1)Majini ni sehemu ya 1/3 malaika waliofukuzwa mbinguni baada ya kumuasi Mungu wakafukuzwa mbinguni baada ya kuasi.Majinj ni wengi.
2)Shetani-ni aliyekuwa malaika mkuu wa sifa mbinguni lucifer akaasi na kuwashawishi 1/3 ya malaika wamuasi Mungu wakafukuzwa mbinguni baada ya kuasi kwao.SHETANI ni mmoja tu hakuna mashetani.
UASI WAO
Ulianzia moyoni mwa lucifer aliwaza moyoni mwake,alitamaninna yeye aabudiwe kama Mungu,awe na malaika wafuasi wake wa kumuabudu kama Mungu anavyoabudiwa.
Kwa vike alikuwa malaika mwenye kusifiwa na kuheshimika na mwenye cheo na kiongozi wa sifa aliongoza malaika wengine kwa muziki wake mzuri katika ibada za kumuabudu Mungu.
Aliwaza kwa ushawishi aliokuwa nao ashawishi 2/3 ya malaika ili wamuasi Mungu na wawe followers wake ,then aanzishe enzi yake mbingu ya juu kuliko ile ya Mungu aweke koti chake huko na enzi yake huko ili aanze kuabudiwa aanzishe mbingu yake na utawala wake.Pia aliwaza kuwa hata malaika 1/3 watakaobaki loyal kwa Mungu hawataweza kumshinda hata wakifanya vita.Baada ya kushawishi malaika mbinguni alifanikiwa kupata malaika wafiasi 1/3 bada ya 2/3 aliyoikusudia ndio hao MAJINI malaika waasi .
KUFUKUZWA KWAO MBINGUNI.
Baada ya lucifer na 1/3 ya malaika kuasi.Mungu alimuinua juu zaidi malaika mmoja akampa ukuu ,mkuu akampa nguvu anaitwa malaika MIKAELI akamshusha chini walipokuwa lucifer na ile 1/3 ya malaika waasi.Alipotua tu malaika waasi 1/3 na lucifer wote wakaanguka chini ya dunia kuzimu ya chini kabisa.hata ukisema chini ya bahari kama egbermuda triangle n.k sawa ila mwisho wa siku ni UNDERWORLD chini chini kabisa.
MIZIMU -ni majini yanayowapata wana familia wana ukoo..yanapenda kuwapata wana ukoo kizazi hadi kizazi ndani ya ukoo.
MISUKULE -Ni watu ambao duniani walishakufa na kuzikwa au walipotea lakini kiuhalisi hawajafa ila wamefichwa mahali duniani au kuzimu ya duniani.Misukule inaweza na mara nyingi ndio inavokuwa inapandikizwa roho za majini na kutumika katika shighuli za kishirikina.inaondolewa ufahamu.mara nyingi inachukukiwa na wachawi walozi waliomloga kuonekana amekufa kumbe ni mazingaombwe hajafa kafichwa na wachawi,wanamtumikisha katika shighuli zao.
MAJINI WANAOA WANAZALIANA WANA WAZAZI
Wana koo pia wana oa na kuzaa na hufa.
pia wanaweza kuoa mwanadamu wanaweza kuzaa na mwanadamu,wanatumiwa na wachawi.waganga wa kienyeji mizimu ya ukoo,mitume na manabii washirikina ,watu wanaotafuta umaarufu,mafanikio n.k
WANAISHI WAPI SHETANI NA MAJINI
Wanaishi kuzimu na duniani na kwingine isipokuwa mbinguni.
Kuzimu (chini ya ardhi,au chini ya bahari,makaburini,chininya maji,chini ya shimo la choo,yani kicupi chini ya iso wa dunia shimoni kuzimu underworld ndio makazi yao ya asili lakini,hata angani anganla sadiki sio mninguni ila ni angani wakuu wa anga,sehemu zite isipokuwa mbinguni.
kuna wakati shetani anatoka kuzimu anakuja duniani kufanya kazi maalumu ya kudanganya duniani au kazi ovu,majini kadhalika huwa yanakuja duniani.
