Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
Ahsante enzo1988 kwa kuliona hilo. Kwenye mauhusiano, na kwingine kote lazima nitumke akili na kutoka nje ya box. Niko hivyo siku zote. ShukraniSifahamu jinsia yako though unaonekana mwanamke. Unajua kutazama jambo kwa mtindo tofauti yaani unajua kutoka nje ya boksi! Kwa kifupi unatumia udadisi!
Samahani, kwenye mahusiano huwa unatumia hii akili?? Unajua unaweza ukakaa na mtu anajifanya ana akili kumbe anaigiza kuwa na akili!
TOO BAD,DUA LA KUKU HALIMPATI MWEWE,KWANI ALIVYOKUFA YULE UMEPATA NINI ZAIDI YA KUENDELEA NA UGUMU WAKO WA MAISHA??Bora na yeye afe tu
LAKINI LETS BE HONEST KATIKA HILI...Huo ni mtazamo wako ni sawa pia. Ila mimi nawewe hatujui kinachoendelea. Naomba kuuliza swali, Tanzania hii nayoijua kikundi tu cha watu kijitokeze, kuteka mtu na silaha nzito, tena barabarani jua linawaka Je inawezekana? Jaribu kufanya hivyo, utuletee mrejesho.
Upande wangu naona ni namna ya kuogopesha watu, kunyamazisha uhuru wa habari tukielekea Uchaguzi mkuu mwakani. Nina amini, baada ya uchaguzi, haya ya kuteka yatapungua kama si kuisha kabisa.
Kwa Magufuli ulikemea mauaji na utekaji, ila kwa shangazi yako katika imani ni kila kiongozi ana haiba yake..LAKINI LETS BE HONEST KATIKA HILI...
KILA KIONGOZI ANA HAIBA YAKE,TUMLAUM SAMIA KWA MENGINE TUH LAKINI HILO LA KUOGOPESHA WAPINZANI NI KWELI HAIBA HIYO SAMIA ANAYO??
LABDA TUKUBALIANE NA MTOA MADA KUWA KUNA WATU AMBAO WANAFANYA HIVYO KWA LENGO LAO WANALOLIJUA WAO HUKU WAKIAMINI KUWA WANAMCHAFUA PREZOO.
SAMIA ANGEKUWA NI MUOGA NA MTU AMBAE HAPENDI DEMOKRASIA BILA SHAKA ANGEENDELEA PALE AMBAPO MWENDAZAKE ALIISHIIA.
Hatari kwelikweli!Nikitazama mwenendo wa mambo, hii ndio picha ninyoipata kutokana na haya matukio hasa kwa jinai yanavyotekelezwa.
Wanafanya ukatili mbaya na wa kutisha halafu wanaacha nafasi ya watu kushuhudia ukatili uliiofanywa kwenye mwili wa muathirika lengo ni kuamsha chuki na hasira na wanajua lawama zote zirakuwa kwake.
Kwa mfano , jiulize, yule mzee walishindwa kumtengeneza ajali, kumpa sumu, n.k?Kulikuwa na ulazima wa kumteka kwa style ile tena huku kelele za watu kutekwa na kupotezwa zikiwa zimepamba moto?
Unawezaje kuteka, kupoteza na kuua watu kwa kiwango hiki tena kwa mfululizo ndani ya muda mfupi kama sio njama?
Unampiga mtu risasi halafu unaenda kumtupa kwenye mbuga ya wanyama lakini katika eneo ambalo ni rahisi watu kumuona. Je, hii sio makusudi?
Unampiga mtu mpaka kumua halafu usoni unamgwagia tindikali eti asitambulike lakini unaacha sehemu zingine za mwili zenye clue inayoweza kufanya watu(ndugu na jamaa) wamtambue marehemu. Ni kukosa umakini kweli? Hii sio hujuma?
We. endelea kuwaaminii hao watu ila kumbuka walitaka hiyo nafasi usipate sema tu yule Mkuu wa Jeda wa wakati ule ndio alikuokoa. Hatakama umewaka watu wako hizo sehemu nyeti, usidhani ndio uko salama hasa ukizingatia umetoka upande wa pili wa hii nchi na zaid jinsia yako ni tatizo lingine.
