Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Uongo mtupu.Natamani ungemjua vizuri kinara wetu,si hulka zake kabisa mapigo kama haya na simuoga wa malumbano ya fikra.Sina kumbukumbu ya mtawala aliyeridhia watu waandamane kadri wanavyojisikia kwenye nchi yetu,lakini wa sasa aliacha mlango wazi,kuthibitisha haogopi mnyukano wa fikra.Ukimsoma salary slip kadadavua vizuri kabisa.Kawaida ukitaka kumuua mbwa lazima umpe jina baya.
TLS wametaja List zaidi ya 75, watano ni wakati wa Jpm na 70 ni wakati huu awamu ya Sita.Unawezaje kuteka, kupoteza na kuua watu kwa kiwango hiki tena kwa mfululizo ndani ya muda mfupi kama sio njama?
Hizi ni hisia potofu.Wahafidhina ndani ya CCM na Serikali tangu awali kabisa hawakutaka akalie hicho kigoda, baada ya kushindwa katika kuzuia sasa wamekuja na mkakati mpya wa kumtengenezea ajali ya kisiasa ili litimie lile neno kuwa mgombea wa 2025 ni yeye labda hapa katikati mambo yaharibike sana. Na uzuri ni kuwa hata yeye mwenyewe anafahamu kuwa wabaya wake anao huko huko kwani wakati fulani alisema kuna mstaafu mmoja alimtonya kuwa wabaya wako ni wavaa kijani wenzako,sasa la kujiuliza jee anashindwa kujinasua na hii mitego anayotegewa?
Duh!Nikitazama mwenendo wa mambo, hii ndio picha ninyoipata kutokana na haya matukio hasa kwa jinai yanavyotekelezwa.
Wanafanya ukatili mbaya na wa kutisha halafu wanaacha nafasi ya watu kushuhudia ukatili uliiofanywa kwenye mwili wa muathirika lengo ni kuamsha chuki na hasira na wanajua lawama zote zirakuwa kwake.
Kwa mfano , jiulize, yule mzee walishindwa kumtengeneza ajali, kumpa sumu, n.k?Kulikuwa na ulazima wa kumteka kwa style ile tena huku kelele za watu kutekwa na kupotezwa zikiwa zimepamba moto?
Unawezaje kuteka, kupoteza na kuua watu kwa kiwango hiki tena kwa mfululizo ndani ya muda mfupi kama sio njama?
Unampiga mtu risasi halafu unaenda kumtupa kwenye mbuga ya wanyama lakini katika eneo ambalo ni rahisi watu kumuona. Je, hii sio makusudi?
Unampiga mtu mpaka kumua halafu usoni unamgwagia tindikali eti asitambulike lakini unaacha sehemu zingine za mwili zenye clue inayoweza kufanya watu(ndugu na jamaa) wamtambue marehemu. Ni kukosa umakini kweli? Hii sio hujuma?
We. endelea kuwaaminii hao watu ila kumbuka walitaka hiyo nafasi usipate sema tu yule Mkuu wa Wajeda wa wakati ule ndio alikuokoa. Hata kama umeweka watu wako hizo sehemu nyeti, usidhani ndio uko salama hasa ukizingatia umetoka upande wa pili wa hii nchi na zaid jinsia yako ni tatizo lingine.
Angalia wamekaa kimya, hata mitandaoni hawasemii chochote hawataki kujiharibia. Hao machawa wadogo wadogo hawatakusaidia lolote na matamko yao.
Jiwe alikuwa mkatili na alifanya ukatili mkubwa sana lakini wakubwa hawa walikuwa nae bega kwa bega kumtetea kila mahali kuanzia mitandaoni, kwenye vyombo vya habari, n.k.
Jiulize leo hiii ni wakubwa wangapi wanasimama na wewe kukutetea unaposhambuliwa na kulaumiwa?Hujiulizi ni kwanini?
