Mtazamo wangu kuelekea mechi Young Africa vs CR Belouizdad

Mtazamo wangu kuelekea mechi Young Africa vs CR Belouizdad

Namata

Senior Member
Joined
Sep 1, 2019
Posts
139
Reaction score
173
Kwa hii game Young anaenda kushinda kwa asilimia 100% na belouizdada anajua anakuja kufungwa lkn anakuja kupunguza idadi ya magoli.

Kwasababu anajua pia ili kusonga mbele atua ya robo fainali magoli yanaweza kuamua so watacheza kwakujilinda zaidi kupunguza idadi ya magoli na kushambulia kwa kushitukiza ili walazimishe sare lakini Yanga itashambulia kwa kasi mwazo mwisho ili ishinde mchezo maana wasiposhinda awaendi robo fainali.

Ila hawa jamaa wanajuwa sana kukaba!
 
Kwa hii game Young anaenda kushinda kwa asilimia 100% na belouizdada anakuwa anakuja kufungwa lkn anakuja kupunguza idadi ya magoli. Kwasababu anakuwa pia ilikusonga mbele atua ya robo fainali magoli pia yataamu so watacheza kwakujilinda zaidi kupunguza idadi ya magoli na kushambulia kwa kushitukiza.Lkn awa jamaa wanajuwa sana kukaba.
mbona unasema Ukweli aise 🐒
 
Kabisa...wanajua sana kukaba
 
kwa aina ya mechi kwa timu za namna hii Yanga Vs Crb,na aina ya beki za Yanga kama Mwamnyeto na winger za Crb zilivyo, nategemea leo kuna red card au penalt au vyote kutokea kwa pamoja.
 
Kwa hii game Young anaenda kushinda kwa asilimia 100% na belouizdada anajua anakuja kufungwa lkn anakuja kupunguza idadi ya magoli.

Kwasababu anajua pia ili kusonga mbele atua ya robo fainali magoli yanaweza kuamua so watacheza kwakujilinda zaidi kupunguza idadi ya magoli na kushambulia kwa kushitukiza ili walazimishe sare lakini Yanga itashambulia kwa kasi mwazo mwisho ili ishinde mchezo maana wasiposhinda awaendi robo fainali.

Ila hawa jamaa wanajuwa sana kukaba!
Huko kushambulia Kwa Kasi bika malengo kama kondoo waliokosa mchungaji ndio kuliwafanya mchezee kichapo Cha 3-0 katika mechi yenu ya kwanza na hao CRB,Pathetic
 
Back
Top Bottom