Pre GE2025 Mtazamo: Wanamtengenezea mazingira ya kuchukiwa na umma ili 2025, kundi kubwa la CCM lijitenge ili wamuangushe kwenye uchaguzi

Pre GE2025 Mtazamo: Wanamtengenezea mazingira ya kuchukiwa na umma ili 2025, kundi kubwa la CCM lijitenge ili wamuangushe kwenye uchaguzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Nikitazama mwenendo wa mambo, hii ndio picha ninyoipata kutokana na haya matukio hasa kwa jinai yanavyotekelezwa.

Wanafanya ukatili mbaya na wa kutisha halafu wanaacha nafasi ya watu kushuhudia ukatili uliiofanywa kwenye mwili wa muathirika lengo ni kuamsha chuki na hasira na wanajua lawama zote zirakuwa kwake.

Kwa mfano , jiulize, yule mzee walishindwa kumtengeneza ajali, kumpa sumu, n.k?Kulikuwa na ulazima wa kumteka kwa style ile tena huku kelele za watu kutekwa na kupotezwa zikiwa zimepamba moto?

Unawezaje kuteka, kupoteza na kuua watu kwa kiwango hiki tena kwa mfululizo ndani ya muda mfupi kama sio njama?

Unampiga mtu risasi halafu unaenda kumtupa kwenye mbuga ya wanyama lakini katika eneo ambalo ni rahisi watu kumuona. Je, hii sio makusudi?

Unampiga mtu mpaka kumua halafu usoni unamgwagia tindikali eti asitambulike lakini unaacha sehemu zingine za mwili zenye clue inayoweza kufanya watu(ndugu na jamaa) wamtambue marehemu. Ni kukosa umakini kweli? Hii sio hujuma?

We. endelea kuwaaminii hao watu ila kumbuka walitaka hiyo nafasi usipate sema tu yule Mkuu wa Wajeda wa wakati ule ndio alikuokoa. Hata kama umeweka watu wako hizo sehemu nyeti, usidhani ndio uko salama hasa ukizingatia umetoka upande wa pili wa hii nchi na zaid jinsia yako ni tatizo lingine.

Angalia wamekaa kimya, hata mitandaoni hawasemii chochote hawataki kujiharibia. Hao machawa wadogo wadogo hawatakusaidia lolote na matamko yao.

Jiwe alikuwa mkatili na alifanya ukatili mkubwa sana lakini wakubwa hawa walikuwa nae bega kwa bega kumtetea kila mahali kuanzia mitandaoni, kwenye vyombo vya habari, n.k.

Jiulize leo hiii ni wakubwa wangapi wanasimama na wewe kukutetea unaposhambuliwa na kulaumiwa?Hujiulizi ni kwanini?

Hivyo, kwa mtazamo wangu, inawzekana kabisa wanasubiri tu muda ufike waungane kisha wakuhujumu hata kama hawataondoka wote. Unaweza kujikuta huna wabunge wa kutosha na Bunge likatawaliwa na wapinzani wako na huo ndio ukawa mwanzo wa anguko lako kamli hapo baaadae wakishibdwa kukuondoa hiyo 2025.

Nimalizie kwa kusema, akili ya kuambiwa, .........
 
Nikitazama mwenendo wa mambo, hii ndio picha ninyoipata kutokana na haya matukio hasa kwa jinai yanavyotekelezwa.

Wanafanya ukatili mbaya na wa kutisha halafu wanaacha nafasi ya watu kushuhudia ukatili uliiofanywa kwenye mwili wa muathirika lengo ni kuamsha chuki na hasira na wanajua lawama zote zirakuwa kwake.

Kwa mfano jiulizeni yule mzee walishindwa kumtengeneza ajali, kumpa sumu, n.k?

Unawezaje kuteka, kupoteza na kuua watu kwa kiwango hiki tena kwa mfululizo ndani ya muda mfupi kama sio njama?

Unampiga mtu risasi halafu unaenda kumtupa kwenye mbuga ya wanyama lakini katika eneo ambalo ni rahisi watu kumuona. Je, hii sio makusudi?

