Nikweli mkuu mimi nina mwaka wa 7 huu napambana kuyafukuza majini mwilini mwangu ila bado yananisumbua
Nimekesha sana kwa waganga, nimekesha sana kwa manabiii nyumba zote za ibada nimeshiriki sana lakini wapi hadi manusura nikufuru utadhani sijaumbwa na Mungu...
Pole kaka kwa changamoto hiyo,umeshatambua tatizo lako linalokusumbua basi hivyo kwa kutambua kwako tatizo tu ni nusu ya kutatua tatizo.
1)TATIZO NI MAJINI YANAKUSUMBUA
2)Dawa ni Yesu,unampataje huyu Yesu aweze kukusaidia..kwanza TUBU dhambi ona kwamba wewe ni mwenye dhambi ,omba toba(msamaha)kwa kumaanisha kuacha dhambi zote ikiwemo kuiendea miungu ,kutegemea msaada kutoka kwa viumbe badala ya Muumbaji wa viumbe vyote hata shetani ni kiumbe tu cha muumba,kutegemea msaada wa wanadamu,mizimu/majini ya waganga wa kienyeji na jini hawezi kumtoa jini mwenzie n.k omba rehema kutoka kwa huyu Yesu .
1)Amua sasa kwa moyo wa dhati kwa kudhamiria kuweka tumaini lako lote kwa Yesu 100% bila kuwa na mashaka
,bila hofu na mashaka moyoni mwako amini YESU pekee ndiye anayeweza kukuokoa na kukuponya. kata shauri sio kwa kujaribu /kubahatisha..
kutoka moyoni mwako dakika ileile moyo wako umeumimina kwa Yesu umemkabidhi Yesu maisha yako akusaidie..ukaomba msaada na uponyaji toka kwa Yesu wewe mwenyewe bila hata kuombewa Yesu ataona Rohoni mwako..atakusikia atakusaidia atakuponya unaweka maagano kati yako wewe mwenyewe na Yesu wako mnazungumza nyie wawili peke yenu..anakusikia hata mawazo yako moyoni mwako anayaona, anasikia ukimwita atakuitikia atakusikia ukimuomba atakuasaidia
..lakini ni vizuri pia baada ya kusali hivyo ukafungulia na fm redio yoyote ya dini ya injili ya Yesu Kristo ..utapata muhubiri anahuburi kwa redio..ataomba na wewe kwa redio au tv utapoea uponyaji...
Pia Kesho amani ya moyo ile nguvu ipo moyoni mwako itakuongoza kanisa la kweli la kwenda kusali na naamini haitakuwa kanisa maarufu au la mitume na manabii wa upako wa mafuta n.k linaweza lisiwe marufu sana au lisiwe kubwa sana au lisiwe la kifahari kisasa sana ,na wachungaji wake wanaweza wasiwe hawa maarufu sana wanao onekana kwenye ma tv au vyovyote vile roho wa Bwana atakavyokuongoza moyoni mwako nenda hapo sali..ombewa hapo.
2)njia ya pilia ukishaamua kwa dhati toka moyoni kuamua kumfuata Yesu na kumuamini Yesu kuwa ni mkombozi wa ulimwengu kuwa anaweza kukusaidia mpigie namba ya mchungaji LAIZER huyu ni mtumishi wa Mungu mwenye nguvu ya Mungu akuombee...lakini inatakiwa ianzie moyoni mwako
..wewe mwenyewe uwe tayari sio leo unaombewa lakini bado kesho unaenda kwa mganga wa kienyeji maana itakuwa ni kukosa imani thabiti..(imani isiyo na mashaka )kukosa imani thabiti inaweza ikawa kikwazo kupokea uponyaji)
anayeokoa ni Yesu na sio wachungaji ,wao wachungaji wanatumika na Yesu,na hata wewe mwenyewe ukiomba kwa Yesu anakusikia vile vile kama anavyowasikia wachungaji
lakini mkiomba pamoja na mtumishi wa Mungu pia ni vizuri zaidi
,pia sikiliza kwaya na mahubiri,soma biblia ,pia ishi maisha ya haki,na jitenge na dhambi..
Mungu atakusaidia usikate tamaa ndugu yangu Mungu anakupenda ndio mana amekupa wokovu bure kupitia Yesu ,
Mungu hajakusahau ndio mana upo hai.leo..
Mshukuru Mungu na kumsifu..upo hai Yesu anakupenda sana alikufa msalabani ili kwa kupigwa kwake yeye sisi wote tupate kupona na uzima kwa gharama aliyoilipa kwa kuteswa kwake yeye Yesu na damu yake ikawa kafata ya kutukomboa kwa ajili yetu ukimwengu wote tusipotee tusionewe,tupate uponyaji na uzima na wokovu
Yesu anakwenda kukuponya leo sasa hivi.
Namba ya simu ya mchungaji LAIZER -
0754383650