Mtazamo: Wanawake wengi wapo kwenye ndoa au mahusiano kwa sababu za kiuchumi zaidi na si mapenzi

Mtazamo: Wanawake wengi wapo kwenye ndoa au mahusiano kwa sababu za kiuchumi zaidi na si mapenzi

Upendo wa mwanamke ni wa GHARAMA KUBWA sana, kila ke yupo kwenye mahusiano kimaslahi zaidi, hata kama hakuonyeshi moja kwa moja. hivyo ni kuwa nao kwa HE$ABU kali sana, vinginevyo utalia na kusaga meno.
Asante kwa ukumbusho ndugu....haya mambo huwa yanamezwa na mahaba feki....

Wanaume tunapaswa kukumbushana
 
Waacheni sasa wametosha imekuwa ni wanawake wanawake tu na mods wanachekelea hawajui kuwa hz threads ndio zinaharibu jamii,ukiwa jf itakufanya uogope wanawake

Jf inapromote watu kuishi kihuni bila ndoa
Pamoja unaona inapromote uhuni lakin wapo wanaoamini ndoa mmoja wapo ni kama wewe, kuishi kihuni si lazima uwe bila ndoa mkuu.
 
Tujiangalie na sisi Wanaumme! Je,tuko waaminifu katika ndoa zetu na wake zetu au mahusiano yetu na hawala zetu ?
Huenda chanzo cha hayo yote ni sisi Wanaumme!
Just imagine skandali ya Baltazar huko Eq.Gin!
Wanawake 400 huku ana mke!
Kumbe mke wake ndo alianza kuchepuka ndo jamaa akaamua kulipiza
 
Mwanamke anayetakiwa kuongozwa na mwanaume ni yule mwenye utii kwa mumewe......na utii unabebwa na mapenzi.....ni rahisi mwanamke kukutii ikiwa ana mapenzi na wewe......ndio maana tunaambiwa tuoe wanawake wenye mapenzi


Mapenzi yananunuliwa Mkuu, UPENDO Ndio hujitosheleza hahuhitaji MAZINGIRA yoyote ya nje kudhibitika UPENDO wenyewe unajitosheleza


Lakini mapenzi yanahitaji mazingira ya nje kudhibitika i.e kuwa proved, sasa ni HATARI sana kuoa mwanamke mwenye mapenzi na WEWE au Wewe kuoa mwanamke kwasababu una mapenzi na Yeye Ndio maana NDOA nyingi zinavunjika katika kizazi hichi kwasababu Msingi wa hizo NDOA ni mapenzi na Sio upendo


Ni HATARI Sana Msingi wa NDOA kuwa mapenzi very dangerous Mwisho wake lazima utakuwa mbaya ila Msingi wa NDOA ukiwa ni UPENDO na mapenzi yakafuata juu hiyo NDOA haiwezi kuvunjika Kamwe


Note 👉UPENDO ni UMUNGU
 
Ndoa ndio chambo kwanmwanamke tangu zamani.
Wengine walioana hata hawajuani
Isaka alimuoa rebecca bila kumfahamu na ilinoga

Wanaume ni madada dada sana sikuizi.
Hakuna kauli wala misimamo,unaruhusu mambo mengi mkeo afanye,
Afya mbovu,,,
Mke anakushinda kila sehemu.
Unakuwa mpole,,,
Kwishaaaa
Habari za muda huu waungwana....

Mapenzi ni maisha na mapenzi ni sehemu kubwa ya maisha....ni vigumu kuyaweka kando mapenzi kwani hata ukifanya hivyo moyo utakuamulia.....hivyo basi hatuwezi kuyacha kuyajadili kwa mazuri na mabaya yake.......

Nyakati za hivi karibuni kumeshamiri wimbi la hali ya uongo, usaliti, wizi, na ukatili kwenye ndoa.....wingi wa visa hivyo kumepelekea taasisi ya ndoa kupoteza maana...mpaka mtu ukiamua kuoa watu wanakushangaa na kukuonea huruma kana kwamba unafanya jambo la kishetani.......

Hasa nikiangazia upande wa wanawake walio kwenye ndoa....unakutana na matukio ya usaliti wa kupindukia, unakutana na matukio ya wanawake kuwaibia waume zao au kufanya mambo yao kwa siri pasi na mume kujua......kuamua kuachana na mumewe pindi tu anapopata uwezo wa kiuchumi na kuweza kujitegemea........

Vipo vilio vya wanaume wengi waliojaribu kwa namna moja au nyingine kuwainua wanawake zao kiuchumi kwa nia njema kabisa lakini matokeo yake yamekuwa machungu......

Wingi wa mtiririko wa matukio haya ya wanawake.....kukithiri kwa vilio hivi kwa wanaume.....kuongezeka kwa taraka na kukimbiana baada ya mke kujiona kuwa anaweza kujimudu yote inadhihirisha ukweli kuwa wanawake walio wengi wapo kwenye ndoa au mahusiano kwa sababu za kiuchumi zaidi kuliko mapenzi......

Kuna uwezekano mkubwa huyo unayemuita mkeo au mpenzi wako yupo na wewe kwa kuwa kwa muda huu ni wewe pekee unayeweza kusimamia vyema matatizo yake ya kiuchumi......nguzo ya upendo haipo moyoni mwake.....

