Mtazamo wangu kuhusu siasa za Tanzania na Rais Magufuli

Mtazamo wangu kuhusu siasa za Tanzania na Rais Magufuli

Nimeshaona tatizo kumbe alienda kazungumza na walimu kisha kapeleka misaada na waandishi wa habari huku akiwa hajamuona mkuu wa shule (hakuwa na taarifa).

Habari yake hii hapa na sababu za kukataliwa kutoka jeshi la polisi.

Swali langu je baada ya kukataliwa na kupewa njia za kupita ili kuwasilisha msaada wake, kwa kuwa kila kitu kinafuta utaratibu wa sheria. Je alifuata hizo taratibu ambazo zipo kisheria ili kufikisha msaada wake?


..Mbunge anatoa msaada halafu anaishia kukamatwa?

..kwanini huo msaada wake usipokelewe na kukamilishiwa taratibu badala ya kumsumbua na kumdhalilisha?

..huyo angekuwa ni mbunge wa ccm asingetendewa namna hiyo na hicho ndicho kinachotukera baadhi yetu.
 
Kama Lisu sio kichaa mbona kasema mashoga wananyimwa haki zao Tanzania. Anasema ingetakiwa serikali itambue ushoga, hilo mbona hujibu????



Tanzania’s opposition leader who was shot 16 times and had 22 surgeries opens up about gay rights in Tanzania and challenging Magufuli
Wewe hueleweki.

Hoja yako ilisimamia Lissu kuichafua Tanzania, sasa huku kwenye ushoga siku zote huwa mnapatumia kama kichaka kuficha maovu yenu.

Hata Makonda alivyozuiwa kwenda Marekani mlijaribu danganya watu sababu ya ushoga, wakati ukweli halisi mnaujua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kimsingi tungeona umeongea jipya iwapo ungekuwa neutral, huu upande uliolalia ndio waliolalia wengi ambao wameshindwa kuwashawishi wenye akili timamu. Kwa maneno marahisi umekuja kumsifu Magufuli na kumponda Tundu Lissu au upinzani, bila ku-balance hiki ulichikosema. Tumeshaamka zamani sana.

Sasa ngoja nikupe upande wa pili wa shilingi. Ukweli ni kuwa chuki ndani ya nchi hii imeletwa na Magufuli kwakuwa hawezi siasa za ushindani, na hatakaa aziweze. Kimsingi Magufuli hakupaswa kuwa rais kwani hana uwezo wa urais na hana busara ya kuwa rais.

Nafasi pekee aliyopaswa kuwa nayo ni waziri wa ujenzi, na kama ni ya juu kabisa, basi ni uwaziri mkuu. Nyuzi kama hii ya kwako sio ww tu umeileta, ila siku za karibuni kuna nyuzi kama hizi, huenda zinakuja kwa bahati mbaya, lakini nadhani ni mkakati maalum.

Ushauri, ni vyema Magufuli afanye kazi yake ya urais na aheshimu box la kura. Tulishatoka utumwani misri enzi za chama kimoja, sio yeye tu, hakuna mtu yoyote ndani ya nchi hii ataweza kuturudisha ndani ya mfumo wa chama kimoja.

Kama alidhani akitekeleza baadhi mambo na kuondoa uhuru wa vyombo vya habari, tutamsujudia na kumkubali yeye au chama chake basi amechemsha. Afahamu kila kizazi kina utashi wake, CCM ni chama cha kizazi kilichopita, sio kwamba hakijafanya chochote, lakini sio chama cha kizazi hiki.

Hivyo mshauri asipoteze muda wake kwa kujenga baadhi ya miundombinu, akidhani watu wa kizazi hiki watamkubali yeye au chama chake, sana sana ataishia kuiingiza nchi hii kwenye chuki kubwa na hata machafuko. Aelewe wakati ni ukuta.
Kwahyo unataka kusema kwmb Tanzania inahitaji Rais mwenye siasa nyingi kuliko kutenda, ckia nikwambie mnyonge tumnyonge ila haki yake tumpe, mm cjampigia kura Rais Magufuli lkn pia hata maisha yng co mazuri kivile but haitoshi kuwa mbinafsi kwa kutoona juhudi anazofanya Magu, japo ni kweli ana mapungufu yake lkn kwa hali tuliyokuwa nayo ilitupasa kuwa na rais huyu, umeongelea kuhusu siasa kubanwa, cjui uhuru wa habari, je watu wanakula uhuru wa habari?, watu wanatembea juu ya uhuru wa habari? Watu wanakunywa uhuru wa habari? Nikukumbushe tu kwmb tangu tupate uhuru nchi hii hatujawahi kujenga reli zaidi ya kuhangaika na reli ya mkoloni, je hilo hulioni unaona uhuru wa habari, ni kweli uhuru wa habari kwa ss umebanwa, je unaonaje uhuru wa habari kubanwa kwa miaka 10 lkn kupata reli kwa vizazi na vizazi au kukosa reli, miundombinu bora, maji safi na salama, vituo vya afya lkn kuwa huo uhuru wa habari ambao kila cku tulijiongopea kuwa nao ilihali watu wana EPA nchi, wana ESCROW nchi kila cku.

