Mtazamo wangu kuhusu siasa za Tanzania na Rais Magufuli

Magufuli is a country bumpkin.

Sent from my typewriter using Tapatalk
Kwa kusema hivyo what difference does it make?
Hilo ndo nimelizungumzia watu hawana hoja
 
Linabaki pale pale upinzani ingeweza kuleta maendele kupitia wananchi, hawakuwa na haja ya kutumia pesa zao ila kwa kuchangisha pesa za wananchi
Najua unanielewa sana ila unataka kunibishia
Umeamini katika upinzani mda mrefu kupinga hili ina maana umepinga imani/hisia zako kwa mda mrefu
 
Samahani Mfiaukweli mataga ni nini?
Mimi sijasema Magu hana mapungufu yake mbona mnanipiga mawe, Magu sio Mungu
Tubishane kwa Hoja tu ila sio kelele

Nifundishe na mie nielewe ambacho unadhani sikielewi

Niambie hoja yako nikujibu. Ila ulichokiandika na nikakijibu is at the very best balderdash.
 
Lakini ndivyo mahakama zetu zilivyowahukumu. Na hakuna hukumu nyingine iliyoiua hukumu ya jaji Mihayo !!

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli unachosema ila nabaki na msimamo ule ule kila mtu hata mtoto mdogo anajua ile kesi ilikuwa ya kutengenezwa na ndivyo nilivyosikia kwenye media. Nakumbuka Lowasa akiwa anagombea alihaidi kuwa atamtoa mzee seya na wanae

Ila kilichooneka ni kuwa mzee seya alishindwa ku prove kuwa hakufanya hivyo na ndicho kilichomfunga ila sio kuwa lifungwa kwa sababu amefanya hivyo. You get it?
 
Are you stupid or something? Otherwise utasemaje kuwa "watu wachache wana influence watu wengi"? Does it mean unakiri kuwa majority ya Watanzania ni mbumbumbu wasioweza kufikiri wenyewe hadi wawe influenced?

Siasa za wapinzani ni matusi, hakuna mpinzani aliyenijibu hapa bila kutukana
Unashangaa kuwa watu wako influenced na siasa???? serious? unavyotetea hapa upinzani are you not influenced? haijakuathiri? is that not the reason you are arguing?
 
Unaandika gazeti halafu ulichoandika ndani ni upuuzi mtupu.

Kwanini usingeandika huo upuuzi hata kwa sentensi walau moja tu ?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona umeandika maneno mengi kuonyesha kuwa nimeaandika upuuzi, kwa nini hukuandika sentensi moja lenye neni UPUUZI
Huna hoja, ungeweka hoja ya kupinga ningekuona una hoja umetaka tu useme maneno yenye sentensi moja inayimaanisha UPUUZI
 
Suala la Lissu kuanza kusakamwa anaichafua Tanzania ni baada ya yeye kuwa nje ya nchi na kuanza kuelezea madhila aliyofanyiwa, sasa kumbe na wewe ni miongoni mwa wale wachache mliomezeshwa sumu na CCM mkaamini Lissu anaichafua Tanzania.

Lissu sio kichaa atoke tu aanze kuisema vibaya serikali ya Magufuli ( tena hapa unielewe vizuri, serikali ya Magufuli sio Tanzania kama wewe na wenzako mnavyodhani) kama mkitaka kusifiwa watendeeni wengine vile mnavyopenda kutendewa nyie.

Sent using Jamii Forums mobile app
 


..hujasikia Mh.Kishoa [ mbunge viti maalum] alikwenda kutoa msaada ktk shule mkoani Singida akazuiliwa? Na misaada ikakataliwa?
 
Nimekupa mfano wa Mbunge wa viti maalum CDM aliyepeleka sare za shule kwenye shule moja Singida but akakatazwa kuzigawa kwa wanafunzi, sijui bado unataka nikwambie kitu gani tena.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama Lisu sio kichaa mbona kasema mashoga wananyimwa haki zao Tanzania. Anasema ingetakiwa serikali itambue ushoga, hilo mbona hujibu????



Tanzania’s opposition leader who was shot 16 times and had 22 surgeries opens up about gay rights in Tanzania and challenging Magufuli
 
..hujasikia Mh.Kishoa [ mbunge viti maalum] alikwenda kutoa msaada ktk shule mkoani Singida akazuiliwa? Na misaada ikakataliwa?