Angalia wamekaa kimya, hata mitandaoni hawasemii chochote hawataki kujiharibia. Hao machawa wadogo wadogo hawatakusaidia lolote na matamko yao.
Jiwe alikuwa mkatili na alifanya ukatili mkubwa sana lakini wakubwa hawa walikuwa nae bega kwa bega kumtetea kila mahali kuanzia mitandaoni, kwenye vyombo vya habari, n.k.
Jiulize leo hiii ni wakubwa wangapi wanasimama na wewe kukutetea unaposhambuliwa na kulaumiwa?Hujiulizi ni kwanini?
Hivyo, kwa mtazamo wangu, inawzekana kabisa wanasubiri tu muda ufike waungane kisha wakuhujumu hata kama hawataondoka wote. Unaweza kujikuta huna wabunge wa kutosha na Bunge likatawaliwa na wapinzani wako na huo ndio ukawa mwanzo wa anguko lako kamli hapo baaadae wakishibdwa kukuondoa hiyo 2025.
Nimalizie kwa kusema, akili ya kuambiwa, .........
Kama mnawajua hao watu, wanaomzunguka na wanaua watu muwataje Mkuu. Mimi naijua hii TZ bana kama kuna watu wana njama tofauti sasa hivi baadhi wangekuwa wameshakamatwa.LAKINI LETS BE HONEST KATIKA HILI...
KILA KIONGOZI ANA HAIBA YAKE,TUMLAUM SAMIA KWA MENGINE TUH LAKINI HILO LA KUOGOPESHA WAPINZANI NI KWELI HAIBA HIYO SAMIA ANAYO??
LABDA TUKUBALIANE NA MTOA MADA KUWA KUNA WATU AMBAO WANAFANYA HIVYO KWA LENGO LAO WANALOLIJUA WAO HUKU WAKIAMINI KUWA WANAMCHAFUA PREZOO.
SAMIA ANGEKUWA NI MUOGA NA MTU AMBAE HAPENDI DEMOKRASIA BILA SHAKA ANGEENDELEA PALE AMBAPO MWENDAZAKE ALIISHIIA.
nahisi njaa vip salary slip ya mwezi wa 9 bado?Nikitazama mwenendo wa mambo, hii ndio picha ninyoipata kutokana na haya matukio hasa kwa jinai yanavyotekelezwa.
Wanafanya ukatili mbaya na wa kutisha halafu wanaacha nafasi ya watu kushuhudia ukatili uliiofanywa kwenye mwili wa muathirika lengo ni kuamsha chuki na hasira na wanajua lawama zote zirakuwa kwake.
Kwa mfano , jiulize, yule mzee walishindwa kumtengeneza ajali, kumpa sumu, n.k?Kulikuwa na ulazima wa kumteka kwa style ile tena huku kelele za watu kutekwa na kupotezwa zikiwa zimepamba moto?
Unawezaje kuteka, kupoteza na kuua watu kwa kiwango hiki tena kwa mfululizo ndani ya muda mfupi kama sio njama?
Unampiga mtu risasi halafu unaenda kumtupa kwenye mbuga ya wanyama lakini katika eneo ambalo ni rahisi watu kumuona. Je, hii sio makusudi?
Unampiga mtu mpaka kumua halafu usoni unamgwagia tindikali eti asitambulike lakini unaacha sehemu zingine za mwili zenye clue inayoweza kufanya watu(ndugu na jamaa) wamtambue marehemu. Ni kukosa umakini kweli? Hii sio hujuma?
We. endelea kuwaaminii hao watu ila kumbuka walitaka hiyo nafasi usipate sema tu yule Mkuu wa Jeda wa wakati ule ndio alikuokoa. Hatakama umewaka watu wako hizo sehemu nyeti, usidhani ndio uko salama hasa ukizingatia umetoka upande wa pili wa hii nchi na zaid jinsia yako ni tatizo lingine.