Watanzania tuache unafki na ubinafsi, tusimame pamoja kujenga nchi, siasa hazijawahi kutupeleka popote zaidi ya kutuumiza tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli unachosema ila nabaki na msimamo ule ule kila mtu hata mtoto mdogo anajua ile kesi ilikuwa ya kutengenezwa na ndivyo nilivyosikia kwenye media. Nakumbuka Lowasa akiwa anagombea alihaidi kuwa atamtoa mzee seya na wanae

Ila kilichooneka ni kuwa mzee seya alishindwa ku prove kuwa hakufanya hivyo na ndicho kilichomfunga ila sio kuwa lifungwa kwa sababu amefanya hivyo. You get it?

..wakati wa kesi Babu Seya alidai yeye ni hanithi.

..hivi majuzi amefuna ndoa na KADA WA CCM!!
 
Nimeshaona tatizo kumbe alienda kazungumza na walimu kisha kapeleka misaada na waandishi wa habari huku akiwa hajamuona mkuu wa shule (hakuwa na taarifa).

Habari yake hii hapa na sababu za kukataliwa kutoka jeshi la polisi.

Swali langu je baada ya kukataliwa na kupewa njia za kupita ili kuwasilisha msaada wake, kwa kuwa kila kitu kinafuta utaratibu wa sheria. Je alifuata hizo taratibu ambazo zipo kisheria ili kufikisha msaada wake?
Kama hilo ulikuwa hulifanhamu, hata yaliyofuata baada ya hilo tukio nayo utakuwa huyafahamu pia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahyo unataka kusema kwmb Tanzania inahitaji Rais mwenye siasa nyingi kuliko kutenda, ckia nikwambie mnyonge tumnyonge ila haki yake tumpe, mm cjampigia kura Rais Magufuli lkn pia hata maisha yng co mazuri kivile but haitoshi kuwa mbinafsi kwa kutoona juhudi anazofanya Magu, japo ni kweli ana mapungufu yake lkn kwa hali tuliyokuwa nayo ilitupasa kuwa na rais huyu, umeongelea kuhusu siasa kubanwa, cjui uhuru wa habari, je watu wanakula uhuru wa habari?, watu wanatembea juu ya uhuru wa habari? Watu wanakunywa uhuru wa habari? Nikukumbushe tu kwmb tangu tupate uhuru nchi hii hatujawahi kujenga reli zaidi ya kuhangaika na reli ya mkoloni, je hilo hulioni unaona uhuru wa habari, ni kweli uhuru wa habari kwa ss umebanwa, je unaonaje uhuru wa habari kubanwa kwa miaka 10 lkn kupata reli kwa vizazi na vizazi au kukosa reli, miundombinu bora, maji safi na salama, vituo vya afya lkn kuwa huo uhuru wa habari ambao kila cku tulijiongopea kuwa nao ilihali watu wana EPA nchi, wana ESCROW nchi kila cku.

Watanzania tuache unafki na ubinafsi, tusimame pamoja kujenga nchi, siasa hazijawahi kutupeleka popote zaidi ya kutuumiza tu.

Sent using Jamii Forums mobile app

..Reli ya TAZARA ilijengwa kati ya 1970 na 1975.

..haya madai kuwa hatukujenga reli tangu tupate uhuru mnayatoa wapi?
 
Wewe hueleweki.

Hoja yako ilisimamia Lissu kuichafua Tanzania, sasa huku kwenye ushoga siku zote huwa mnapatumia kama kichaka kuficha maovu yenu.

