witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Mi niliwapa barua, asee, watanizingua?Mkuu ukifunga biashara kinyemela kama hujatoa taarifa tra wao wataendelea kuhesabu Kama kawaida.
By the way Hilo unalofikiria ni Fear of unknown haiwezi kutokea.