1600 ni sawa na bilioni 80. Si kweli! Kama ni bilioni 80 bajeti ya znz ni bilioni 700 pungufu ya bilioni 260!

Hizi namba wanapandikiza na kutumia dollar ili kuwababaisha watu. Huwezi kuwa na income ya bilioni 260 kwa mwaka ukatumia bilioni 600 zaidi. Kama ni kweli, kuna swali linazuka, hizo bilioni 600 zinatoka wapi ikiwa znz hairuhusiwi kukopa au misaada?

Hapa wanajenga hoja nyingine kuwa sehemu ya bilioni 600 inatoka Tanganyika.
Sasa wanaposema wanaonewa kwa misaada, ni uonevu gani huo?

 
Kwanza naomba ulewe kitu kimoja hakuna hata sehemu moja niliyosema kwamba Zanzibar ni lazima wawepo kwenye muungano. Mimi sio mwenye kuabudu huu muungano tangu nilipoanza kuwa na akili zangu timamu. Ninachosema Zanzibar either WAJITOE KWENYE MUUNGANO, AU TUENDELEE KUWABEBA, lakini mkisema wachangie muungano hapo ndio ninapowaambia hilo haliwezakani, sababu hawana pato la kutosha.

Kuliko tujidanganye kusema kwamba serikali ya tatu itachangiwa na Zanziibar nasema hilo haliwezekani sababu the numbers doesn't add up. Sasa kama kuna jingine naombeni tujadili.

Ukiangalia maandiko yangu utaona nimekuwa nikisema Tuvunje Muungano sababu ya manung'uniko. Mimi sipo upande wa kupaka sukari, I tell the tale. Nimesema ukiangalia historia ya Zanzibar utaona ya kwamba Muungano haupendwi sababu moja kubwa ni kwamba mapinduzi ya 1963 yanaonekana ni haramu kutoka kwa Wazanzibar wengi. Chuki ya Zanzibar haitibiwi kwa kuanzisha serikali ya 3. Dawa moja tuu VUNJA, lakini serikali ya 3 hilo nitapinga kwa nguvu zangu zote.
Naona hujamalizia sentensi, sema hivi wznz wajitoe katika muungano na wala kusiwe na mkataba.
Hilo tumelisema siku nyingi na kutoa options mbili
1. Vunja jahazi tugawane mbao
2. Serikali 3 kwa mambo machache kila mmoja akila kwa urefu wa kamba yake

Short of that no serikali mbili. Kwanini!
1. Hazijaondoa tatizo kwa miaka 50
2. Hakuna majibu yatakayotokana na matatizo
3. Serikali mbili ni kumbebesha Mtanganyika zigo lisilo na manufaa. Ni kumuumiza Mtanganyika bila sababu.

Kwanini tunasema serikali 3 zina nafuu
1. Zanzibar italazimika kuchangia na hivyo kutambua umuhimu wa muungano na si vyeo au madaraka.
2. Itawafanya wawe responsible na muungano bila kuvunja katiba au kuwa na kiburi cha kitoto

Hesabu ni Rahisi
Kwa vile nje ya muungano watakuwa na jeshi, kiasi wanachochangia jeshi lao kiingie muungano
Kwa vile nje ya muungano watakuwa na balozi zao, kiasi kinachotumika kiingie muungano
Kwa vile watakuwa na Rais"(na sasa wana makamu wawili)kiasi wanachaotumia kiingine muungano
Kwavile wanakusanya kodi zao na idara zao kiasi kinachotumika kiingine muungano.

Haiwezekani kwa uchumi wao tugawana sawa, lakini katika mambo 7 ya tume ya Warioba lazima watakuwa nayo watake wasitake kama ambvyo Tanganyika itakuwa nayo.

Kwasasa hawachangii chochote (free ride) na wanachota sana kuliko mkoa mmoja wa Kilimanjaro wenye eneo kubwa, population na input kubwa katika national GDP.

Swali ni moja, kuna nini kiasi cha kuwaona wznz wana haki ya kuchota tu bila kuchangia? Na tutaendelea kurithisha hali hii kwa watoto wetu hadi lini. Ni matokeo haya ya kujiona wanahitajika sana katika muungano, sasa wanafikia mahali hawana heshima tena na katiba ya JMT.