Hata Makonda alivyozuiwa kwenda Marekani mlijaribu danganya watu sababu ya ushoga, wakati ukweli halisi mnaujua.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kusema kuwa Tanzania inakandamiza ushoga kwa kukataa sio kuichafua Tanzania? Anadai kinachofanyika ndani ya chupa cha mashoga hakihusu serikali sio kuichafuta Tanzania?

Swali langu linabaki pale pale Tundu Lisu anazunguka kwa mabeberu akiwabembeleza na kupeleka hoja ili Tanzania iwekewe vikwazo mbalimbali na inyimwe misaada kitu ambacho kinalenga kuwaathiri waTanzania wote kwa ujumla na si Magufuli yeye kama yeye (ila kwa chuki zake tu binafsi juu ya Magu).

Nadhani kwa hapa tulipofikia tunaweza kufunga huu mjadala naona kama hatuelewani, ila unayemkubali wewe anatetea ushoga na kutaka Tanzania tunyimwe misaada kwa kuwekewa vikwazo huku akiwa hatafakari inatuathiri vipi sisi kam Tanzania. .
 
Kama hilo ulikuwa hulifanhamu, hata yaliyofuata baada ya hilo tukio nayo utakuwa huyafahamu pia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mie nina kazi nyingi na mambo mengi sio kila kitu nitakifahamu ila nimekosoma na nimekijua. Hata wewe ulikuwa hujui Lisu anatetea ushoga ila leo umejua
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kitendo cha Chadema kumkubali kwa mikono miwili Lowassa waliokuwa wakimsema kuwa ni fisadi kwa miaka mingi lilinichekesha mpaka leo.
Aisee siasa za Tanzania ni za kuchekesha sana.
Halafu Lowassa aliporudi CCM wakaanza tena kumshushia mvua ya matusi. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nahisi Magufuli akihamia UPINZANI watamshangilia BALAA na WATAMSAFISHA KWELIKWELI [emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna mtu aliitwa oil chafu, nadhani unakumbuka ni chama gani kiliyasema hayo lakini baadae wakaja irudisha kwenye engine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
..Reli ya TAZARA ilijengwa kati ya 1970 na 1975.

..haya madai kuwa hatukujenga reli tangu tupate uhuru mnayatoa wapi?
Bara bara ya morogoro road imejengwa toka miaka ya 1954 huko ila mpaka sasa inajengwa unachosangaa hapo ni nini?
 
Kwahyo unataka kusema kwmb Tanzania inahitaji Rais mwenye siasa nyingi kuliko kutenda, ckia nikwambie mnyonge tumnyonge ila haki yake tumpe, mm cjampigia kura Rais Magufuli lkn pia hata maisha yng co mazuri kivile but haitoshi kuwa mbinafsi kwa kutoona juhudi anazofanya Magu, japo ni kweli ana mapungufu yake lkn kwa hali tuliyokuwa nayo ilitupasa kuwa na rais huyu, umeongelea kuhusu siasa kubanwa, cjui uhuru wa habari, je watu wanakula uhuru wa habari?, watu wanatembea juu ya uhuru wa habari? Watu wanakunywa uhuru wa habari? Nikukumbushe tu kwmb tangu tupate uhuru nchi hii hatujawahi kujenga reli zaidi ya kuhangaika na reli ya mkoloni, je hilo hulioni unaona uhuru wa habari, ni kweli uhuru wa habari kwa ss umebanwa, je unaonaje uhuru wa habari kubanwa kwa miaka 10 lkn kupata reli kwa vizazi na vizazi au kukosa reli, miundombinu bora, maji safi na salama, vituo vya afya lkn kuwa huo uhuru wa habari ambao kila cku tulijiongopea kuwa nao ilihali watu wana EPA nchi, wana ESCROW nchi kila cku.

Watanzania tuache unafki na ubinafsi, tusimame pamoja kujenga nchi, siasa hazijawahi kutupeleka popote zaidi ya kutuumiza tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii mitazamo ya ajabu sana, yani mtu kwasababu anajenga reli na barabara ndio azuie mengine kufanyika, kwani vikifanyika vyote kwa pamoja atapungukiwa nini?!

Kutokuwapa watu uhuru wa kuongea unategemea maovu yanayotokea yasemwe na nani?

