MTAZAMO: Nini tofauti ya vifaa vya upako vya manabii (maji, mafuta, chumvi) na vifaa vya baraka vya kanisa Katoliki (maji, misalaba, rosali, picha)?

MTAZAMO: Nini tofauti ya vifaa vya upako vya manabii (maji, mafuta, chumvi) na vifaa vya baraka vya kanisa Katoliki (maji, misalaba, rosali, picha)?

Zanzibar-ASP

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2013
Posts
11,550
Reaction score
40,697
Nimejaribu kuwaza na kutafakari haya yanayoendelea sasa katika madhehebu ya kisasa ya kikristo (makanisa ya manabii?) ya kugawa au kuuza visaidizi vya kiimani kama maji, mafuta, chumvi, vitambaa ili waumini wao wabarikiwe na yale yanayoendelea kwenye dhehebu kongwe zaidi la kikristo (kanisa katoliki) ya kugawa au kuuza visaidizi vya kiimani kama maji ya baraka, rosali, picha za kubuni za Yesu, Maria na Yusuph, Misalaba nk. ili waumini wake wapate kubarikiwa.

Nini tofauti yao ya kimsingi ikiwa lengo ni lile lile (waumini wapate baraka kupitia vitu hivyo) pasipo ulazima sana wa kumwamini Yesu mioyoni mwao na kumshika yeye pekee yake ili wapate baraka zake?
 
Nimejaribu kuwaza na kutafakari haya yanayoendelea sasa katika madhehebu ya kisasa ya kikristo (makanisa ya manabii?) ya kugawa au kuuza visaidizi vya kiimani kama maji, mafuta, chumvi, vitambaa ili waumini wao wabarikiwe na yale yanayoendelea kwenye dhehebu kongwe zaidi la kikristo (kanisa katoliki) ya kugawa au kuuza visaidizi vya kiimani kama maji ya baraka, rosali, picha za kubuni za Yesu, Maria na Yusuph, Misalaba nk. ili waumini wake wapate kubarikiwa.

Nini tofauti yao ya kimsingi ikiwa lengo ni lile lile (waumini wapate baraka kupitia vitu hivyo) pasipo ulazima sana wa kumwamini Yesu mioyoni mwao na kumshika yeye pekee yake ili wapate baraka zake?
Kanisa Katoliki lina maji ya baraka tu na ambayo hutolewa bure Kanisani baadavya kuombewa na Padre. Rozali na misalaba kwenye Kanisa, navyo ni vitu viwili tofauti.
 
Nimejaribu kuwaza na kutafakari haya yanayoendelea sasa katika madhehebu ya kisasa ya kikristo (makanisa ya manabii?) ya kugawa au kuuza visaidizi vya kiimani kama maji, mafuta, chumvi, vitambaa ili waumini wao wabarikiwe na yale yanayoendelea kwenye dhehebu kongwe zaidi la kikristo (kanisa katoliki) ya kugawa au kuuza visaidizi vya kiimani kama maji ya baraka, rosali, picha za kubuni za Yesu, Maria na Yusuph, Misalaba nk. ili waumini wake wapate kubarikiwa.

Nini tofauti yao ya kimsingi ikiwa lengo ni lile lile (waumini wapate baraka kupitia vitu hivyo) pasipo ulazima sana wa kumwamini Yesu mioyoni mwao na kumshika yeye pekee yake ili wapate baraka zake?
Hivi, RC huwa wanauza maji ya baraka? Mkoa upi huo?

NB: Vifaa ulivyoviita visaidizi kiimani kama picha,rozali na misalba hutengenezwa kwa gharama(hasa rasilimali fedha, muda na malighafi husika) hivyo waamini huchangia kurejesha ili vipatikane vingine. Kuhusu kufanana au kutofanana hiyo inategemea kila dhehebu lilianzisha kitu au jambo kwa malengo yepi na si ilimradi tu.
 
Wakatoliki na hao manabii wanatumia Biblia moja ila Ila wana mitazamo tofauti kabisa!