Leo tunaambiwa eti hawawezi kuchangia kwasababu tu wanakiburi na hivyo tuendelee na serikali 2 ili kuficha uozo huu unaolimalimaliza taifa. Huu ni ujuha kama si limbwata.
 
Nguvu nadhani Kwa swala la gharama nimeshakuonyesha. Wewe unatoa theory tupu. Sasa naona why mkandara kaamua apumzike. Kasome budget tena kisha njoo tuongee. I walk you through Kwamba gharama za muungano ni 2,5 billion dollar. Why hutaki kujadili anzia hapo unazunguka mbuyu.

Mchambuzi upo wapi
 
Nguvu nadhani Kwa swala la gharama nimeshakuonyesha. Wewe unatoa theory tupu. Sasa naona why mkandara kaamua apumzike. Kasome budget tena kisha njoo tuongee. I walk you through Kwamba gharama za muungano ni 2,5 billion dollar. Why hutaki kujadili anzia hapo unazunguka mbuyu.

Mchambuzi upo wapi
Hapana si kiwango hicho! Kwanini sasa hivi analipia nani?
Mkuu bajeti nmeisoma yote ya JMT, mapendekezo ya Warioba na SMZ. Nina ufahamu wa kile ninachokiongea.

Mimi nongea katika kiwango cha mwananchi wa kawaida, sitaki kuwababaisha wananchi kwa GDP, Dow, Nikkei ili kuwapumbaza wananchi., hapana.

Mkandara kapunzika kwasababu hana majibu kama usivyo nayo.

Anasema tutenge ya muungano na yasiyo, tukamuuliza yasiyo ya muungano ashughulikie nani? Hapo ndipo alipotoweka
Huwezi kuwa na Tanzania na znz halafu ukawa na mambo ya muungano, yasiyo ya muungano na ya znz? Hesababu hazikubali hata kwa bahati mbaya.

1. Tumewauliza kwa miaka 50 kifanyike nini tofauti kwa serikali 2?
2. Vipi katiba kuvunjwa na znz ilikuwa jambo muafaka
3. Kwasasa zmz inachangia nini
4. Tukauliza misaada na mikopo mnayosema wananyonywa, vipi yale wanayionya.

Karibu sana Mkandara akapendekeza eti tuache kuendeleza bandari za Tanganyika ili ile ya znz ifanye kazi kwa ufanisi na kuinua maisha ya wznz hata kama ni kuumiza Watanganyika.

Mkandara akasema tuhamishe mahoteli yote znz ili kuinua uchumi.
Akadai tugawane misaada, hata kama znz inapata misaada zaidi ya misaada ya nje.

Hoja yako ya misaada imesihia wapi?

Nitarudi na bilioni 2.5dollar
 
Mimi nimwaambieni tangu mwanzo kama mnataka fair muungano basi mjua kati ya Tanzania bara na visiwani haupatikaniki. Nikawaambieni Kwamba everything goes back Kwenye hesabu.

Unasema wewe umejikita kwenye vitu vya kawaida lakini the bold truth ni Kwamba nchi haingozwi na vitu vya kawaida inaongozwa na economic strength ambayo inatoka na GDP. Kama huna economic strength unakaribisha chaos na mkabemkabe.

Hamuwezi kusema sisi tunajikita Kwenye Watanzania wa kawaida sababu mfumo wa uchumi ni beyond normal citizen understand. Ndio maana tunaosema Kwamba namba hazikubali tunajua tunachosema.
 
Mimi nimwaambieni tangu mwanzo kama mnataka fair muungano basi mjua kati ya Tanzania bara na visiwani haupatikaniki. Nikawaambieni Kwamba everything goes back Kwenye hesabu.

Unasema wewe umejikita kwenye vitu vya kawaida lakini the bold truth ni Kwamba nchi haingozwi na vitu vya kawaida inaongozwa na economic strength ambayo inatoka na GDP. Kama huna economic strength unakaribisha chaos na mkabemkabe.

Hamuwezi kusema sisi tunajikita Kwenye Watanzania wa kawaida sababu mfumo wa uchumi ni beyond normal citizen understand. Ndio maana tunaosema Kwamba namba hazikubali tunajua tunachosema.
Tunasema hivi kile ambacho znz inachangia katika huduma zake wakiweke katika muungano.

Mfano, nje ya muungano znz watakuwa na jeshi.
Tunasema kiaisi hicho wakitumbukize katika muungano.

