Kimpyempye
JF-Expert Member
- Dec 11, 2018
- 723
- 1,157
Tanesco wamenitoa kwenye huduma ya umeme wa bei rahisi bila sababu. Kwa hilo tu sitawasamehe kamwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je ulijibiwa ambavyo haujaridhika ofisi gani? Nani alikujibu na alikujibuje? Tafadhali tupatie namba yako ya simu na siku uliyojibiwa tufatilie
Tafadhali shauri ni nini kiboreshwe zaidi ufurahie huduma zetu
Huwa nashindwa kabisa kujua kuwa wanaweka namba za nini.Wanaweka contacts na address kwenye page zao. Jaribu sasa kuwafikia au kuwatafuta, hapo ndio utaona maajabu ya ulimwengu!
*Simu haipokelewi hata upige kutwa mzima! Pale kuna ma-secretary (customer care/service), vi-bibi
havielewi chochote kuhusu umuhimu wa mteja.
Email zenye domain za shirika haziendi. Utaletewa meseji'
'Your message wasn't delivered because the address couldn't be found, or unable to receive mail.'
*Barua hazijibiwi
*Ukienda ofisini hawatojali.
Hebu jibu hili swali kinagaubaga bila maneno mengi :Tunamaanisha TANESCO tupo vizuri na kama unachangamoto yeyote tafadhali ilete tusaidiane kuitatua, TANESCO ni yenu, ni mali ya uma mnawajibu wa msingi wa kuisaidia kuwahudumia vema kwa kutoa taarifa sahihi, ushauri nk