Kujibu Swali:

Kila kitu ni tofauti, ni jukumu la mlaji kuamua nini kinamfaa:

Comment Binafsi:

Wakatolic - systematic utapeli.
Manabii - Watapeli wa Wazi!

Mafuta ya upako na maji ya baraka zote ni tafsiri zisizo sahihi!

Epuka kutapeliwa, soma Biblia mwenyewe, jaribu kuielewa na mwombe roho Mtakatifu akusaidie!
 
Wakatoliki na hao manabii wanatumia Biblia moja ila Ila wana mitazamo tofauti kabisa!

Kujibu Swali:

Kila kitu ni tofauti, ni jukumu la mlaji kuamua nini kinamfaa:

Comment Binafsi:

Wakatolic - systematic utapeli.
Manabii - Watapeli wa Wazi!

Mafuta ya upako na maji ya baraka zote ni tafsiri zisizo sahihi!

Epuka kutapeliwa, soma Biblia mwenyewe, jaribu kuielewa na mwombe roho Mtakatifu akusaidie!
Mtu akipewa maji ya baraka bure na mwingine akapewa maji ya upako kwa kulipa fedha utuekeze ni mambo sawa yenye mtazamo tofauti?Tafakari upya.
 
Mtu akipewa maji ya baraka bure na mwingine akapewa maji ya upako kwa kulipa fedha utuekeze ni mambo sawa yenye mtazamo tofauti?Tafakari upya.

Akili huna, wakati wa Idd kuna watu hutoa nyama bure na wengine huchagua kwenda kununua!

Ukatoliki ni utapeli systematic, unaweza upewe hayo maji bure ila kuna mahali unapigwa hasa!

Sasa Kama ulitaka kutoa credit kwa ukatolic kwa kutoa bure, usingeuliza na ku lead unavyotaka ujibiwe!
 
Akili huna, wakati wa Idd kuna watu hutoa nyama bure na wengine huchagua kwenda kununua!

Ukatoliki ni utapeli systematic, unaweza upewe hayo maji bure ila kuna mahali unapigwa hasa!

Sasa Kama ulitaka kutoa credit kwa ukatolic kwa kutoa bure, usingeuliza na ku lead unavyotaka ujibiwe!
Mimi sijawahi kuwa na akili hata dakika moja ila ungetulia na kujiridhisha kwamba umeelewa nilichokiandika.Vema.Sasa,utueleze mtu akipewa maji ya baraka halafu inakuwaje anafanyiwa utapeli systematic?Naamini hakuna anayependa kutapeliwa.
 
Covax, Yoda, matunduizi haya si ndiyo yale mambo ya Ngoswe kujiingiza humo ni kupoteza muda?
Mtoto anaiga kwa mama. Hao wote ni watoto na wajukuu wanaoeneza kazi za mama yao.
Yesu anasisitiza watu wa amini Neno pekee linauwezo mkubwa kuliko vifaa.

Yesu alimwambia mzungu mwanajeshi ndiye mwenye imqni kuliko israel wote pale alipomwambia Yesu "sema neno" kule mgonjwa atapona. Neno lina nguvu kuliko vifaa tiba vya na miungu ya kiroho.
 
  • Usijitengenezee sanamu ya kuchongwa au mfano wa kitu chochote kilicho juu mbinguni au kilicho chini duniani au kilicho ndani ya maji chini ya dunia. Usiviinamie wala kushawishiwa kuviabudu, kwa sababu mimi, Yehova Mungu wako, ni Mungu ninayetaka watu waniabudu mimi peke yangu.”—Kutoka 20:4, 5. a
  • “Sanamu zao ni fedha na dhahabu, kazi ya mikono ya mwanadamu. Zina kinywa, lakini haziwezi kuongea; zina macho, lakini haziwezi kuona; zina masikio, lakini haziwezi kusikia; zina pua, lakini haziwezi kunusa; zina mikono, lakini haziwezi kugusa; zina miguu, lakini haziwezi kutembea; hazitoi sauti yoyote kwa koo zake. Watu wanaozitengeneza watakuwa kama sanamu hizo, na pia wote wanaozitumaini.”—Zaburi 115:4-8.
  • “Mimi ni Yehova. Hilo ndilo jina langu; sishiriki utukufu wangu na yeyote, wala kuzipa sanamu za kuchongwa sifa yangu.”—Isaya 42:8, maelezo ya chini.
  • “Ikimbieni ibada ya sanamu.”—1 Wakorintho 10:14.
  • “Jiepusheni na sanamu.”—1 Yohana 5:21.
 