Nje ya Muungano znz itakuwa na mambo ya nje, kiasi hicho kiingie katika shirikisho
Nje ya muungano znz itakuwa na msajili wa vyama, kiasi hicho kiingie katika shirikisho.

Kwa lugha rahisi ni hivi
1. Wabunge wa shirikisho kutoka znz wahudumiwe na serikali yao.
Ni chini ya 40, BLW lina 50 kwanini washindwe?

2. Kiasi cha ulinzi na usalama kichangiwe hata kama ni milioni moja, watashindaje?
etc etc

Katika mambo 7 hakuna hata moja ambalo unaweza kusema si lazima kwa znz iwe ndani au nje ya muungano.

Hivyo gharama zao lazima wachangie, the bottom line wachangie hata kama ni asilimia 4.
Kwasasa ni zero ndiyo maana wanakiburi cha kufanya watakayo.

Nikupe mfano rahisi, Wakati Mtanganyika analipa umeme zaidi Mzanzibar anatumia bure.
Mwaka jana SMZ ilitoa bilioni 20 kama sehemu ya deni la mabilioni.
Pesa hizo zimeliwa na wznz, leo utuambie hawawezi kulipa na Watanganyika kupitia serikali 2 wawabebe tu.

ZMO imekusanya dola 400,000 kusajili meli za nje. Kwa kutumia mantiki yao bili za Tanzania kule IMO zimelipwa na Tanganyika, pengine kwa nadharia yako kuwa znz haiwezi.

Hivyo kwako kumbebesha Mtanganyika zigo hilo kwa kutumia mfumo wako wa serikali 2 ni sawa sawa kwavile mznz anaweza kuchukua 400,000 dola ambazo haziingii katika muungano.

Mfano zaidi, znz mwaka 2012 imedhamini wanafunzi 800 elimu ya juu
JMT ikadhamini wanafunzi 1000 wa znz.

SMZ inadai wale 800 warudishe mikopo SMZ.
Wale waliodhaminiwa na JMT hawatakiwi kurudisha mikopo kwasababu ni wazanzibar hawana uwezo kwa mtindo ule ule wa fikra zako.

Hatuwezi kuendekeza hali hiyo kwa maumivu ya Tanganyika. Serikali 2 unazosema zimeshindwa
 
Tunasema hivi kile ambacho znz inachangia katika huduma zake wakiweke katika muungano.

Mfano, nje ya muungano znz watakuwa na jeshi.
Tunasema kiaisi hicho wakitumbukize katika muungano.

Nje ya Muungano znz itakuwa na mambo ya nje, kiasi hicho kiingie katika shirikisho
Nje ya muungano znz itakuwa na msajili wa vyama, kiasi hicho kiingie katika shirikisho.

Kwa lugha rahisi ni hivi
1. Wabunge wa shirikisho kutoka znz wahudumiwe na serikali yao.
Ni chini ya 40, BLW lina 50 kwanini washindwe?

2. Kiasi cha ulinzi na usalama kichangiwe hata kama ni milioni moja, watashindaje?
etc etc

Katika mambo 7 hakuna hata moja ambalo unaweza kusema si lazima kwa znz iwe ndani au nje ya muungano.

Hivyo gharama zao lazima wachangie, the bottom line wachangie hata kama ni asilimia 4.
Kwasasa ni zero ndiyo maana wanakiburi cha kufanya watakayo.

Nikupe mfano rahisi, Wakati Mtanganyika analipa umeme zaidi Mzanzibar anatumia bure.
Mwaka jana SMZ ilitoa bilioni 20 kama sehemu ya deni la mabilioni.
Pesa hizo zimeliwa na wznz, leo utuambie hawawezi kulipa na Watanganyika kupitia serikali 2 wawabebe tu.

ZMO imekusanya dola 400,000 kusajili meli za nje. Kwa kutumia mantiki yao bili za Tanzania kule IMO zimelipwa na Tanganyika, pengine kwa nadharia yako kuwa znz haiwezi.

Hivyo kwako kumbebesha Mtanganyika zigo hilo kwa kutumia mfumo wako wa serikali 2 ni sawa sawa kwavile mznz anaweza kuchukua 400,000 dola ambazo haziingii katika muungano.

Mfano zaidi, znz mwaka 2012 imedhamini wanafunzi 800 elimu ya juu
JMT ikadhamini wanafunzi 1000 wa znz.