Wewe kwa kifupi ndio mbinafsi, hujui umuhimu wa vyombo vya habari.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bara bara ya morogoro road imejengwa toka miaka ya 1954 huko ila mpaka sasa inajengwa unachosangaa hapo ni nini?

..kuna mchangiaji amedai Tz haijawahi kujenga reli tangu tupate uhuru. Kuwa Jpm ndiyo Raisi wa kwanza kujenga reli ktk Tanganyika / Tanzania huru.

..nilichofanya mimi ni kumkumbusha kuhusu ujenzi wa TAZARA ambao ulikuwa ktk miaka ya 70.
 
Kusema kuwa Tanzania inakandamiza ushoga kwa kukataa sio kuichafua Tanzania? Anadai kinachofanyika ndani ya chupa cha mashoga hakihusu serikali sio kuichafuta Tanzania?

Swali langu linabaki pale pale Tundu Lisu anazunguka kwa mabeberu akiwabembeleza na kupeleka hoja ili Tanzania iwekewe vikwazo mbalimbali na inyimwe misaada kitu ambacho kinalenga kuwaathiri waTanzania wote kwa ujumla na si Magufuli yeye kama yeye (ila kwa chuki zake tu binafsi juu ya Magu).

Nadhani kwa hapa tulipofikia tunaweza kufunga huu mjadala naona kama hatuelewani, ila unayemkubali wewe anatetea ushoga na kutaka Tanzania tunyimwe misaada kwa kuwekewa vikwazo huku akiwa hatafakari inatuathiri vipi sisi kam Tanzania. .
Hivi hapo "kwa chuki zake binafsi tu juu ya Magu"

Huoni kama huyo Magu wako nae anachuki zake kwa Lissu?

Kwanini akatae uchunguzi kufanyika juu ya lile tukio?

Nakushangaa zaidi unapojumlisha mtu binafsi na taswira ya nchi [Tanzania]

Kama yeye ndie kabeba taswira ya nchi ana wajibu wa kuhakikisha ulinzi na usalama kwa raia wake wote, sio kuchagua, wacha kumtetea.

Nilijua toka mwanzo haupo "neutral" km ulivyodai, sema nikaamua kwenda nawe sawa mpk nikupate, nimeshakupata.

Nami nimeufunga mjadala.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi hapo "kwa chuki zake binafsi tu juu ya Magu"

Huoni kama huyo Magu wako nae anachuki zake kwa Lissu?

Kwanini akatae uchunguzi kufanyika juu ya lile tukio?

Nakushangaa zaidi unapojumlisha mtu binafsi na taswira ya nchi [Tanzania]

Kama yeye ndie kabeba taswira ya nchi ana wajibu wa kuhakikisha ulinzi na usalama kwa raia wake wote, sio kuchagua, wacha kumtetea.

Nilijua toka mwanzo haupo "neutral" km ulivyodai, sema nikaamua kwenda nawe sawa mpk nikupate, nimeshakupata.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hahah
Unalazimisha vitu amabvyo havipo viwe
Unalazimisha maneno juu ya kinywa changu
Unalenga kuwa Magufuli kazuia uchunguzi juu ya Lisu kitu hapocho hakipo
Nionyeshe ushahidi hata wa makala ya gazeti wapi Magu alipinga uchunguzi wa Lisu?????

Mie unanipush ili nionekane namtetea Magu kwa kitu amabcho hakina ukweli ndani yake
Unaibadilisha mada iwe juu ya tukio la Lisu
Hulku swali langu hata moja hujibu huku ukiwa pamoja na Lisu kwa sababu tu hata akitetea ushoga na kuitaka kubomoa maendeleo yetu

Magu ana mapungufu yake, Lisu nae ana yake ila at least Magu hakubali ushoga aiseee
Turudi kwenye Mada yangu kuwa chuki kati ya Lisu na Magu inatuathiri sie huku mabishano yake hayana faia yeyote kwetu
 
Alafu hunijui tu kama ungenijua ungejua kuwa mie sina njaa mie niweka hoja mezaki huna ulazima wa kuargue au kukubaliana nayo, yote sawa ILA fedheha za nini?

Siasa sio ugomvi, tunajadiliana tu kwani mie na wewe tuna ugomvi? Chuki ya Lisu na Magu sie tutoke povu usiku huu..