Angalia wamekaa kimya, hata mitandaoni hawasemii chochote hawataki kujiharibia. Hao machawa wadogo wadogo hawatakusaidia lolote na matamko yao.
Jiwe alikuwa mkatili na alifanya ukatili mkubwa sana lakini wakubwa hawa walikuwa nae bega kwa bega kumtetea kila mahali kuanzia mitandaoni, kwenye vyombo vya habari, n.k.
Jiulize leo hiii ni wakubwa wangapi wanasimama na wewe kukutetea unaposhambuliwa na kulaumiwa?Hujiulizi ni kwanini?
Hivyo, kwa mtazamo wangu, inawzekana kabisa wanasubiri tu muda ufike waungane kisha wakuhujumu hata kama hawataondoka wote. Unaweza kujikuta huna wabunge wa kutosha na Bunge likatawaliwa na wapinzani wako na huo ndio ukawa mwanzo wa anguko lako kamli hapo baaadae wakishibdwa kukuondoa hiyo 2025.
Nimalizie kwa kusema, akili ya kuambiwa, .........
Nikitazama mwenendo wa mambo, hii ndio picha ninyoipata kutokana na haya matukio hasa kwa jinai yanavyotekelezwa.
Wanafanya ukatili mbaya na wa kutisha halafu wanaacha nafasi ya watu kushuhudia ukatili uliiofanywa kwenye mwili wa muathirika lengo ni kuamsha chuki na hasira na wanajua lawama zote zirakuwa kwake.
Kwa mfano , jiulize, yule mzee walishindwa kumtengeneza ajali, kumpa sumu, n.k?Kulikuwa na ulazima wa kumteka kwa style ile tena huku kelele za watu kutekwa na kupotezwa zikiwa zimepamba moto?
Unawezaje kuteka, kupoteza na kuua watu kwa kiwango hiki tena kwa mfululizo ndani ya muda mfupi kama sio njama?
Unampiga mtu risasi halafu unaenda kumtupa kwenye mbuga ya wanyama lakini katika eneo ambalo ni rahisi watu kumuona. Je, hii sio makusudi?
Unampiga mtu mpaka kumua halafu usoni unamgwagia tindikali eti asitambulike lakini unaacha sehemu zingine za mwili zenye clue inayoweza kufanya watu(ndugu na jamaa) wamtambue marehemu. Ni kukosa umakini kweli? Hii sio hujuma?
We. endelea kuwaaminii hao watu ila kumbuka walitaka hiyo nafasi usipate sema tu yule Mkuu wa Jeda wa wakati ule ndio alikuokoa. Hatakama umewaka watu wako hizo sehemu nyeti, usidhani ndio uko salama hasa ukizingatia umetoka upande wa pili wa hii nchi na zaid jinsia yako ni tatizo lingine.
Angalia wamekaa kimya, hata mitandaoni hawasemii chochote hawataki kujiharibia. Hao machawa wadogo wadogo hawatakusaidia lolote na matamko yao.
Jiwe alikuwa mkatili na alifanya ukatili mkubwa sana lakini wakubwa hawa walikuwa nae bega kwa bega kumtetea kila mahali kuanzia mitandaoni, kwenye vyombo vya habari, n.k.
Jiulize leo hiii ni wakubwa wangapi wanasimama na wewe kukutetea unaposhambuliwa na kulaumiwa?Hujiulizi ni kwanini?
Hivyo, kwa mtazamo wangu, inawzekana kabisa wanasubiri tu muda ufike waungane kisha wakuhujumu hata kama hawataondoka wote. Unaweza kujikuta huna wabunge wa kutosha na Bunge likatawaliwa na wapinzani wako na huo ndio ukawa mwanzo wa anguko lako kamli hapo baaadae wakishibdwa kukuondoa hiyo 2025.
Nimalizie kwa kusema, akili ya kuambiwa, .........
Nikitazama mwenendo wa mambo, hii ndio picha ninyoipata kutokana na haya matukio hasa kwa jinai yanavyotekelezwa.