Hivyo, kwa mtazamo wangu, inawzekana kabisa wanasubiri tu muda ufike waungane kisha wakuhujumu hata kama hawataondoka wote. Unaweza kujikuta huna wabunge wa kutosha na Bunge likatawaliwa na wapinzani wako na huo ndio ukawa mwanzo wa anguko lako kamli hapo baaadae wakishibdwa kukuondoa hiyo 2025.
Nimalizie kwa kusema, akili ya kuambiwa, .........
Wanafanya ionekane kana kwamba wanaisaidia CCM kuimaliza Chadema lakini nyuma ya pazia wana lengo lingine wanaua ndege wawili kwa jiwe moja.Hizi ni hisia potofu.
Yaani wahafidhina wasideal na Raia au wao kwa wao wahamie kwa wapinzani tu?
Upo na tabiri zake tuzisome?Kuna mzee moja mashuhuri maeneo ya magomeni mikumi aliwahi kutabiri na katika tabiri zake naona imebaki moja tu na hiyo kama itatokea 2025 basi yasemwayo yapo ……
Mimi ninakushangaa wewe mwenye fikra potofu kiasi hiki.Kwa mfano , jiulize, yule mzee walishindwa kumtengeneza ajali, kumpa sumu, n.k?Kulikuwa na ulazima wa kumteka kwa style ile tena huku kelele za watu kutekwa na kupotezwa zikiwa zimepamba moto?
Unawezaje kuteka, kupoteza na kuua watu kwa kiwango hiki tena kwa mfululizo ndani ya muda mfupi kama sio njama?
Unampiga mtu risasi halafu unaenda kumtupa kwenye mbuga ya wanyama lakini katika eneo ambalo ni rahisi watu kumuona. Je, hii sio makusudi?
Unampiga mtu mpaka kumua halafu usoni unamgwagia tindikali eti asitambulike lakini unaacha sehemu zingine za mwili zenye clue inayoweza kufanya watu(ndugu na jamaa) wamtambue marehemu. Ni kukosa umakini kweli? Hii sio
Kill one, terrify thousandHuo ni mtazamo wako ni sawa pia. Ila mimi nawewe hatujui kinachoendelea. Naomba kuuliza swali, Tanzania hii nayoijua kikundi tu cha watu kijitokeze, kuteka mtu na silaha nzito, tena barabarani jua linawaka Je inawezekana? Jaribu kufanya hivyo, utuletee mrejesho.
Upande wangu naona ni namna ya kuogopesha watu, kunyamazisha uhuru wa habari tukielekea Uchaguzi mkuu mwakani. Nina amini, baada ya uchaguzi, haya ya kuteka yatapungua kama si kuisha kabisa.
Unajichanganya mwenyewe humo humo kwenye andiko lako fupi hili mkuu 'Uthman'!Natamani ungemjua vizuri kinara wetu,si hulka zake kabisa mapigo kama haya na simuoga wa malumbano ya fikra.Sina kumbukumbu ya mtawala aliyeridhia watu waandamane kadri wanavyojisikia kwenye nchi yetu,lakini wa sasa aliacha mlango wazi,kuthibitisha haogopi mnyukano wa fikra.Ukimsoma salary slip kadadavua vizuri kabisa.Kawaida ukitaka kumuua mbwa lazima umpe jina baya.
Hakuna la ziada ya hili ulilo elezea hapa.Kill one, terrify thousand
Kauli mbiu ya government sponsored terrorism nchini Tanzania.
Hata hili lilitokea Kenya linaiogopesha serikali. Hivyo wanaogopesha raia.
Na yeye asivyo na akili ya utambuzi yupo yupo tu.Nikitazama mwenendo wa mambo, hii ndio picha ninyoipata kutokana na haya matukio hasa kwa jinai yanavyotekelezwa.
Wanafanya ukatili mbaya na wa kutisha halafu wanaacha nafasi ya watu kushuhudia ukatili uliiofanywa kwenye mwili wa muathirika lengo ni kuamsha chuki na hasira na wanajua lawama zote zirakuwa kwake.