Unampiga mtu mpaka kumua halafu usoni unamgwagia tindikali eti asitambulike lakini unaacha sehemu zingine za mwili zenye clue inayoweza kufanya watu(ndugu na jamaa) wamtambue marehemu. Ni kukosa umakini kweli? Hii sio hujuma?

We. endelea kuwaaminii hao watu ila kumbuka walitaka hiyo nafasi usipate sema tu yule Mkuu wa Jeda wa wakati ule ndio alikuokoa. Hatakama umewaka watu wako hizo sehemu nyeti, usidhani ndio uko salama hasa ukizingatia umetoka upande wa pili wa hii nchi na zaid jinsia yako ni tatizo lingine.

Angalia wamekaa kimya, hata mitandaoni hawasemii chochote hawataki kujiharibia. Hao machawa wadogo wadogo hawatakusaidia lolote na matamko yao.

Jiwe alikuwa mkatili na alifanya ukatili mkubwa sana lakini wakubwa hawa walikuwa nae bega kwa bega kumtetea kila mahali kuanzia mitandaoni, kwenye vyombo vya habari, n.k.

Jiulize leo hiii ni wakubwa wangapi wanasimama na wewe kukutetea unaposhambuliwa na kulaumiwa?Hujiulizi ni kwanini?

Hivyo, kwa mtazamo wangu, inawzekana kabisa wanasubiri tu muda ufike waungane kisha wakuhujumu hata kama hawataondoka wote. Unaweza kujikuta huna wabunge wa kutosha na Bunge likatawaliwa na wapinzani wako na huo ndio ukawa mwanzo wa anguko lako kamli hapo baaadae wakishibdwa kukuondoa hiyo 2025.

Nimalizie kwa kusema, akili ya kuambiwa,,,,,,,,,,
Comments reserved
 
Nikitazama mwenendo wa mambo, hii ndio picha ninyoipata kutokana na haya matukio hasa kwa jinai yanavyotekelezwa.

Wanafanya ukatili mbaya na wa kutisha halafu wanaacha nafasi ya watu kushuhudia ukatili uliiofanywa kwenye mwili wa muathirika lengo ni kuamsha chuki na hasira na wanajua lawama zote zirakuwa kwake.

Kwa mfano , jiulize, yule mzee walishindwa kumtengeneza ajali, kumpa sumu, n.k?Kulikuwa na ulazima wa kumteka kwa style ile tena huku kelele za watu kutekwa na kupotezwa zikiwa zimepamba moto?

Unawezaje kuteka, kupoteza na kuua watu kwa kiwango hiki tena kwa mfululizo ndani ya muda mfupi kama sio njama?

Unampiga mtu risasi halafu unaenda kumtupa kwenye mbuga ya wanyama lakini katika eneo ambalo ni rahisi watu kumuona. Je, hii sio makusudi?

Unampiga mtu mpaka kumua halafu usoni unamgwagia tindikali eti asitambulike lakini unaacha sehemu zingine za mwili zenye clue inayoweza kufanya watu(ndugu na jamaa) wamtambue marehemu. Ni kukosa umakini kweli? Hii sio hujuma?

We. endelea kuwaaminii hao watu ila kumbuka walitaka hiyo nafasi usipate sema tu yule Mkuu wa Jeda wa wakati ule ndio alikuokoa. Hatakama umewaka watu wako hizo sehemu nyeti, usidhani ndio uko salama hasa ukizingatia umetoka upande wa pili wa hii nchi na zaid jinsia yako ni tatizo lingine.

Angalia wamekaa kimya, hata mitandaoni hawasemii chochote hawataki kujiharibia. Hao machawa wadogo wadogo hawatakusaidia lolote na matamko yao.

Jiwe alikuwa mkatili na alifanya ukatili mkubwa sana lakini wakubwa hawa walikuwa nae bega kwa bega kumtetea kila mahali kuanzia mitandaoni, kwenye vyombo vya habari, n.k.

Jiulize leo hiii ni wakubwa wangapi wanasimama na wewe kukutetea unaposhambuliwa na kulaumiwa?Hujiulizi ni kwanini?

