Sax
JF-Expert Member
- Aug 16, 2015
- 3,578
- 6,740
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamekufanyeje tena mwagito?Songesha - Vodacom!
Bwana TANESCO hii ni siasa unaletaTANESCO ya sasa sio ya zamani na ya kesho inaonesha dira ya mabadiliko makubwa sana kwenye utoaji wa huduma, tunakuhakikishia kuwa kwa huduma zetu zimeboreshwa sana na wateja wamekuwa wakionesha hilo.
Hebu twende kwa data au taarifa kamili ya wapi unapendekeza paboreshwe zaidi ili ufurahie huduma zetu
Huu ni mtazamo wangu kutokana na uzoefu wangu wa kupitia huduma mbali mbali katika mashirika hayo kwangu naona Hawa WATANO Wafuatao kwao mteja ni "boya" na Wala sio mfalme
5. TRA
4. Polisi
3. Maji
2. Nida
1. Tanesco
Kama umewahi kwenda ofisi hizo hapo juu utaona jinsi unavyopokelewa mpaka kuhudumiwa mpaka unajisemea moyoni..
'kungekuwa na mbadala ningeenda"
Anyway ni mtazamo tu..
Naomba kote mpinge ila sio hapo kwa Tanesco🤣🤣
Namba zenu za huduma kwa wateja pamoja na emergency mmehakikisha zinafanyakazi zote? Nyingi ya namba hizo ni unreachableTANESCO ya sasa sio ya zamani na ya kesho inaonesha dira ya mabadiliko makubwa sana kwenye utoaji wa huduma, tunakuhakikishia kuwa kwa huduma zetu zimeboreshwa sana na wateja wamekuwa wakionesha hilo.
Hebu twende kwa data au taarifa kamili ya wapi unapendekeza paboreshwe zaidi ili ufurahie huduma zetu
Tafadhali tujulishe ni namba ipi unaikosa, tunakusihi kutumia namba 0748550000Namba zenu za huduma kwa wateja pamoja na emergency mmehakikisha zinafanyakazi zote? Nyingi ya namba hizo ni unreachable
Vodacom ni shirika la serikali?Songesha - Vodacom!
Acheni wajiteteeMods njooni Tanesco wamevamia humu
Kwa mkoa ganiTafadhali tujulishe ni namba ipi unaikosa, tunakusihi kutumia namba 0748550000
Tafadhali tumia hii tutakuhudumiaKwa mkoa gani
Kuna orodha ndefu ya namba za Regional Managers mlitoa, hiyo ndiyo watanzania wengi wanaifuata na wanakosa huduma kwakuwa namba hizo nyinhi dead
Halafu vingi vina sura za chuma cha puaAsilimia kubwa huwa ni vidada na ukichunguza kama ni mwanaume ni waliokuja mjini wakubwa.
Nadra Sana kukuta police aliyezaliwa na kukulia mjini akawa mnoko.
Ni uongo. Watu wa Kibaha, eneo la Pangani tulileta maombi ya umeme tokea mwaka jana mpaka sasa hatujapewa huduma. Miezi mingi imepita tunaendelea kutumia vibatari. Tanesco ni jipu hapa nchini. Wananchi wanawalalamikia lakini hamtaki kujirekebisha. Mmeweka pamba masikioni. Mnaendelea kufanya kazi kwa mazoeaTANESCO ya sasa sio ya zamani na ya kesho inaonesha dira ya mabadiliko makubwa sana kwenye utoaji wa huduma, tunakuhakikishia kuwa kwa huduma zetu zimeboreshwa sana na wateja wamekuwa wakionesha hilo.
Hebu twende kwa data au taarifa kamili ya wapi unapendekeza paboreshwe zaidi ili ufurahie huduma zetu
Tatizo ni hukohuko juuHongereni TANESCO huwa mna-respond on time hapa Jamii forum. Tatizo ni watendaji wenu huko chini.
6. RitaHuu ni mtazamo wangu kutokana na uzoefu wangu wa kupitia huduma mbali mbali katika mashirika hayo kwangu naona Hawa WATANO Wafuatao kwao mteja ni "boya" na Wala sio mfalme
5. TRA
4. Polisi
3. Maji
2. Nida
1. Tanesco
Kama umewahi kwenda ofisi hizo hapo juu utaona jinsi unavyopokelewa mpaka kuhudumiwa mpaka unajisemea moyoni..
'kungekuwa na mbadala ningeenda"
Anyway ni mtazamo tu..
Naomba kote mpinge ila sio hapo kwa Tanesco🤣🤣
Kuna mjuba haweki sign cheti bila 20k....RITA- vizazi na vifo