Wanafanya ukatili mbaya na wa kutisha halafu wanaacha nafasi ya watu kushuhudia ukatili uliiofanywa kwenye mwili wa muathirika lengo ni kuamsha chuki na hasira na wanajua lawama zote zirakuwa kwake.
Kwa mfano , jiulize, yule mzee walishindwa kumtengeneza ajali, kumpa sumu, n.k?Kulikuwa na ulazima wa kumteka kwa style ile tena huku kelele za watu kutekwa na kupotezwa zikiwa zimepamba moto?
Unawezaje kuteka, kupoteza na kuua watu kwa kiwango hiki tena kwa mfululizo ndani ya muda mfupi kama sio njama?
Unampiga mtu risasi halafu unaenda kumtupa kwenye mbuga ya wanyama lakini katika eneo ambalo ni rahisi watu kumuona. Je, hii sio makusudi?
Unampiga mtu mpaka kumua halafu usoni unamgwagia tindikali eti asitambulike lakini unaacha sehemu zingine za mwili zenye clue inayoweza kufanya watu(ndugu na jamaa) wamtambue marehemu. Ni kukosa umakini kweli? Hii sio hujuma?
We. endelea kuwaaminii hao watu ila kumbuka walitaka hiyo nafasi usipate sema tu yule Mkuu wa Jeda wa wakati ule ndio alikuokoa. Hatakama umewaka watu wako hizo sehemu nyeti, usidhani ndio uko salama hasa ukizingatia umetoka upande wa pili wa hii nchi na zaid jinsia yako ni tatizo lingine.
Angalia wamekaa kimya, hata mitandaoni hawasemii chochote hawataki kujiharibia. Hao machawa wadogo wadogo hawatakusaidia lolote na matamko yao.
Jiwe alikuwa mkatili na alifanya ukatili mkubwa sana lakini wakubwa hawa walikuwa nae bega kwa bega kumtetea kila mahali kuanzia mitandaoni, kwenye vyombo vya habari, n.k.
Jiulize leo hiii ni wakubwa wangapi wanasimama na wewe kukutetea unaposhambuliwa na kulaumiwa?Hujiulizi ni kwanini?
Hivyo, kwa mtazamo wangu, inawzekana kabisa wanasubiri tu muda ufike waungane kisha wakuhujumu hata kama hawataondoka wote. Unaweza kujikuta huna wabunge wa kutosha na Bunge likatawaliwa na wapinzani wako na huo ndio ukawa mwanzo wa anguko lako kamli hapo baaadae wakishibdwa kukuondoa hiyo 2025.
Nimalizie kwa kusema, akili ya kuambiwa, .........
Mtazamao hasi kweli kweliNikitazama mwenendo wa mambo, hii ndio picha ninyoipata kutokana na haya matukio hasa kwa jinai yanavyotekelezwa.
Wanafanya ukatili mbaya na wa kutisha halafu wanaacha nafasi ya watu kushuhudia ukatili uliiofanywa kwenye mwili wa muathirika lengo ni kuamsha chuki na hasira na wanajua lawama zote zirakuwa kwake.
Kwa mfano , jiulize, yule mzee walishindwa kumtengeneza ajali, kumpa sumu, n.k?Kulikuwa na ulazima wa kumteka kwa style ile tena huku kelele za watu kutekwa na kupotezwa zikiwa zimepamba moto?
Unawezaje kuteka, kupoteza na kuua watu kwa kiwango hiki tena kwa mfululizo ndani ya muda mfupi kama sio njama?
Unampiga mtu risasi halafu unaenda kumtupa kwenye mbuga ya wanyama lakini katika eneo ambalo ni rahisi watu kumuona. Je, hii sio makusudi?
Unampiga mtu mpaka kumua halafu usoni unamgwagia tindikali eti asitambulike lakini unaacha sehemu zingine za mwili zenye clue inayoweza kufanya watu(ndugu na jamaa) wamtambue marehemu. Ni kukosa umakini kweli? Hii sio hujuma?