Hatukatai kwamba mwanaume lazima utoe huduma kwa mkeo lakini kwanza yatangulie mapenzi kwani kwenye maisha kuna nyakati nyingi hasa si uungwana kuwa na mtu ndoani kwa sababu fulani kwani inawezekana sababu hiyo siku moja ikaondoka........

Ingawa hali ni ngumu na ni vigumu kutambua maana waigizaji ni wengi sana wanapoona kuwa kuna uwezekano wa kupata chochote kitu kwenye muunganiko huo tusijisahau wanaume wenzangu.......lazima ufanye jitihada za kumjua mwenzako ni mtu wa namna gani ili ujiandae kisaikolojia kukabiliana na unalolijua.......

Word is enough for the wise....
O
 
Ndoa ndio chambo kwanmwanamke tangu zamani.
Wengine walioana hata hawajuani
Isaka alimuoa rebecca bila kumfahamu na ilinoga

Wanaume ni madada dada sana sikuizi.
Hakuna kauli wala misimamo,unaruhusu mambo mengi mkeo afanye,
Afya mbovu,,,
Mke anakushinda kila sehemu.
Unakuwa mpole,,,
Kwishaaaa

O
Asante muungwana.....bila shaka wenye macho wanayaona isipokuwa wameacha mioyo iwaangazie
 
Mwanamke anayeingia kwenye ndoa kwa Sababu za kiuchumi maana yake ni kuwa huyo ni mpita njia iko siku sababu hiyo ikaondoka atakuacha either kwa kupata kazi au biashara inayoweza kumuendeshea maisha yake......
Nikuulize swali mkuu mm mpenz alikua hajui kazi yangu siku nilimpoleka ndio siku tulipoachana
 
sio mtazamo huo ndiyo ukweli na sasaivi wana mbinu mpya ukimuoa anakuendea kwa mtaalam unapigwa dawa ya kukumaliza nguvu za mshedede taratibu itafika hatua husimamishi kabisa sasa hapo ndo anaanza vituko anaongea na wanaume wake kwa simu mbele yako na anajua hutafanya kitu sababu wewe kitandani jogoo sio tu kusimama hata kushtuka hastuki, anakudharau mbele za watu na hutaweza kumkalipia sababu unaogopa ataropoka siri zako kuwa wewe hanithi kumbe kakutengenezea hilo tego yeye mwenyewe na hiyo hali itakudhoofisha zaidi ndani kwa ndani mwisho utajinyonga ufe. Ni mwanaume gani anaweza kumfanyia mkewe mambo kama hayo? Jibu ni hakuna ila je ni mwanamke gani anaweza kumfanyia mumewe mambo kama hayo? Nadhani jibu unalo. Ni mashetani hawa nyie hamsikii. Shauli zenu.
 
Teh teh mimi sioi, naona sitakuja kupata mtu wa love each other.
 
Habari za muda huu waungwana....

Mapenzi ni maisha na mapenzi ni sehemu kubwa ya maisha....ni vigumu kuyaweka kando mapenzi kwani hata ukifanya hivyo moyo utakuamulia.....hivyo basi hatuwezi kuyacha kuyajadili kwa mazuri na mabaya yake.......

Nyakati za hivi karibuni kumeshamiri wimbi la hali ya uongo, usaliti, wizi, na ukatili kwenye ndoa.....wingi wa visa hivyo kumepelekea taasisi ya ndoa kupoteza maana...mpaka mtu ukiamua kuoa watu wanakushangaa na kukuonea huruma kana kwamba unafanya jambo la kishetani.......

Hasa nikiangazia upande wa wanawake walio kwenye ndoa....unakutana na matukio ya usaliti wa kupindukia, unakutana na matukio ya wanawake kuwaibia waume zao au kufanya mambo yao kwa siri pasi na mume kujua......kuamua kuachana na mumewe pindi tu anapopata uwezo wa kiuchumi na kuweza kujitegemea........

Vipo vilio vya wanaume wengi waliojaribu kwa namna moja au nyingine kuwainua wanawake zao kiuchumi kwa nia njema kabisa lakini matokeo yake yamekuwa machungu......

Wingi wa mtiririko wa matukio haya ya wanawake.....kukithiri kwa vilio hivi kwa wanaume.....kuongezeka kwa taraka na kukimbiana baada ya mke kujiona kuwa anaweza kujimudu yote inadhihirisha ukweli kuwa wanawake walio wengi wapo kwenye ndoa au mahusiano kwa sababu za kiuchumi zaidi kuliko mapenzi......

Kuna uwezekano mkubwa huyo unayemuita mkeo au mpenzi wako yupo na wewe kwa kuwa kwa muda huu ni wewe pekee unayeweza kusimamia vyema matatizo yake ya kiuchumi......nguzo ya upendo haipo moyoni mwake.....

Hatukatai kwamba mwanaume lazima utoe huduma kwa mkeo lakini kwanza yatangulie mapenzi kwani kwenye maisha kuna nyakati nyingi hasa si uungwana kuwa na mtu ndoani kwa sababu fulani kwani inawezekana sababu hiyo siku moja ikaondoka........

Ingawa hali ni ngumu na ni vigumu kutambua maana waigizaji ni wengi sana wanapoona kuwa kuna uwezekano wa kupata chochote kitu kwenye muunganiko huo tusijisahau wanaume wenzangu.......lazima ufanye jitihada za kumjua mwenzako ni mtu wa namna gani ili ujiandae kisaikolojia kukabiliana na unalolijua.......

Word is enough for the wise....
Naunga mkono hoja
 
Back
Top Bottom