Sijasikia ndo nasikia kwako
Ila wakikataaa si ndio vizuri wapiga kura wamepata taarifa kuwa misaada imekataliwa? Na watajua mbaya kwao?
Ila si kimefanyika au hakijafanyika???
 
Nimekupa mfano wa Mbunge wa viti maalum CDM aliyepeleka sare za shule kwenye shule moja Singida but akakatazwa kuzigawa kwa wanafunzi, sijui bado unataka nikwambie kitu gani tena.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sijasikia ila nitaifatilia hiyo habari kiundani nijue siasa yake ilikaa vipi
Ila wapiga kura si wanajua mbunge wao anafanya jitihada gani kuwaletea maendeleo
Ila nafikiri tu kuna cha ziada mpaka akakataliwa na nitakujibu baada ya kukicheki
 
Sijasikia ndo nasikia kwako
Ila wakikataaa si ndio vizuri wapiga kura wamepata taarifa kuwa misaada imekataliwa? Na watajua mbaya kwao?
Ila si kimefanyika au hakijafanyika???

..sasa kitendo hicho siyo sawa kuwawekea VIKWAZO hao wananchi?

..Je, kitendo hicho siyo siasa chafu ambazo wewe unasema ni mbaya kwa nchi yetu?

..Je, waliofanya hivyo hawaichafui nchi?
 
Kwahiyo unakubaliana na wapinzani, kuwa viongozi walioko madarakani wanawabambikizia wasiowapenda kesi ?! Kama umekubali ya babu Seya, unakataaJe kuwa wapinzani wa serikali hawabambikiwi ma vyesi vya uchochezi ?!.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe kwa kifupi umekuja na njaa njaa zako kumtetea jiwe, japo unazinguka zunguka tu lakini ukweli ndiyo huo, chanzo cha chuki yote hii na matatizo tuliyonayo umeshaelezwa nani ni chanzo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
..sasa kitendo hicho siyo sawa kuwawekea VIKWAZO hao wananchi?

..Je, kitendo hicho siyo siasa chafu ambazo wewe unasema ni mbaya kwa nchi yetu?

..Je, waliofanya hivyo hawaichafui nchi?
Nimeshaona tatizo kumbe alienda kazungumza na walimu kisha kapeleka misaada na waandishi wa habari huku akiwa hajamuona mkuu wa shule (hakuwa na taarifa).

Habari yake hii hapa na sababu za kukataliwa kutoka jeshi la polisi.
https://www.facebook.com/Swali langu je baada ya kukataliwa na kupewa njia za kupita ili kuwasilisha msaada wake, kwa kuwa kila kitu kinafuta utaratibu wa sheria. Je alifuata hizo taratibu ambazo zipo kisheria ili kufikisha msaada wake?
 
Wewe kwa kifupi umekuja na njaa njaa zako kumtetea jiwe, japo unazinguka zunguka tu lakini ukweli ndiyo huo, chanzo cha chuki yote hii na matatizo tuliyonayo umeshaelezwa nani ni chanzo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Alafu hunijui tu kama ungenijua ungejua kuwa mie sina njaa mie niweka hoja mezaki huna ulazima wa kuargue au kukubaliana nayo, yote sawa ILA fedheha za nini?

Siasa sio ugomvi, tunajadiliana tu kwani mie na wewe tuna ugomvi? Chuki ya Lisu na Magu sie tutoke povu usiku huu..

Alafu mie simtetei myu nimeweka mtazamo wangu tu
 
Kwahiyo unakubaliana na wapinzani, kuwa viongozi walioko madarakani wanawabambikizia wasiowapenda kesi ?! Kama umekubali ya babu Seya, unakataaJe kuwa wapinzani wa serikali hawabambikiwi ma vyesi vya uchochezi ?!.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mahaka ya Afrika and ICC wanaoona wanabambikiwa kesi kuna ulazima wa kwenda kupeleka ushahidi huko kama wanavyofanya wenzetu
 
Ulipoanza kuleta ishu za uzalendo uchwara na kutumia neno beberu nimekudharau sana. Ila naamini iko siku Mungu atafanya yake na mkoloni mweusi tutamtoa tu. Sorry kama lugha yangu imekukwaza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…