Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,074
- 20,608
Hakuna shidaVipi mfano Mtu amesajili jina la Biashara Brela ila bado hajaanza hata Biashara wala hana leseni ya Biashara say miaka hata miwili hali inaweza kuwaje ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna shidaVipi mfano Mtu amesajili jina la Biashara Brela ila bado hajaanza hata Biashara wala hana leseni ya Biashara say miaka hata miwili hali inaweza kuwaje ?
Kwasasa hivi hakuna non business na business Tin,Tin inakuwa moja isipokuwa,hiyo moja kama ulifungua Non business unaibadilisha inakuwa Business.Reg. ya Tin inatumia NIDA kwahiyo itagoma kwenye system hakuna Tin namba mbili kwa mtu mmoja.Non Bussiness Tin Number inahusiana vipi Na Bussiness tin number ?
Hujui kuwa Tin namba ya biashara (kampuni )na tin number yako binafsi ni vitu viwili tofauti.
Bro ukifungua Biashara kwa Bussiness name madeni yako yote ya biashara ni madeni yako. Ndio maana tin namba yako wanaia-upgrade ili iwe bussiness tin number.Kwasasa hivi hakuna non business na business Tin,Tin inakuwa moja isipokuwa,hiyo moja kama ulifungua Non business unaibadilisha inakuwa Business.Reg. ya Tin inatumia NIDA kwahiyo itagoma kwenye system hakuna Tin namba mbili kwa mtu mmoja.
Hii issue ilifutwa kile kipindi cha kuhakiki TIN. Watu tulikutwa tunadaiwa RL za magari tuliouza uzuri hadi wabunge waliguswa wakakimbia kufuta madeni yote ya nyuma ya RL. Wakichimba tena hili kaburi kuna watu tutabadili majina na dini.Kumbuka gari ilisajiliwa na TIN yako na ilishasajili DENI kabla haijafutwa, so deni huenda likabaki
Kwa machozi, jasho na damu
Tunaanza sasa wao walianza muda acha tufikie walipo...tuone kama mambo yatabadilika ama itakua hivihiviBut wao wako very transparent na matumizi ya kodi za wananchi wao mwanzo mwisho....
Wale wanawatoza lakini sio ki baunsa baunsa kama huku ndo maana tunasema tunakamuana.Hata hao mabeberu wanakamua wananchi wao kodi za kutosha tu......tunataka tuwe kama ulaya mwanzo ndo huu ........
Nao walianza hivo hadi wakastaarabikaWale wanawatoza lakini sio ki baunsa baunsa kama huku ndo maana tunasema tunakamuana.
Wakati wanaanza walikuja kukujulisha mbona unaleta mambo ya kijiweni GT forumNao walianza hivo hadi wakastaarabika
Leo mabeberu wametoa msaada kwa serikali ya magu, je magufuli ana akili za kitumwa?Nani kaluambia mabeberu ndiyo kila kitu?una akili ya kitumwa sana. Km unaona mabeberu ndiyo pumzi yako wafate TL na GL
Kwani kuna tin namba za biashara na non business ambazo zaweza milikiwa na mtu mmoja??Non Bussiness Tin Number inahusiana vipi Na Bussiness tin number ?
Hujui kuwa Tin namba ya biashara (kampuni )na tin number yako binafsi ni vitu viwili tofauti.
Wewe unaleta mambo ya kimwezini jf.......wekundu wa msimbazi wanapasha niniWakati wanaanza walikuja kukujulisha mbona unaleta mambo ya kijiweni GT forum
Tanzania hakuna sheria,taratibu wala uhalali,kwahiyo usiwe mbishi ndugu,lolote linaweza kutokea muda wowoteKm una biashara kodi unayolipa inatozwa kwenye faida na siyo mtaji. Km biashara ilikufa kwakua hukutengeneza faida sheria inatambua kua huaswi kulipa Kodi Na km biashara bado ipo hai lkn hietengenezi faida napo pia kisheria hupaswi kulipa kodi. Unaposema wanafatilia km zamani uliwahi kua na biashara ili wakutoze kodi sioni uhalali wao wa kufanya hivyo.
sawa mkuu acha tukamuane ili nchi iendelee kama Ethiopia ila wananchi tunakufa njaaUkitegemea mabeberu utakufa maskini.
Pole mkuu kumbe ulifanikiwa kuwakimbia?? saivi hakuna pa kukimbilia ni mwendo wa kukwidana tuTIN imeniletea HESLB kwenye mshahara wangu baada ya miaka kadhaa kupita, yaaani itakuja na mengi tu .
Haya mambo yapo huko darasani unaposoma ukija huku uwanjani TRA hawajui unaingiza faida wala nini, wao wanakukadiria tozo lao, utajua mwenyewe unalipajeKm una biashara kodi unayolipa inatozwa kwenye faida na siyo mtaji. Km biashara ilikufa kwakua hukutengeneza faida sheria inatambua kua huaswi kulipa Kodi Na km biashara bado ipo hai lkn hietengenezi faida napo pia kisheria hupaswi kulipa kodi. Unaposema wanafatilia km zamani uliwahi kua na biashara ili wakutoze kodi sioni uhalali wao wa kufanya hivyo.
Yailahi toba!M
Mimi nawasikitia waliokopa LOAN BOARD halafu wamekwepa na kuapa kuwa hawatalipa.
Mkuu mi nilifunga business but niliwajulisha kwa barua, hapo Kuna ishu tena kwangu?Sawa na hawa waliofunga biashara watasalimika kumbuka mtu hapo ana 1/3