Hivyo, kwa mtazamo wangu, inawzekana kabisa wanasubiri tu muda ufike waungane kisha wakuhujumu hata kama hawataondoka wote. Unaweza kujikuta huna wabunge wa kutosha na Bunge likatawaliwa na wapinzani wako na huo ndio ukawa mwanzo wa anguko lako kamli hapo baaadae wakishibdwa kukuondoa hiyo 2025.

Nimalizie kwa kusema, akili ya kuambiwa, .........
itakuwa vipi kama naye anahusika?
 
Huo ni mtazamo wako ni sawa pia. Ila mimi nawewe hatujui kinachoendelea. Naomba kuuliza swali, Tanzania hii nayoijua kikundi tu cha watu kijitokeze, kuteka mtu na silaha nzito, tena barabarani jua linawaka Je inawezekana? Jaribu kufanya hivyo, utuletee mrejesho.

Upande wangu naona ni namna ya kuogopesha watu, kunyamazisha uhuru wa habari tukielekea Uchaguzi mkuu mwakani. Nina amini, baada ya uchaguzi, haya ya kuteka yatapungua kama si kuisha kabisa.
 
Wahafidhina ndani ya CCM na Serikali tangu awali kabisa hawakutaka akalie hicho kigoda, baada ya kushindwa katika kuzuia sasa wamekuja na mkakati mpya wa kumtengenezea ajali ya kisiasa ili litimie lile neno kuwa mgombea wa 2025 ni yeye labda hapa katikati mambo yaharibike sana. Na uzuri ni kuwa hata yeye mwenyewe anafahamu kuwa wabaya wake anao huko huko kwani wakati fulani alisema kuna mstaafu mmoja alimtonya kuwa wabaya wako ni wavaa kijani wenzako,sasa la kujiuliza jee anashindwa kujinasua na hii mitego anayotegewa?
 
Samia ni mjinga, hatengenezewi chochote na yeyote, simply anajichimbia shimo mwenyewe.

▪ Hivi mtu asiyetaka kuongea na anaowaongoza, kusikiliza vilio vyao mpaka anajiita chura kiziwi, huyu utasema vipi anatengenezewa mazingira na wengine?

▪ Mtu asiyetaka kuwachukulia hatua watendaji wanaoharibu kwenye serikali yake, anawaacha tu licha ya udhaifu walionao unaofikia hatua za kugharimu roho zetu, huyu utasema vipi anatengenezewa mazingira?

Simple tu; Samia ni mjinga asiyetaka kujifunza, ni mkaidi anayeona sifa kujitia uziwi akidhani ndio njia nzuri ya kiongozi kuchapa kazi, matokeo yake sasa ukimya wake umefikia hatua ya kugharimu roho zetu.

Huyu hatengenezewi mazingira na yeyote, ni mjinga anayechimba shimo kisha anatumbukia mwenyewe.
 
Nikitazama mwenendo wa mambo, hii ndio picha ninyoipata kutokana na haya matukio hasa kwa jinai yanavyotekelezwa.

Wanafanya ukatili mbaya na wa kutisha halafu wanaacha nafasi ya watu kushuhudia ukatili uliiofanywa kwenye mwili wa muathirika lengo ni kuamsha chuki na hasira na wanajua lawama zote zirakuwa kwake.

Kwa mfano , jiulize, yule mzee walishindwa kumtengeneza ajali, kumpa sumu, n.k?Kulikuwa na ulazima wa kumteka kwa style ile tena huku kelele za watu kutekwa na kupotezwa zikiwa zimepamba moto?

Unawezaje kuteka, kupoteza na kuua watu kwa kiwango hiki tena kwa mfululizo ndani ya muda mfupi kama sio njama?

Unampiga mtu risasi halafu unaenda kumtupa kwenye mbuga ya wanyama lakini katika eneo ambalo ni rahisi watu kumuona. Je, hii sio makusudi?

Unampiga mtu mpaka kumua halafu usoni unamgwagia tindikali eti asitambulike lakini unaacha sehemu zingine za mwili zenye clue inayoweza kufanya watu(ndugu na jamaa) wamtambue marehemu. Ni kukosa umakini kweli? Hii sio hujuma?

We. endelea kuwaaminii hao watu ila kumbuka walitaka hiyo nafasi usipate sema tu yule Mkuu wa Jeda wa wakati ule ndio alikuokoa. Hatakama umewaka watu wako hizo sehemu nyeti, usidhani ndio uko salama hasa ukizingatia umetoka upande wa pili wa hii nchi na zaid jinsia yako ni tatizo lingine.

Angalia wamekaa kimya, hata mitandaoni hawasemii chochote hawataki kujiharibia. Hao machawa wadogo wadogo hawatakusaidia lolote na matamko yao.

Jiwe alikuwa mkatili na alifanya ukatili mkubwa sana lakini wakubwa hawa walikuwa nae bega kwa bega kumtetea kila mahali kuanzia mitandaoni, kwenye vyombo vya habari, n.k.

Jiulize leo hiii ni wakubwa wangapi wanasimama na wewe kukutetea unaposhambuliwa na kulaumiwa?Hujiulizi ni kwanini?

Hivyo, kwa mtazamo wangu, inawzekana kabisa wanasubiri tu muda ufike waungane kisha wakuhujumu hata kama hawataondoka wote. Unaweza kujikuta huna wabunge wa kutosha na Bunge likatawaliwa na wapinzani wako na huo ndio ukawa mwanzo wa anguko lako kamli hapo baaadae wakishibdwa kukuondoa hiyo 2025.

Nimalizie kwa kusema, akili ya kuambiwa, .........
Mkuu umeona kama nilivyoona mimi kwa asilimia 100.Natumaini na yeye anaona kama tunavyoona sisi.
 
Huo ni mtazamo wako ni sawa pia. Ila mimi nawewe hatujui kinachoendelea. Naomba kuuliza swali, Tanzania hii nayoijua kikundi tu cha watu kijitokeze, kuteka mtu na silaha nzito, tena barabarani jua linawaka Je inawezekana? Jaribu kufanya hivyo, utuletee mrejesho.

Upande wangu naona ni namna ya kuogopesha watu, kunyamazisha uhuru wa habari tukielekea Uchaguzi mkuu mwakani. Nina amini, baada ya uchaguzi, haya ya kuteka yatapungua kama si kuisha kabisa.
ajenge sera na sio kuua watu
 
Huyo hapo kichwa kaacha Dubai!
 

Attachments

  • IMG-20240910-WA0002.jpg
    IMG-20240910-WA0002.jpg
    75.2 KB · Views: 1
Huo ni mtazamo wako ni sawa pia. Ila mimi nawewe hatujui kinachoendelea. Naomba kuuliza swali, Tanzania hii nayoijua kikundi tu cha watu kijitokeze, kuteka mtu na silaha nzito, tena barabarani jua linawaka Je inawezekana? Jaribu kufanya hivyo, utuletee mrejesho.

Upande wangu naona ni namna ya kuogopesha watu, kunyamazisha uhuru wa habari tukielekea Uchaguzi mkuu mwakani. Nina amini, baada ya uchaguzi, haya ya kuteka yatapungua kama si kuisha kabisa.
Natamani ungemjua vizuri kinara wetu,si hulka zake kabisa mapigo kama haya na simuoga wa malumbano ya fikra.Sina kumbukumbu ya mtawala aliyeridhia watu waandamane kadri wanavyojisikia kwenye nchi yetu,lakini wa sasa aliacha mlango wazi,kuthibitisha haogopi mnyukano wa fikra.Ukimsoma salary slip kadadavua vizuri kabisa.Kawaida ukitaka kumuua mbwa lazima umpe jina baya.
 
Upande wangu naona ni namna ya kuogopesha watu, kunyamazisha uhuru wa habari tukielekea Uchaguzi mkuu mwakani.
Sifahamu jinsia yako though unaonekana mwanamke. Unajua kutazama jambo kwa mtindo tofauti yaani unajua kutoka nje ya boksi! Kwa kifupi unatumia udadisi!

Samahani, kwenye mahusiano huwa unatumia hii akili?? Unajua unaweza ukakaa na mtu anajifanya ana akili kumbe anaigiza kuwa na akili!
 
Back
Top Bottom