🤣
 

Attachments

  • 501100042_univ_lsr_md.jpg
    501100042_univ_lsr_md.jpg
    102.4 KB · Views: 11
Kwenye Imani viliitwa vishikiza Imani na Lilikua ni neno la mara Moja sio kuirudia rudua kwa mfano ilikua mtu unaambiwa shika maji yanaombewa anapewa mwenye tatizo Fulani, au mafuta yaliyopo yanabarikiwa anapakwa mtu. Au nguo iliyopo hapo inabarikiwa anaenda kuwekewa mtu ni neno la Imani linalotoka mara Moja tu .Ndio maana ukiona katika habari za Yesu Kuna muda alitengeneza tope kwa mate kisha akampaka mtu akapona lakini huoni Yesu au yule mtu aliendelea kutembea na Yale mate. Tukirudi kwa Hawa manabii sijui haya mafundisho na hizi biashara wameyatoa wapi na watu wanapelekwa wapi😂😂
 
Wote ni sawa wanachotofautiana ni approach tu.Hawa kwa vile ni watoto wadogo wanaendesha kitoto sana lakini RC wenyewe wanapiga kisirisiri kwa hekima.Hayo maji wanatoa bure lakini wanatoza sadaka na michango kibao ikiwemo huduma za ndoa,komunio,kipaimara na michango ya hijja tegemeza oarokia,tegemeza Jimbo nk.Hizo tasbihi,rozali,vidani,sanamu za Yesu,Bikira Maria,Yusuph,ving'ombe,mbuzi vya mtoto Yesu wa Krismas vyote ni Hela tu.Katoliki ni mama na hao wengine wote ni binti zake.Hakuna wa kumnyooshea kidole mwenzake.Ni kama Marekani inavyojifanya kusimamia demokrasia kwenye nchi zingine.
 
Nimejaribu kuwaza na kutafakari haya yanayoendelea sasa katika madhehebu ya kisasa ya kikristo (makanisa ya manabii?) ya kugawa au kuuza visaidizi vya kiimani kama maji, mafuta, chumvi, vitambaa ili waumini wao wabarikiwe na yale yanayoendelea kwenye dhehebu kongwe zaidi la kikristo (kanisa katoliki) ya kugawa au kuuza visaidizi vya kiimani kama maji ya baraka, rosali, picha za kubuni za Yesu, Maria na Yusuph, Misalaba nk. ili waumini wake wapate kubarikiwa.

Nini tofauti yao ya kimsingi ikiwa lengo ni lile lile (waumini wapate baraka kupitia vitu hivyo) pasipo ulazima sana wa kumwamini Yesu mioyoni mwao na kumshika yeye pekee yake ili wapate baraka zake?

Kwanza sahihisha, hakuna kanisa katoliki linalouza maji.

Kwa wakatoliki, maji, msalaba, rozari, picha, havina kitu chochote kwa asili yake kama vilivyo.

Vitu hivyo hupewa thamani baada ya ibada maalum au sala fupi ya mtu inayofanywa na aliyewekwa wakfu (padre, askofu, kadinali, papa). Na hakuna malipo hata ya shilingi moja. Maji kwa kuwa yanachotwa bure, yakishabarikiwa, mtu yeyote huweza kuyachukua bila ya malipo yoyote. Rozari, msalaba, matawi, nyumba yako, gari lako, pikipiki yako, au kitu kingine chochote unachotaka kibarikiwe, wewe unayetaka kibarikiwe, unajua jinsi ulivyokipata, kama umenunua, umepewa bure au umetengeneza mwenyewe, hilo halimhusu kasisi wa kanisa. Lakini yeye atafanya ibada ya kunariki bure.
 
Back
Top Bottom