Mtazamo wangu kuhusu siasa za Tanzania na Rais Magufuli

LENGO LENU NA JITIHADA ZENU ZA KUTURUDISHA KWENYE CHAMA KIMOJA CHA SIASA NI ZA KISHETANI. NAFIKIRI NINYI NI MASHETANI WAKUBWA. HIVI MNAONA SHIDA GANI KUKOSOLEWA? HIVI NI MTU GANI MJINGA ATAKUBALIANA NA NINYI KWAMBA YOTE MYAFANYAYO NI MAZURI TU? HIVI WATU WAKISEMA SHULE HAZINA MIUNDOMBINU YA KUTOSHA KWA NINI MUWAPIGE RISASI? KAMA WAKISEMA KIPAUMBELE CHA WATANZANIA WALIOWENGI NI HUDUMA ZA ELIMU, AFYA NA KUONDOA UMASIKINI NA SIYO NDEGE NI KOSA LA KUPIGWA RISASI? MWENYEWE HUYO MNAYE MWIMBIA NYIMBO ZA SIFA NA KUMWABUDU KAMA MUNGU KAFANYA NINI CHA MAANA?
 
KWA HIYO MNAITAKA MISAADA TOKA KWA HAO UNAOWAITA MASHOGA NA MABEBERU?
 
MCHAWI NI MCHAWI TU HATA AKILIA SANA MSIBANI. WEWE NI CCM HALAFU UNAJIFANYA HUNA CHAMA. MUJINGA WA MWANACCM HAUJIFICHI
 
UJINGA WA MWANACCM HAUJIFICHI. MNA SHIDA KICHWANI WANACCM. TATIZO LENU MNAFIKIRI WOTE NI WAJINGA WA KUPEWA KANGA NA KOFIA
 
ALIYEICHAFUA TANZANIA NI YULE AMBAYE HAKUCHUKUA HATUA YOYOTE WAKATI WANANCHI WAKIPATIKANA KWENYE VIROBA, WANAPIGWA RISASI, WAANDISHI WA HABARI WANAPOTEA, N.K. HUYO NDIYE MCHAFUZI MKUBWA WA NCHI YETU, NAYE SI MWINGINE BALI NI HUYU UNAYEMTETEA NA KUMPENDA
 
UNACHOMPENDEA HUYU DUDU NI NINI HASA?
 
UKAWA ni Nzi wa kijani iliyozubaa ukitaka kujua hilo leo hii Jiwe akisema anahamia upinzani watamshangilia na kumpa kila Aina ya sifa unafiki wa Watanganyika hauna kifani dunia hii.
TUTAAMINIJE HICHO UNACHOKISEMA? MWAMBIE AHAMIE TUONE KAMA ATASHANGILIWA. USICHUKULIE YA LOWASA NA WENZAKE UKAFIKIRI KILA SIKU NI JUMATATU. WATU HUJIFUNZA ILA MBWEHA HAWAJIFUNZI.
 
Asan Asante kwa maelezo mazuri. Naamini atarudi vizuri.
 
Kundi langu ni 'Tanzania' pekee. Sina bei ya ziada ya hapo.

Kwa hali inavyokwenda sasa nipo radhi hata kukipa 'kivuli' kura yangu kama itasaidia kuinusuru Tanzania.
Kwako kuinusuru Tanzania ni kuwaweka madarakani kundi la wanasiasa wenye agenda binafsi, kwa singizio za madai ya demokrasia kupitia Tume "Huru" ya Uchaguzi ili wawe na Haki bila kuwajibika na Uhuru usio na mipaka!! Du, itageuka kuwa nchi ya kusadikika
 
Mkuu tindo, hapa nilipo hakika natamani kuwepo hiyo Tume "Huru" ili mbichi na mbivu za nani mshindi halali zionekane wazi.
 
Gily,

..hukumuona Jpm na Babu Seya na Papii wakiwa Ikulu?

..Je, Babu Seya na Papii siyo mashoga na walawiti watoto?
Je lowassa alivyokuwa mgombea wa urais kupitia Chadema alivyobeba hoja ya babu Seya amkuwa mnajua ni walawiti au unajifanya umesahau kama kawaida yenu?
 
Mkuu tindo, hapa nilipo hakika natamani kuwepo hiyo Tume "Huru" ili mbichi na mbivu za nani mshindi halali zionekane wazi.

Kama kweli wewe ni mtenda haki, sina tatizo iwapo ww utakuwa kwenye hiyo tume. Nakubali kabisa ww uwe sehemu ya hiyo tume kwa kigezo cha kutenda haki tu.
 
Je lowassa alivyokuwa mgombea wa urais kupitia Chadema alivyobeba hoja ya babu Seya amkuwa mnajua ni walawiti au unajifanya umesahau kama kawaida yenu?
Hapa inabidi wamulize Lowasa awajibu wenyewe.
Lakini Chadema ilitamka pia watamtoa babu seya wakipita wamesahau
Akifanya Magufuli katoa walawiti na wabakaji ndani
Wangewatoa chaguzi wa CHADEMA wangeonekana SHUJAA au siyo
Wapinzani WASAHAULIFU sana ndio maana CCM wanawazidi kete

Nitaanzisha Chama changu chenye kuleta mabadiliko ila sitaki wafuasi UPEPO na wasio WAZALENDO. .
 
Angechagua ya Tundu Lisu basi maana hilo ndio walilolishikilia uzi mzima
Wacha visingizio, thread yako imejaa mapengo kibao, hilo la Tundu Lissu lilikuwa mfano mmoja tu wa mapengo yaliyomo.

Unajinasibu uko neutral but hisia zako kwa mtu mmoja zimeondoa maana halisi ya wewe kuwa neutral, huwezi kuwa neutral (referee) halafu ukaegemea kusema A ana chuki na B, wakati kwa mwenye uelewa mzuri nae anaweza kugeuza na kusema B ana chuki na A na ikaleta same meaning, but wewe hutaki kukubaliana na hilo, maana yake utakuwa referee mwenye upendeleo.

Hivyo uzi wako kwa ujumla wake umepoteza maana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Why not!

Kama tutaendelea kuwa na uhuru wetu na haki yetu ya kuwaondoa tukiona hawatufai baada ya kuwaweka hapo, si ni bora kuliko anayetafuta njia za kutuzuia hata tusiweze kumwondoa; bali yeye ndie awe mwamuzi wa kutuondoa sisi tuliomweka kwenye madaraka kwa kutojua tabia zake!
 
Ujinga mtupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…