JK aliwahi kuulizwa nadhani kwenye mkutano wa davos, Africa isaidiwe vp ili iweze kujikomboa akasema "WAZUNGU WATUZIDISHIE MISAADA MARADUFU KWENYE NCHI ZA AFRICA" hapo maendeleo lazima yapatikane, tafakari mawazo ya mwenye kiti wa chama hayoAfrica bila misaada ni ngumu kuendelea tuache mbwembwe tuwe wakweli, Kwetu ni pigo kubwa sana
Nandicho alichokifanya katika utawala wake magufuli siyo kikweteJK aliwahi kuulizwa nadhani kwenye mkutano wa davos, Africa isaidiwe vp ili iweze kujikomboa akasema "WAZUNGU WATUZIDISHIE MISAADA MARADUFU KWENYE NCHI ZA AFRICA" hapo maendeleo lazima yapatikane, tafakari mawazo ya mwenye kiti wa chama hayo
Kama unataka kulazimisha sawa! Lakini ukweli ni kuwa siyo watanzania wote wana agenda ya zanzibar zaidi ya UKAWA na UKIWA!
Zanzibar raisi kashaapishwa hakuna jipya kuleTuseme hamna agenda hiyo ndio mpindue ya wananchi ?! By the way UKAWA ni raia wa nchi ipi?! Hawana haki zao?!
Teteeni chama kwa kuishauri iendane na iliyoyasaini. Leo hii MCC imewaaibisha mkubali msikubali
Swadakta! ....na 'upanga' huu bila ya shaka umekusudia 'ukate' kotekote. Ama limekuponyoka tu?... It is now high time kufanya siasa safi za maendeleo (politics of development) na sio kujikita katika katika siasa za madaraka (Politics of Power)...
Zanzibar raisi kashaapishwa hakuna jipya kule
Hapa ni kufurahi mpaka miaka mitano ipiteSasa kinawauma nini mfurahi yaishe
Kwanini wananikamata mie niliyeua mtoto ilhali Kuna aliyemua ajuzaWell said brother.
Hizi ni double standard za Mabeberu wa nchi za Magharibi.
Nani mwenye demokrasia kati ya Tanzania na Misri.
Hapo ndio unajuwa kuwa wasomi wetu mpo kama vibalaka wa mataifa ya nje. Ivi marekani anategemea misaada kutoka wapi? Yy anaishi VP? Inatakiwa tucmame na ccTangu lini muajiriwa wa kitengo akaipinga serikali yake?? Je tunafahamu umuhimu wa fedha za kigeni kwenye mzunguko?? Je unafahamu mataifa ya nje yakiacha kutoa nsaada thamani ya shilingi itashuka dhidi ya dola?? Je unafahamu uwezo wa nchi yetu kuuza nje ili kupata fedha za kigeni upo chini sana kiasi kwamba misaada ya wahisani ndio inaongeza fedha za kigeni kwenye mzunguko wetu, je unafahamu hali hii ikiendelea ya kukosa misaada ya wahisani bidhaa za nje zitakuwa ni ghali sana kiasi cha watanzania wengi kushindwa kuzipata?
Je wajua asilimia 50+ ya bajeti inahitaji fedha za wahisani, je wajua kukiwa na mdororo wa kiuchumi hayo makusanyo yatashuka hadi aibu? Yapo mengi ila ngoja nichangie taifa hapa kwa kunywa castle lager ya baridi
We unadhani marekani aliendelea bila misaada??? We unajua ni nchi gani inaongoza kwa kuwa na madeni makubwa zaidi duniani??Hapo ndio unajuwa kuwa wasomi wetu mpo kama vibalaka wa mataifa ya nje. Ivi marekani anategemea misaada kutoka wapi? Yy anaishi VP? Inatakiwa tucmame na cc
Wanasema eti time will tellOngeza juhudi wakati wowote jina lako litawekwa kwenye orodha ya ma DC wapya!
Zinatakiwa zizalishwe kwa kuuza bidhaa nje, ke nchi yako inauwezo wa kuuza bidhaa nje??Kumbe fedha za kigeni zinaletwa na MCC tu au ndio pesa yetu ingeongezeka thamani maradufu mkuu
Kusema ukweli ni ukuwadi tena mkuu??Nakuona kuwadi