Alafu mie simtetei myu nimeweka mtazamo wangu tu
Sawa umeweka mtizamo wako, lakini huitaji hata elimu ya form four kujua bandiko lako linatetea nini pamoja na kujificha kwenye kichaka cha 'Sina Chama'

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa umeweka mtizamo wako, lakini huitaji hata elimu ya form four kujua bandiko lako linatetea nini pamoja na kujificha kwenye kichaka cha 'Sina Chama'

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa sababu nimeweka mtazamo wangu juu ya Magufuli na Siasa za Tanzania kwa hiyo ina ulazima wa mie kuwa na chama??????

Tanzania bado sana aisee athari za ukoloni watu hawawezi jenga hoja anachoamini yeye anataka kiwe. Mie naheshimu sana mtazamo wako kwa kuwa ni wako hainilazimu niukubali na wala haina ulazima ukubali mtazamo wangu. Vyovyote vile ukweli haubadiliki utabaki kuwa ukweli tu. .
 
Kwahyo unataka kusema kwmb Tanzania inahitaji Rais mwenye siasa nyingi kuliko kutenda, ckia nikwambie mnyonge tumnyonge ila haki yake tumpe, mm cjampigia kura Rais Magufuli lkn pia hata maisha yng co mazuri kivile but haitoshi kuwa mbinafsi kwa kutoona juhudi anazofanya Magu, japo ni kweli ana mapungufu yake lkn kwa hali tuliyokuwa nayo ilitupasa kuwa na rais huyu, umeongelea kuhusu siasa kubanwa, cjui uhuru wa habari, je watu wanakula uhuru wa habari?, watu wanatembea juu ya uhuru wa habari? Watu wanakunywa uhuru wa habari? Nikukumbushe tu kwmb tangu tupate uhuru nchi hii hatujawahi kujenga reli zaidi ya kuhangaika na reli ya mkoloni, je hilo hulioni unaona uhuru wa habari, ni kweli uhuru wa habari kwa ss umebanwa, je unaonaje uhuru wa habari kubanwa kwa miaka 10 lkn kupata reli kwa vizazi na vizazi au kukosa reli, miundombinu bora, maji safi na salama, vituo vya afya lkn kuwa huo uhuru wa habari ambao kila cku tulijiongopea kuwa nao ilihali watu wana EPA nchi, wana ESCROW nchi kila cku.

Watanzania tuache unafki na ubinafsi, tusimame pamoja kujenga nchi, siasa hazijawahi kutupeleka popote zaidi ya kutuumiza tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani hayo yote hayawezi kufanyika bila kubana uhuru wa habari na demokrasia? Au bila kutekana?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi binafsi sina chama, si kwa sababu nataka iwe ivyo, ni kwa sababu sijaona chama Tanzania chenye misimamo nayotaka mimi.

Rais Magufuli na Bunge:
Kwa mtazamo wangu nadhani si kwamba raisi Magufuli anapinga mhimili wa bunge, hili limedhihirishwa na mkataba alioingia Muheshimiwa Kangi Lugola. Kwa kauli yake kupinga mkataba ule Kwa kuwa haukushirikisha bunge wala serikali yake wala wizara nyingine husika Kama Wizara Ya Fedha. Nafikiri tu kwa raisi magufuli kukubali kupeleka mambo mengi ambayo anafanya sasa bungeni basi hayo mambo yangebaki kwenye ubishani yasingefanyika.

Kupeleka majadiliano bungeni inakuwa Kama mbwa ukimshika mkia hata afanye vipi atafanya unavyotaka wewe. Serikali yetu ingekuwa imeshikiliwa mkia ingebweka tu ila bunge lingekuwa linapoteza mda mwingi kwenye mabishano ya kisiasa yasiyo zaa matunda na mambo mengi yangesimama kama tulivyoona serikali zilizopita. Hapa tuna kubwa la kujifunza, kutokuwa Na uwiano mzuri kati ya serikali Na bunge.

Raisi Magufuli na Misimamo Yake Kisiasa:
Nakumbuka raisi Magufuli alivyoingia madarakani katika mambo aliyoyafanya mwanzo Ni kupinga siasa zisifanyike wakati uchaguzi umepita. Kwa wapinzani waliona Kama wananyimwa kuwa huru kisiasa kiasi cha kumwita Magufuli Ni ditekta. Upande wa pili kwa raisi Magufuli alipinga hili ili kupisha maendeleo yafanywe na wale viongozi waliochaguliwa, akisisitizia, siasa za majukwaa zimepita sasa waliochaguliwa wafanye siasa za ktekeleza yale waliyoyaimba kwenye majukwaa. Lakini kitu ambacho nakiwaza tu Ni kuwa raisi Magufuli aliruhusu waliochaguliwa wawe wapinzani au awe CCM anaruhusiwa kufanya siasa kwenye jimbo lake hususani madiwani Na wabunge.

Mimi binafsi niko wilaya ya Ubungo Na nimepita sana Pwani huko na hata mkoani Kilimanjaro ambapo ni nyumbani, lakini sijaona madiwani au wabunge walioita mikutano kujadili lipi lifanyike kuleta maendeleo (nimeuliza maeneo mengi ila hiki ndicho kinachoendelea). Nani kaenda kufanya mikutano ya hadhara kakataliwa kwenye jimbo lake?

Magufuli na Tundu Lisu:
Kwanza kabisa nasikitika Sana kwa mheshimiwa Tundu Lisu kupigwa risasi mchana kweupe na jambo hili kupelekwa kisiasa. Ila nimeona jambo ndani ya Mheshimiwa Tundu Lisu na chuki yake dhidi ya raisi Magufuli. Binafsi wanasiasa wanachukiana ila chuki zao ni za kisiasa wakiwa kwenye mziki wanacheza pamoja, binafsi sijui chuki hizi zililetwa na nini ila wao binafsi wanaelewa kindaki ndaki sio tunashabikia tu. Ila nasikitika sana kitendo cha mheshimiwa Tundu Lisu kwenda kuichafua Tanzania ili tusipewe misaada kwa chuki yake binafsi dhidi ya raisi, bila kujali anachikiomba anawaathiri vipi wa Tanzania.

Mheshimiwa Tundu Lissu anazunguka sehemu nyingi duniani kutaka wajitenge Na Tanzania wakati familia yake, ndugu zake Na ukoo wake wapo Tanzania. Amezunguka akiomba mabeberu watunyime misaada kitu ambacho hajui kingemuathiri kila mTanzania. Amediriki kukubaliana Na mabeberu tena nimesikitika Sana kusikia mheshimiwa Tundu Lisu akisapoti ushoga kabisa kwa mdomo wake mwenyewe na kuikandia serikali ya Tanzania ka kukataa ushiga ilihali anajua tamaduni hizi kwetu hazipo. Mbali na kuichafua Tanzania hao mabeberu bado wamekuwa mstari wa mbele kuleta misaada na kuikopesha Tanzania.

Mheshimiwa Tundu Lisu amekosa uzalendo kuhusu Tanzania juu ya chuki yake dhidi ya Magufuli. Kama alikuwa na mashtaka binafsi juu ya Magufuli sikatai ila hana ulazima wa kuichafua Tanzania na kuchinganisha na nchi rafiki, hata Magufuli akitoka madarakani uhusiano uliopo kati ya Tanzania na nchi nyingine utabaki, anapotaka kuuvuruga hata aje raisi mwingine lile doa litakuwepo tu ..

Raisi Magufuli hata Kama anayoyafanya analazimisha Kwa wananchi wa Tanzania na yatabaki kwa wananchi wa Tanzania. Hizo ndege si zake Ni za waTanzania, Na juhudi hizi zinaonekana ni za kujenga Tanzanua; huku Tundu Lisu anabomoa kile kinachojengwa kwa wa Tanzania. Tanzania inasonga mbele Kwa shida kwa raha ila inasonga mbele.

Siasa na Taaluma:
Kwa mtazamo wangu tu nchi yetu imeshindwa kutofautisha siasa na taaluma, hapo mwanzo tulikuwa tuko kwenye shimo dogo tu ila kwa sasa tuko kwenye shimo kubwa sana. Raisi Magufuli kwa kuchagua viongozi wenye taaluma zao kwa asilimia kubwa ameua nguvu nzito kwenye taaluma yetu. Kila m Tanzania sasa amekuwa mwanasiasa kitu ambacho kimekuwa sana katika utawala huu wa awamu ya tano. Ukienda chuoni, mashuleni, jeshini na maofisini watu wengi wamekuwa wanaacha taaluma zao na kuingia kwenye siasa. Baadhi ya viongozi au taaluma (mfano maprofesa, madokta, wanajeshi) ambao wamechaguliwa na raisi wetu wangeweza kuwa walimu wazuri wazalishe wanasiasa wazuri ila wameacha kuzalisha wanasiasa na wamekuwa ndio wanasiasa wakubwa. Sasa kumekuwa na taaluma mbovu kwa sababu ya siasa za kupita, ila manufaa ya taaluma si ya kupita.

Magufuli na Wananchi Wake:
Kwa mtazamo wangu kuna wananchi wanakubali Sana kazi na mwenendo wa serikali ya raisi Magufuli. Ila pia kuna wananchi wanachukia sana mwenendo wa serikali hii ya awamu ya tano kwa mitazamo yao mingi tu. La kusikitisha kipindi hiki cha miaka mitano wananchi wamepandikizwa chuki mbaya ambazo Ni kinyume Na utamaduni wetu Kama waTanzania. Chuki hizi zinaonekana mpaka baina ya ndugu Na ndugu huku watu wakiwa wamesahau siasa si chuki. Mfano tu humu ndani ya JF nimesoma nyuzi nyingi humu ndani watu wameshindwa kabisa kubishana kwa hoja majibu yao yanakuwa mfano “nenda kachukue buku saba lumbumba”, huku jukwaa hili la siasa likikosa sifa kabisa kwa kuwa na matusi mengi ambayo nashindwa kuyaandika hapa kwa maadili yangu yalivyo. Nahimiza tu watu wawe CCM, CHADEMA, au chama chochote kile siasa sio ‘Matusi’ “Hoja Hupingwa Kwa Hoja”

Siasa za Upinzani:

Kwa mtazamo wangu tu siasa zimebadilika Sana Kwa wapinzania Kwa sasa zile siasa za kusema tutajenga mashule, hospitali, barabara, tutaleta maji nk Kwa sasa hazisikiki. Nimekuwa najiuliza Sana Kwa nini hazisikiki? Nimegundua kuwa Kwa sasa vitu vingi vimejengwa au kuboreshwa Na serikali hii ya awamu ya Tano. Wapinzani wa raisi Magufuli kwa asilimia kubwa kazi zao zimekuwa ni kuponda tu huku huku hawawi mbele kusema kipi kifanyike. Kwa akili ya kawaida tu huwezi kuwa mmekaa kibarazani aje mwenye nyumba awaulize ‘mmekula nataka kuwaletea chakula’ alafu mmoja wenu ajibu “sie tumeshiba” huku mnakuta wengine wana njaa kali amewasemea bila kuwauliza kama wanahitaji kula. Kwa sasa siasa zimekita kwenye udikteta wa raisi Magufuli na kuponda yale anayofanya huku wakiwa hawasemi nini kifanyike tusonge mbele..

Kwa mtazamo wangu tu Wapinzani kuleta maendeleo si lazima wawe wamechaguliwa: Kwa jinsi nilivyoona wapinzani wakiwa msatri wa mbele kuomba michango ya kuwatoa wenzao gerezani au kuomba hela za hospitali za mheshimiwa Tundu Lisu basi wangeweza kutumia njia hizo hizo kukusanya michango kwa waTanzania ili kuleta maendeleo. Hata Kama hili lingepingwa wapinzani hawa wangeweza kuanzisha utaratibu Kwa viongozi waliowachaguliwa ndani ya upinzani kuleta maendeleo Kwa michango ya wananchi wenyewe ILA zingeonekana Ni juhudi zao ndio zimeleta maendeleo. Wapinzani wanaonekana kuwa wamesahau kabisa kuwa ‘Maendeleo Hayana Chama”

La mwisho ningependa sana kuona siku moja upinzani umeshika madaraka Tanzania ila si kwa upinzani huu naouona sasa. Na ningependa sana kuona CCM inavunjwa Na kuanzishwa chama kipya chenye wanasiasa mahiri wanaoweza kuleta mabadiliko ya kweli Tanzania Kwa wananchi wake. Ningependelea sana kuona siasa zenye tija na maendeleo kwa waTanzania wote bila kujali wametokea vyama gani vya siasa. .
CHADEMA hawawez kuwasifia CCM Wala CCM haiwez kuwasifia CHADEMA Kwan CHADEMA au CCM mmoja akijenga nchi lazika meingine atapinga tu cos siasa ni ajira kwao wao kua wanasiasa Sio kwamba ni sababu wanataka tujengewe vitu vizuri apana wanataka madaraka ili maisha Yao yawe saf

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom