Mtazamo wangu kuhusu siasa za Rais Samia, Je CCM ipo tayari?

Mtazamo wangu kuhusu siasa za Rais Samia, Je CCM ipo tayari?

Orketeemi

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2013
Posts
5,063
Reaction score
12,866
Good morning members.

Heri ya siku ya wanawake.

Ukiangalia Kwa jicho la kawaida kabisa ni kwamba Mh. Rais ana ndoto ya kuona siasa za bara na Zanzibar zinakuwa Sawa 2025.
Inaonekana Rais anataka kuona Serikali ya umoja wa kitaifa ikiundwa baada ya uchaguzi mkuu 2025.

Kwa kwenda mbali zaidi hesabu za Rais dhahir zinajionesha kutaka kuwavuta CHADEMA wasisimamishe mgombea urais 2025 ili apite yeye kiurahis na kuunda serikali ya umoja wa kitaifa.

Kwa maslahi ya taifa mama yupo Sawa kabisa na anapaswa kupongezwa Sana lakini je Wana CCM watakubali?

Upande wa CDM wanachekelea na wanaonekana kukubaliana mengi na mama na ndio maana kadri siku zinavyokwenda Lissu anazid kuwekwa pembeni .

Kuna mengi mama kakubaliana na Mbowe (Wao binafsi) Mambo ambayo baadhi yanafahamika na mengine hayafahamik hata Kwa Lissu.

Yawezekana mama akafaulu adhma yake lakin anapaswa kuwa imara Sana kupambana na Wana CCM wenzake Kwan watakapoamka usingizin na kuona mipango ya mama unaenda kuua chama watacharuka na kutaka kumuweka pembeni.
 
Sahihi kabisa, uchambuzi mzuri
 
Mama anataka chadema wamuunge mkono kwenye uchaguzi ujao. Ile mikikimikiki ya Lissu alivyompelekesha JPM haiwezi kabisa. Watakubaliana majimbo ya ubunge kadhaa wapewe Chadema.

Je hatua hii itaua CCM? Au itaua Chadema? Au itaimarisha vyama vyote viwili?
 
Mama anataka chadema wamuunge mkono kwenye uchaguzi ujao. Ile mikikimikiki ya Lisu alivyo mpelekesha JPM haiwezi kabisa. Watakubaliana majimbo ya ubunge kadhaa wapewe chadema.

Je hatua hii itaua CCM? Au itaua CDM? Au itaimarisha vyama vyote viwili?
Mikiki ile at any fairness scale Lissu anashinda😅😅😅
 
Mama yetu mpendwa anatufundisha upendo

 
Umaarufu wa Lissu kadri siku zunavyozid kwenda unapungua.

Mbowe haonekan kumshirikisha Sana Lissu kwenye harakat zake za maridhiano
Sio Kweli Lissu ana mikakati Mingi. Tea. Zimegawanyik kama ulikuwa hujui.

Mbowe Ndani Lissu anapambana kutoka nje.

Hawa ccm bila mbinu walishashindikana.

Lissu ana ushawishi mkubwa na lobbying power huko nje.

Usione mambo yanaenda ukadhani yanajiendea tu.

Ulikuwa unajua Sababu ya Lissu kuja na kuondoka?

For Youe Information Lissu alikuja kuhudhuria

3R....Reform, reconciliation and .....
 
Sio Kweli Lissu ana mikakati Mingi. Tea. Zimegawanyik kama ulikuwa hujui.

Mbowe Ndani Lissu anapambana kutoka nje.

Hawa ccm bila mbinu walishashindikana.

Lissu ana ushawishi mkubwa na lobbying power huko nje.

Usione mambo yanaenda ukadhani yanajiendea tu.

Ulikuwa unajua Sababu ya Lissu kuja na kuondoka?

For Youe Information Lissu alikuja kuhudhuria

3R....Reform, reconciliation and .....
Siasa za Rais Samia hazihitaj mapambano kutoka nje . Wanachokitaka wafadhir ndicho anachokifanya Rais.

Tunza kauli yangu Lissu hatogombea 2025.
 
Wanasiasa wanawazza madarakaa tuu..
 
Ukiangalia Kwa jicho la kawaida kabisa ni kwamba Mh. Rais ana ndoto ya kuona siasa za bara na Zanzibar zinakuwa Sawa 2025.
Inaonekana Rais anataka kuona serikali ya umoja wa kitaifa ikiundwa baada ya uchaguzi mkuu 2025.
1678251658299.png


Hao wenye kijani watakubali?

1678251700496.png


Nasubiri kusikia jambo kutoka kwa hiyo rangi isiyo kijani hapo​
 
CCM hawakutegemea siasa za namna hii. Hawazipendi na wanaziogopa mnoo! Wanajua wakiwekwa wazi, huru na haki itawale, wamekwisha. Kama wao kwa wao tu hudhuriana, kuvunjiana heshima na hata kudiriki kuuana unadhani wanaipenda amani? Laa hasha! Hiki ni kiboko kikali kwao.
 
Back
Top Bottom