We. endelea kuwaaminii hao watu ila kumbuka walitaka hiyo nafasi usipate sema tu yule Mkuu wa Jeda wa wakati ule ndio alikuokoa. Hatakama umewaka watu wako hizo sehemu nyeti, usidhani ndio uko salama hasa ukizingatia umetoka upande wa pili wa hii nchi na zaid jinsia yako ni tatizo lingine.
Angalia wamekaa kimya, hata mitandaoni hawasemii chochote hawataki kujiharibia. Hao machawa wadogo wadogo hawatakusaidia lolote na matamko yao.
Jiwe alikuwa mkatili na alifanya ukatili mkubwa sana lakini wakubwa hawa walikuwa nae bega kwa bega kumtetea kila mahali kuanzia mitandaoni, kwenye vyombo vya habari, n.k.
Jiulize leo hiii ni wakubwa wangapi wanasimama na wewe kukutetea unaposhambuliwa na kulaumiwa?Hujiulizi ni kwanini?
Hivyo, kwa mtazamo wangu, inawzekana kabisa wanasubiri tu muda ufike waungane kisha wakuhujumu hata kama hawataondoka wote. Unaweza kujikuta huna wabunge wa kutosha na Bunge likatawaliwa na wapinzani wako na huo ndio ukawa mwanzo wa anguko lako kamli hapo baaadae wakishibdwa kukuondoa hiyo 2025.
Nimalizie kwa kusema, akili ya kuambiwa, .........
Nchi zote kule uarabuni Style ya kutawala ni moja tu.Huo ni mtazamo wako ni sawa pia. Ila mimi nawewe hatujui kinachoendelea. Naomba kuuliza swali, Tanzania hii nayoijua kikundi tu cha watu kijitokeze, kuteka mtu na silaha nzito, tena barabarani jua linawaka Je inawezekana? Jaribu kufanya hivyo, utuletee mrejesho.
Upande wangu naona ni namna ya kuogopesha watu, kunyamazisha uhuru wa habari tukielekea Uchaguzi mkuu mwakani. Nina amini, baada ya uchaguzi, haya ya kuteka yatapungua kama si kuisha kabisa.
Mkuu The Heague hawapelekwi watu wenye Maji, Ardhi, Madini ya Kuhonga wazungu.....Never.Iwe anatengenezewa au anatengeneza mwenyewe hayo mazingira atajua mwenyewe The Hogue inamuhusu;
Hehehe......wacha tu nicheke kabla sijatekwa.UPo sahihi huyu mama anazungukwa na wana ccm wenzake yy aunde taasisi itayokuwa juu ya police na Takukuru.
Wewe unadhani hao watu wanajiamini kiasi gani kumteka mtu mchana kweupe ndani ya Jiji la Dar es salaam?Kwa mfano , jiulize, yule mzee walishindwa kumtengeneza ajali, kumpa sumu, n.k?Kulikuwa na ulazima wa kumteka kwa style ile tena huku kelele za watu kutekwa na kupotezwa zikiwa zimepamba moto?
Ukweli ni kwamba, na yeye mwenye ni dhaifu tena sio kidogo. Mambo mengine angeweza kabisa kuyakataa ila anashindwa kupima mambo kwa usahihi na kufanya maamuzi sahihi.Wahafidhina ndani ya CCM na Serikali tangu awali kabisa hawakutaka akalie hicho kigoda, baada ya kushindwa katika kuzuia sasa wamekuja na mkakati mpya wa kumtengenezea ajali ya kisiasa ili litimie lile neno kuwa mgombea wa 2025 ni yeye labda hapa katikati mambo yaharibike sana. Na uzuri ni kuwa hata yeye mwenyewe anafahamu kuwa wabaya wake anao huko huko kwani wakati fulani alisema kuna mstaafu mmoja alimtonya kuwa wabaya wako ni wavaa kijani wenzako,sasa la kujiuliza jee anashindwa kujinasua na hii mitego anayotegewa?