Kwa mfano , jiulize, yule mzee walishindwa kumtengeneza ajali, kumpa sumu, n.k?Kulikuwa na ulazima wa kumteka kwa style ile tena huku kelele za watu kutekwa na kupotezwa zikiwa zimepamba moto?
Unawezaje kuteka, kupoteza na kuua watu kwa kiwango hiki tena kwa mfululizo ndani ya muda mfupi kama sio njama?
Unampiga mtu risasi halafu unaenda kumtupa kwenye mbuga ya wanyama lakini katika eneo ambalo ni rahisi watu kumuona. Je, hii sio makusudi?
Unampiga mtu mpaka kumua halafu usoni unamgwagia tindikali eti asitambulike lakini unaacha sehemu zingine za mwili zenye clue inayoweza kufanya watu(ndugu na jamaa) wamtambue marehemu. Ni kukosa umakini kweli? Hii sio hujuma?
We. endelea kuwaaminii hao watu ila kumbuka walitaka hiyo nafasi usipate sema tu yule Mkuu wa Wajeda wa wakati ule ndio alikuokoa. Hata kama umeweka watu wako hizo sehemu nyeti, usidhani ndio uko salama hasa ukizingatia umetoka upande wa pili wa hii nchi na zaid jinsia yako ni tatizo lingine.
Angalia wamekaa kimya, hata mitandaoni hawasemii chochote hawataki kujiharibia. Hao machawa wadogo wadogo hawatakusaidia lolote na matamko yao.
Jiwe alikuwa mkatili na alifanya ukatili mkubwa sana lakini wakubwa hawa walikuwa nae bega kwa bega kumtetea kila mahali kuanzia mitandaoni, kwenye vyombo vya habari, n.k.
Jiulize leo hiii ni wakubwa wangapi wanasimama na wewe kukutetea unaposhambuliwa na kulaumiwa?Hujiulizi ni kwanini?
Hivyo, kwa mtazamo wangu, inawzekana kabisa wanasubiri tu muda ufike waungane kisha wakuhujumu hata kama hawataondoka wote. Unaweza kujikuta huna wabunge wa kutosha na Bunge likatawaliwa na wapinzani wako na huo ndio ukawa mwanzo wa anguko lako kamli hapo baaadae wakishibdwa kukuondoa hiyo 2025.
Nimalizie kwa kusema, akili ya kuambiwa, .........
KALAMU,Unajichanganya mwenyewe humo humo kwenye andiko lako fupi hili mkuu 'Uthman'!
Hizo sifa unazo zielezea yeye kuwa nazo; halafu wakati huo huo asijue lipi la kufanya na kundi linalo semekana kumhujumu?
Watu mnazo njia za kuchanganya akili za watu mkifikiri watu hao ni wapumbavu!
Kwa nini isiwe kwa lengo la "kuogopesha raia, kuwatia woga ili yeye na kundi lake waendelee kufanya wanavyo taka bila ya kupingwa?Kwa mfano , jiulize, yule mzee walishindwa kumtengeneza ajali, kumpa sumu, n.k?Kulikuwa na ulazima wa kumteka kwa style ile tena huku kelele za watu kutekwa na kupotezwa zikiwa zimepamba moto?
Huu nao ni upotezaji lengo wa maksudi kabisa.We. endelea kuwaaminii hao watu ila kumbuka walitaka hiyo nafasi usipate sema tu yule Mkuu wa Wajeda wa wakati ule ndio alikuokoa. Hata kama umeweka watu wako hizo sehemu nyeti, usidhani ndio uko salama hasa ukizingatia umetoka upande wa pili wa hii nchi na zaid jinsia yako ni tatizo lingine.
Hataki ila ununio.Bwashee unataka kutaga? 🐼
Hatukuwa nawe na mzee wako katika tabiri zenu,uweke hapa urabiri wenu.Kuna mzee moja mashuhuri maeneo ya magomeni mikumi aliwahi kutabiri na katika tabiri zake naona imebaki moja tu na hiyo kama itatokea 2025 basi yasemwayo yapo ……