SMZ inadai wale 800 warudishe mikopo SMZ.
Wale waliodhaminiwa na JMT hawatakiwi kurudisha mikopo kwasababu ni wazanzibar hawana uwezo kwa mtindo ule ule wa fikra zako.

Hatuwezi kuendekeza hali hiyo kwa maumivu ya Tanganyika. Serikali 2 unazosema zimeshindwa

Sasa kwa sababu ushakubaliana na mimi kwamba Hisabati za Zanzibar kuchangia asilimia 11% ni sawa na Tanzania kutangaza safari ya mwezini by 2015 it's simple impossible.

Sasa twende kazi, jee unadhani ni rational kuanzisha serikali ya 3 ambayo itakugharimu wewe 2.5 Billion dollar na kuongeza matumizi ya serikali yako kwa asilimia 21% ili tu kuwakomesha Wanzanzibar wachangie 4%. Hebufanya cost benefit analysis hapo, increase government expenditure by 21% to receive 4% subsidy from Government. Unaona jinsi namba zilivyo against wewe na Jaji Warioba? Kaka hapa hakuna njia ya kutoka, mtakwenda kuja na metrics za Comoros au Shelisheli lakini ukweli upo palepale hesabu hazikubali.

Sasa kama nilivyosema mwanzo, kama mnataka huu muungano uendelee hivi hivi kimungumungu haya lazima yafanyake
  1. Kwanza lazima Wazanzibar wasukumwe ili warudi kwenye meza kujadili katiba ya 2010 jinsi ilivyovunja mipaka. Wawekee wazi kabisa kwamba kama wanataka iendelee kusimama basi Muungano BASI, sababu hiyo itakuwa nje ya Katiba ya Tanzania.
  2. Kama hilo litashindikana then maamuzi yapelekwe kwa Watanzania kupitia referendum vote ya kuomba kuvunja muungano.
  3. Kama namba moja litafanikiwa basi lazima tuyajadili mambo saba, na kutafuta solution now bila kulaza viporo

Haya yote yanawezekana bili kuongeza 2.5 Billion expenditure. Mimi nasema kuliko tuongeze madeni bora tuuvunje tuu muungano.
 
Sasa kwa sababu ushakubaliana na mimi kwamba Hisabati za Zanzibar kuchangia asilimia 11% ni sawa na Tanzania kutangaza safari ya mwezini by 2015 it's simple impossible.

Sasa twende kazi, jee unadhani ni rational kuanzisha serikali ya 3 ambayo itakugharimu wewe 2.5 Billion dollar na kuongeza matumizi ya serikali yako kwa asilimia 21% ili tu kuwakomesha Wanzanzibar wachangie 4%. Hebufanya cost benefit analysis hapo, increase government expenditure by 21% to receive 4% subsidy from Government. Unaona jinsi namba zilivyo against wewe na Jaji Warioba? Kaka hapa hakuna njia ya kutoka, mtakwenda kuja na metrics za Comoros au Shelisheli lakini ukweli upo palepale hesabu hazikubali.

Sasa kama nilivyosema mwanzo, kama mnataka huu muungano uendelee hivi hivi kimungumungu haya lazima yafanyake
  1. Kwanza lazima Wazanzibar wasukumwe ili warudi kwenye meza kujadili katiba ya 2010 jinsi ilivyovunja mipaka. Wawekee wazi kabisa kwamba kama wanataka iendelee kusimama basi Muungano BASI, sababu hiyo itakuwa nje ya Katiba ya Tanzania.
  2. Kama hilo litashindikana then maamuzi yapelekwe kwa Watanzania kupitia referendum vote ya kuomba kuvunja muungano.
  3. Kama namba moja litafanikiwa basi lazima tuyajadili mambo saba, na kutafuta solution now bila kulaza viporo

Haya yote yanawezekana bili kuongeza 2.5 Billion expenditure. Mimi nasema kuliko tuongeze madeni bora tuuvunje tuu muungano.
Kwanza kabla ya kusema kuna ongezeko la gharama kwa 21% lazima utonyeshe kwasasa gharama zikoje, zinalipwaje.