Na yapenda duniani kwa vilw yanapata makazi mazuri na chakula..damu za watu
MILANGO YA KUINGIA NA KUTOKA KUZIMU
Vyanzo vya maji vishima vya maji,mabwawa,mito,maziwa,bahari,madimbwi
CHOO CHOONI
MAKABURINI N.K
MAUMBO
Yanaweza kuvaa au kuja kwa umbo lolote kama mnyama,ndege mdudu ,binadamu
Kama akija kwa umbo la binadamu sura yake itakuwa haitulii au macho yake yatakuwa hayatulii yanacheza cheza yatakuwa yatofauti na wanadamu wa kawaida.
MAJINI WOTE NI WABAYA
Hakuna jini mzuri ..hata kama anakupa pesa mvuto anakusaidia lakini sio mwema kwa binadamu,wao no aduibwa mwanadamu kwa sababu mwanadamu anapendwa na Mungu na wao walishafukuzwa mbinguni hawawezi kurudi mbinguni mana na mbinguni wanapajua ni pazuri wana wivu hawapendi binadamu twende mbinguni wanataka binafamu waende motoni pamoja nao ili kumkomoa Mungu akose watu kule mbinguni na wao wapate watu wa kwenda nao motoni.
ZIWA LA MOTO SEHEMU WALIYOANDALIWA SHETANI NA MAJINI
Baada ya shetani /lucifer kuasi na 1/3 ya malaika waasi kufukuzwa mbinguni.Walihukumiwa mana walitenda uasi kwa makusudi wakijua na walishakuwa mbinguni tayari...Wameandaliwa ziwa liwakalo moto ..MOTO WA JEHANAMU ni kwa ajili ya shetani na majini au malaika waasi .Mwanadamu yeyete ameandaliwa pepo lakini iki uweze kuingia peponi inakubidi 1)UWE MTAKATIFU -uache uovu ,umpende na kumoendeza Mungu na kushika na kuzifuata sheria zake 2)UTENDE MEMA 3)YESU KRISTO PEKEE NDIO NJIA YA KWENDA MBINGUNI..umkubali huyu Yesu aliyekuja kutoka mbinguni akafa msalabani ili kukomboa ulimwengu mzima Yesu ni mkombozi mwakozi wa watu wa ulimwengu wote dunia nzima hana dini ni wa watu wote aliowaumba yeye Yesu akishirikiana na Mungu baba na Mungu Roho mtakatifu.
KWANINI WATU HUWAONA MAJINI NI WAZURI
Kwa sababu majini yalipofika duniani yaliwafundisha watu waliokuwepo duniani ELIMU ZA SAYANSI,TEKNOLOJIA ,PIA UCHAWI na mabo mengi maovu,silaha vita n.k..pia yalizaa na wanadamu yakazakiwa majitu marefu yaliyokuwa makatili sana na yenye akili sana.
Hata leo majini yanashirikiana na wachawi,na waganga wa kienyeji ,na binadamu..binadamu kama binadamu pasipo msaada wa majini hawezi kufanya uchawi wala ushirikina au uganga wa kienyeji bila MIZIMU/MAJINI.
sasa yanawapatia watu pesa umaarufu,mafanikio ,uchawi ..ndio mana watu wanayaona ni mazuri wengine wanayaita mizimu yetu mizuri inatusaidia,wengine wanataita WALIMU WAZURI..n.k
ATHARI ZA KUSHIRIKIANA NA MAJINI/MIZIMU
Masharti yanakupa mafanikio yenye masharti na kafara
ukifa unaendan motoni kuzimu ya motoni
Unakosa ishirika na Mungu,unakosa matunda ya Roho mtakatifu FURAHA ,AMANI,UPENDO,UVUMILIVU,UPOLE,UTU WEMA,FADHILA ,UAMINIFU ,N.K matunda kama 9 hivi.
Maisha ya watu wanaoshirikiana na majini ni ya chuki,wivu visasi hasira ,hayana amani,yanawaza mabaya tu..hayana mema..ni ya kuigiza,pia yana uchungu mwingi.
na masharti magumu,na kafara sadaka nyingi washirikina wanatoa sadaka kafara kubwa kuliko wacha Mungu tena kafara zao ni za lazima