Mtazamo: Kuhusu MCC kusitisha msaada wa MCC 2 na shughuli zake Tanzania

dawa chungu ndio inaponyesha - hii itasaidia kuondoa ukurunzinza - chama kikifika wakati wa kung'atuka kitoke kwa Amani na ushirikiano.
 
Kumbe kina Lowasa waliosema Serikali hii haina maono waliona mbali sana ,
 
MCC is just the beginning. Let's wait and see the bigger picture.


Hakuna cha bigger picture Marekani huwa hamumunyi maneno, kwa hali ya kawaida tayari sasa hvi Balozi angeshaongea na kutoa tamko rasmi la nchi yake kwanza sia ajabu kesho ukamuona yuko Chato wanakula samaki na Magufuli!
 
Bwana Pole Pole wewe ni mjinga kama CCM wenzio!

Sijui kama uwezo wako wa kufikiri uko sawa sawa!

Yaani wewe kazi yako ni kutetea kitu chochote cha CCM, kiwe kizuri au kibaya!
 
Na watakapo sitisha utoaji wa dawa za UKIMWI, TB na kutochangia gharama za dawa za Malaria ndipo hawa watu Jamii ya Polepole ndio watajua athari juu ya kudharau maoni ya nchi wahisani pale wanapotaka nchi iwe na Demokrasia huru na utawala bora ili hata wakitoa fedha zao ziwafikie walengwa.
 
Mamistari meengi. ...kwa kifupi waache hao mabepari waende na hela zao. ..

Hatutaki samaki wa kupewa. ..tunajifunza kuvua
 
tufike sehemu tujikubali,,ipo siku watatuonea wivu,,ndipo misaada yao haitakuwa na mashart makali,,mcc safar njema natambua ipo siku mtarud kwa jina lingine namsipe nafas kirahis kama mlivyo ingia.
Duh!!! Marekani aionee wivu Tanzania hili litakuwa ajabu La 9 la Dunia kwa kipi hasa? Mijitu kama nyie ndio mliotufanya tuwe hivi yaani masikini halafu mnatetea upuuzi wa CCM Nyambaaaafu!
 
Waheshimiwa, Watanzania wenzangu.
"...Hii haiingii akilini..."
Mie sio mchumi, wala mwanasiasa, walakini najua maana ya uzalendo.

Tunalumbana for and against na hili, ni sawa ndio domokrasia tuliopewa. Zaidi ya hapo wao, "Wamarekani" demokrasia yao ipo kwenye matata. Fuatilia kinyang'anyiro cha urais huko mifano ipo huko na usikie domokrasia yao huko. Hakuna democracy ya kweli. Inakuwaje waje watueleze namna ya kufanya uchaguzi? Kwa domokrasia? wakati kuna demokrasia na sheria mbadala Tanzania?

Mbali na hayo, hizi karoti zimepitwa na wakati, zimeoza na hatuzitaki.

And for Domocracy sake take your money and shove it up "...I dont know where..." your choice! You have banks, flint and so on and forth. Urgh!

Kwa wananchi wenzangu, hili tulikubali kwa kukataa. Tunajua nani wametufikisha hapa. Angalieni kura zenu uchaguzi ujao. Walakini, masharti kama hayo hayana pahali kwake katika katika karne hii wala zijazo Tanzania na Afrika kwa ujumla.
Ni maoni yangu.
 
We mch...ia tumbo kumbuka unaongea hii hadithi ukiwa bado na pesa ulizotumbua wakati wa rasimu hewa ya Warioba na ile uliyolipwa kumchafua Lowassa. Watoto wa wakulima wala huwezi fahamu maisha wanayoishi huko vijijini. Ni bora ukanyamaza usubiri hiyo zawadi yako
 
Aka kajamaa huwa ninakasikiaga kanapigapiga propoganda mfu - ni kazaliwa ka wapi na kamesoma hadi darasa la ngapi vile? Maake wakati mwingine twawezajikuta tunabishana na vihiyo hapa ambapo ni upotezaji wa muda na nguvu.
 
..... ukuu wa wilaya utawatoa roho wachumia tumbo wa lumumba
 
Hizo dola bil 3 kwa Egypt & billion 6 kwa Israel ni za mfuko wa MCC? Acha kuchanganya mambo na kujivua ufahamu. Mmeshawapora waZNZ haki yao ..endeleeni tu kusheherekea na kupeana nyadhifa
 
blah! blah! mineno ya mkosaji. trillion 1.2 zileeeeee
 

tufike sehemu tujikubali,,ipo siku watatuonea wivu,,ndipo misaada yao haitakuwa na mashart makali,,mcc safar njema natambua ipo siku mtarud kwa jina lingine namsipe nafas kirahis kama mlivyo ingia.
o
 
Hayo ndo matokeo ya kuwa tegemezi. Mfano huu wa MCC unafaa kufundishia watoto wetu mashuleni ili wakue waki uchukia utegemezi na hasa wa nchi yetu kwa nchi za magharibi. Uingereza ilishawahi kutamka wazi kuwa haitatoa misaada kwa nchi itakayopinga ushoga. Na kauli hiyo ilisumbua sana Africa lakini hatukuwa na la kufanya zaidi ya kukubali.
Kwa hiyo Mkuu unapaswa kuuchukia utegemezi na hapa uanze na utegemezi wa kipato yaan uchumi wako.

Ndan ya miezi sita tutakuwa tumepata hela hiyo hela na zaidi. Ni hela ndogo sana hiyo. Ni asilimia 80% tu ya makusanyo ya mwezi. Ni vizuri kujitambua na kutoharibu nchi kwa minajiri ya kuwafurahisha wazungu.

Hata waliodai uhuru walipambana hawakuogopa kuwa mzungu akiondoka nchi itapata shida. Waliamua kumfukuza mzungu no matter what. Walifanikiwa na nchi zimeendelea kuwepo.
 
Uzalendo Gani wa Kupongeza Wezi wa Madaraha Tena Bila ya aibu. Na ati Niliona Jaji Mkuu, aliyekula Kiapo cha haki na Bible,au Msahafu, ati Akimwapisha Mtu aliyepora Madaraka Waziwazi. Sisi Watanzania Tunatakiwa tuone aibu kuwa badala ya Sisi Kuona Kinyaa, Wageni wa Mataifa Mengine wanaona Kinyaa kwa Niaba yetu, aibu!
 
Uhuru Gani CCM wanaopigania? Wa Dunia Kuwanyamazia Wanapoiba Madaraka? Uhuru huo Mkautafute Jehanamu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…