Pili, tuonyeshe ni kwa namna gani mambo yanaweza kupunguzwa kutoka 22 hadi 7 na gharama zikaongezeka kwa 21%
 
Mtanganyika, hivi - what's your analytical framework juu ya jambo husika, if you have any;kwa kweli hauna, unaruka ruka tu na uchambuzi wa ki-serengeti advisors;ebu nipe your analytical framework so that we put it to test;umetembelea threads zangu za nyuma kama nilivyokuomba kabla sijajiudia rudia?


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Kwanza kabla ya kusema kuna ongezeko la gharama kwa 21% lazima utonyeshe kwasasa gharama zikoje, zinalipwaje.

Pili, tuonyeshe ni kwa namna gani mambo yanaweza kupunguzwa kutoka 22 hadi 7 na gharama zikaongezeka kwa 21%
MTANGANYIKA Maswali hayo yanasubiri majibu
 
Last edited by a moderator:
Pato la Zanzibar kwa sasa ni Million 200 USD, vyanzo vya mapato Zanzibar viko limited sana, sababu ya Geographical location na population na lack of natural resources. Pato hilo na misaada wanaweza kujiendesha wenyewe, lakini mkiwaambia wachangie Vifaru, Submarine na office za mabalozi dunia nzima, watakubali kwenye karatasi few years later wataukimbia muungano na sisi ndio tulale nalo deni.

Jamani mmesahau kifo cha 1977 cha EAC mpaka leo Tanzania inalipa wafanyakazi wa EAC viinua mgongo.

Nilipo underline,

Naomba nikusahihishe kidogo.

Pesa za waliokuwa wafanyakazi wote wa EAC zilitolewa na UK baada ya tafiti na kujua stahili za wafanyakazi wote kutokana na mishahara yao na nchi wanazotoka na zikapelekwa kwa nchi zote husika. Kenya na Uganda waliwalipa kama ilivyoelezwa katika mchanganuo wao. TZ walizitumia katika Vita ya Uganda na hivyo kutowalipa wastahafu hao mpaka leo.

 
Sasa kwa sababu ushakubaliana na mimi kwamba Hisabati za Zanzibar kuchangia asilimia 11% ni sawa na Tanzania kutangaza safari ya mwezini by 2015 it's simple impossible.

Sasa twende kazi, jee unadhani ni rational kuanzisha serikali ya 3 ambayo itakugharimu wewe 2.5 Billion dollar na kuongeza matumizi ya serikali yako kwa asilimia 21% ili tu kuwakomesha Wanzanzibar wachangie 4%. Hebufanya cost benefit analysis hapo, increase government expenditure by 21% to receive 4% subsidy from Government. Unaona jinsi namba zilivyo against wewe na Jaji Warioba? Kaka hapa hakuna njia ya kutoka, mtakwenda kuja na metrics za Comoros au Shelisheli lakini ukweli upo palepale hesabu hazikubali.

Sasa kama nilivyosema mwanzo, kama mnataka huu muungano uendelee hivi hivi kimungumungu haya lazima yafanyake
  1. Kwanza lazima Wazanzibar wasukumwe ili warudi kwenye meza kujadili katiba ya 2010 jinsi ilivyovunja mipaka. Wawekee wazi kabisa kwamba kama wanataka iendelee kusimama basi Muungano BASI, sababu hiyo itakuwa nje ya Katiba ya Tanzania.
  2. Kama hilo litashindikana then maamuzi yapelekwe kwa Watanzania kupitia referendum vote ya kuomba kuvunja muungano.
  3. Kama namba moja litafanikiwa basi lazima tuyajadili mambo saba, na kutafuta solution now bila kulaza viporo

Haya yote yanawezekana bili kuongeza 2.5 Billion expenditure. Mimi nasema kuliko tuongeze madeni bora tuuvunje tuu muungano.

Hili la kurudi na kubadilisha Katika ya Znz a 2010 haliwezekani kabisa kwani itakuwa sawa na kutaka kulirudisha ZEGE liwe CEMENT baada ya kulikoroga

Kwa waZnz ... ZNZ kwanza mengine baadae.

 
Hili la kurudi na kubadilisha Katika ya Znz a 2010 haliwezekani kabisa kwani itakuwa sawa na kutaka kulirudisha ZEGE liwe CEMENT baada ya kulikoroga

Kwa waZnz ... ZNZ kwanza mengine baadae.

Sijui Mtanganyika hasomi nyie Wazanzibar mnachokisimamia? Zanzibar kwanza mengine baadae!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom