Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,074
- 20,608
Pumbav huna unalojua ng'ombe weweWewe ndio ulikua huelewi unachokisema mpaka mtu mmoja hapo naona amekuelemisha. Kujifanya ujuaji kwenye hakuna. Mada inazungumzia TIN na waajiriwa. Wewe uje uweke mambo ya kampuni sijui TIN ya kampuni.
Kampuni toka lini ikawa muajiriwa. Kampuni ni mtu kisheria na hivyo inakua na TIN yake. Hiyo haimzuii share holder pia kuwa na TIN yake au kuwa muajiriwa.
Kajingio wewe nimeona napoteza muda na tabulasa. Ndio maana TRA wanapigaTIN ya mtu binafsi inakuaje ya kampuni. Hujui unachoongea halafu mbishi sana.
Business enterprise, partnership whatever haiwezi kuwa kampuni.
Hii ni fact mkuu ngoja uone, utasikia vilio Januari au februariWatanzania mnapenda conspiracy theory ambazo hazina kichwa wala miguu
Kajinga haka badala kutoa maelezo kinatoa matusi. Sielewi kwanini mtu huwa anaanza kumtukana mwenzie.Mbona mnatoleana mapovu
Tupe ufafanuzi maana wewe ni msemaji wa serikaliTATIZO kubwa ninaliona katika Nchi hii ni kwamba huwa hamna taarifa rasmi zenye ufafanuzi wa wazi.Mara nyingi utaona jambo mitandaoni na kumbe ndio ukweli.
Kwa kweli watu wanahofu ya Kila kitu Mara sijui ukisambaza taarifa hii unachochea lakini kwann tusiangalie kipi kweli na si kweli Kingine ni aina ya kesi kila mara Kesi ni utakatishaji na uhujumu..Zimekua nyingi na maarufu sana this time.a
Naona umeamka na stress za mme wako mwanaizaya wewe.Ng'ombe ni wewe pumbafuuuu. And sharap sababu hujui kitu. Tumia bando lako vizuri hata uingie google. Pumbavu
Kajinga haka badala kutoa maelezo kinatoa matusi. Sielewi kwanini mtu huwa anaanza kumtukana mwenzie.
Lumbaneni kwa hoja wakuuNaona umeamka na stress za mme wako mwanaizaya wewe.
Wanajisahaulishaga haoMi niliwapa barua, asee, watanizingua?
Huyo jamaa ni DAS wa wilaya flanMawazo ya kimaskini kabisa haya, yaani wewe unajifanya una nchi hapa sio ??, ungejua jinsi hao viongozi wenu wanavyoishi kama wako peponi usingesema huu upuuzi wako, hao viongozi pamoja na malipo makubwa wanayopewa, (mbunge kwa mfano 12million Tshs/mwezi) na bado analipiwa hela ya mafuta ya gari lake analipiwa marupurupu kibao na bado anapewa mkopo wa kununua gari ambalo akimaliza ubunge linakuwa la kwake na hawalipi kodi, akimaliza tu muda wake wa ubunge analipwa mafao yake hapo hapo, wakati mwalimu anaambiwa asubiri mpaka afikishe miaka 60 ndio apewe mafao yake tena kwa kusimangwa
Duuh niko home now napekenyua makabrasha hatimae nimeiona iko " attached na copy ya tin[emoji848]Wanajisahaulishaga hao
Peleka hiyo hiyo kama ulishaisajili kwa alama za vidole, kama bado nenda TRA ukaisajiliDuuh niko home now napekenyua makabrasha hatimae nimeiona iko " attached na copy ya tin[emoji848]
Sasa hapo kwa job inabidi niwe na mpya?
Siku zote kenge mpaka aone damu.Watanzania mnapenda conspiracy theory ambazo hazina kichwa wala miguu
Mkuu thank u so much, hapo kama nimeisajili kwa vidole nimesahau[emoji848]Peleka hiyo hiyo kama ulishaisajili kwa alama za vidole, kama bado nenda TRA ukaisajili
Peleka hiyohiyo kwa Mwajiri mambo mengine baadaeMkuu thank u so much, hapo kama nimeisajili kwa vidole nimesahau[emoji848]
Ajabu TRA tuko wote jengo moja but sijisikii kutia mguu hapo uuugh!
Sawa sawa mkuuPeleka hiyohiyo kwa Mwajiri mambo mengine baadae
Vipi kuhusu usajili was TIN kuhusishwa na NIDA namba?Non Bussiness Tin Number inahusiana vipi Na Bussiness tin number ?
Hujui kuwa Tin namba ya biashara (kampuni )na tin number yako binafsi ni vitu viwili tofauti.
rejea mada hapo juu utaonaVipi kuhusu usajili was TIN kuhusishwa na NIDA namba?
Barua ilikuwa inasemaje?Mi niliwapa barua, asee, watanizingua?