Mtego Aliojitegea Rais Samia, nani atauvunjilia?

Mtego Aliojitegea Rais Samia, nani atauvunjilia?

nimezoeya mnoo,
mimi ni sugu sio kama wewe member wa sukuma gang mmefinywa kidogo tu mmeharisha damu.
Sukuma gang ni kitu gani?

Unafikri 2025 utasikia hicho kitu kinaitwa sukuma gang? Wote hao kina Ndugai wataungana kuwapelekea moto alafu kwa kuwa umezoea utarudi humu kulia lia kama kawaida yako
 
Ushawahi sikia Samuel Sitta anaomba msamaha kwa mkuu mwenzie wa muhimili! (enzi hizo alikua JK)

Kwa kifupi Job Ndugai kakosea alitakiwa aendelee kuvimba, yeye ni muhimili tofauti, na inashangaza mwanaume gani anakuwa mwepesi mwepesi kuomba msamaha tena kwa she!
Huyo 6 wako angekutana na STONE ndio angejua hajui.
Kikwete alikuwa mwana domekrasia.
 
Si mtego mgumu...lakini ni mtego mkali... CCM kwa miaka yote imejitahidi sana kukwepesha na wakati mwingine kuahirisha milongas ya mihimili.

Kuanzia wakati wa Baba wa Taifa Mwl. J. K. Nyerere na mjadala wa Uafrika na Uraia wa Tanzania hadi huu wa mkopo na Tozo wa Rais Samia. Migongano iliepushwa kwa kuzungumza kichama.

Sasa hivi kichama vitu haviendi na visingefika alipofikisha Rais Samia, kukataa msamaha alioomba Ndugai. Samia angeweza kutoa kauli ya kusamehe kama aliyotoa mtangulizi wake kwa waliomkosea wakati ule (mnakumbuka ya Kinana?). Mambo yangeisha kiutu uzima kwa kupiga picha na kunywa chai.

Spika ni mtu mzito sana Kikatiba...Rais ni mzito zaidi..hawapimani. Spika hana hata chipukizi wa kumlinda na mshale..Rais anaamuru majeshi.

Lakiki Samia yuko tayari kuandika historia ya kuwa Rais aliyemlazimisha Spika wa chama chake kujiuzulu kwa jambo la mitazamo midogo yenye kutofautiana kisera? Ni kweli tunataka kumuona Ndugai anatoka lango la Ikulubakitembea anageukageuka nyuma akijifuta jasho?

Kama Rais ni taasisi na Spika ni taasisi kama ilivyo kwa Jaji Mkuu. Tusiingie mtego huu. Wa kutegua ni Samia na si Ndugai.

Hekima itatamalaki? Ya nani?
Ndio maana baadhi wanaona hana quality ya upresida. Lazima tutafika mitifuano itapasua ccm. Hiyo kwa wapinzani ni furaha vita vya panzi.
 
Sukuma gang ni kitu gani?

Unafikri 2025 utasikia hicho kitu kinaitwa sukuma gang? Wote hao kina Ndugai wataungana kuwapelekea moto alafu kwa kuwa umezoea utarudi humu kulia lia kama kawaida yako
leo huwajua sukuma gang wenzako 🤣🤣🤣

kuhusu maswala ya 2025 usipoteze muda wako kunielezea, nimekuambia maumivu ya kushindwa uchaguzi nimeyazoeya since 1995.
 
Si mtego mgumu...lakini ni mtego mkali... CCM kwa miaka yote imejitahidi sana kukwepesha na wakati mwingine kuahirisha milongas ya mihimili.

Kuanzia wakati wa Baba wa Taifa Mwl. J. K. Nyerere na mjadala wa Uafrika na Uraia wa Tanzania hadi huu wa mkopo na Tozo wa Rais Samia. Migongano iliepushwa kwa kuzungumza kichama.

Sasa hivi kichama vitu haviendi na visingefika alipofikisha Rais Samia, kukataa msamaha alioomba Ndugai. Samia angeweza kutoa kauli ya kusamehe kama aliyotoa mtangulizi wake kwa waliomkosea wakati ule (mnakumbuka ya Kinana?). Mambo yangeisha kiutu uzima kwa kupiga picha na kunywa chai.

Spika ni mtu mzito sana Kikatiba...Rais ni mzito zaidi..hawapimani. Spika hana hata chipukizi wa kumlinda na mshale..Rais anaamuru majeshi.

Lakiki Samia yuko tayari kuandika historia ya kuwa Rais aliyemlazimisha Spika wa chama chake kujiuzulu kwa jambo la mitazamo midogo yenye kutofautiana kisera? Ni kweli tunataka kumuona Ndugai anatoka lango la Ikulubakitembea anageukageuka nyuma akijifuta jasho?

Kama Rais ni taasisi na Spika ni taasisi kama ilivyo kwa Jaji Mkuu. Tusiingie mtego huu. Wa kutegua ni Samia na si Ndugai.

Hekima itatamalaki? Ya nani?
Hakuna mtego hapo ninyi group Ndugai. Mnampigia debe ninyi....Aondoke CCM.
 
Si mtego mgumu...lakini ni mtego mkali... CCM kwa miaka yote imejitahidi sana kukwepesha na wakati mwingine kuahirisha milongas ya mihimili.

Kuanzia wakati wa Baba wa Taifa Mwl. J. K. Nyerere na mjadala wa Uafrika na Uraia wa Tanzania hadi huu wa mkopo na Tozo wa Rais Samia. Migongano iliepushwa kwa kuzungumza kichama.

Sasa hivi kichama vitu haviendi na visingefika alipofikisha Rais Samia, kukataa msamaha alioomba Ndugai. Samia angeweza kutoa kauli ya kusamehe kama aliyotoa mtangulizi wake kwa waliomkosea wakati ule (mnakumbuka ya Kinana?). Mambo yangeisha kiutu uzima kwa kupiga picha na kunywa chai.

Spika ni mtu mzito sana Kikatiba...Rais ni mzito zaidi..hawapimani. Spika hana hata chipukizi wa kumlinda na mshale..Rais anaamuru majeshi.

Lakiki Samia yuko tayari kuandika historia ya kuwa Rais aliyemlazimisha Spika wa chama chake kujiuzulu kwa jambo la mitazamo midogo yenye kutofautiana kisera? Ni kweli tunataka kumuona Ndugai anatoka lango la Ikulubakitembea anageukageuka nyuma akijifuta jasho?

Kama Rais ni taasisi na Spika ni taasisi kama ilivyo kwa Jaji Mkuu. Tusiingie mtego huu. Wa kutegua ni Samia na si Ndugai.

Hekima itatamalaki? Ya nani?
Yawezekana Kuna mengi zaidi ya mikopo na tozo Mama kachoka alizungumzia pia kuhusu Serikali ya mpito huko Bungeni Kuna mazito zaidi yawezekana
 
Si mtego mgumu...lakini ni mtego mkali... CCM kwa miaka yote imejitahidi sana kukwepesha na wakati mwingine kuahirisha milongas ya mihimili.

Kuanzia wakati wa Baba wa Taifa Mwl. J. K. Nyerere na mjadala wa Uafrika na Uraia wa Tanzania hadi huu wa mkopo na Tozo wa Rais Samia. Migongano iliepushwa kwa kuzungumza kichama.

Sasa hivi kichama vitu haviendi na visingefika alipofikisha Rais Samia, kukataa msamaha alioomba Ndugai. Samia angeweza kutoa kauli ya kusamehe kama aliyotoa mtangulizi wake kwa waliomkosea wakati ule (mnakumbuka ya Kinana?). Mambo yangeisha kiutu uzima kwa kupiga picha na kunywa chai.

Spika ni mtu mzito sana Kikatiba...Rais ni mzito zaidi..hawapimani. Spika hana hata chipukizi wa kumlinda na mshale..Rais anaamuru majeshi.

Lakiki Samia yuko tayari kuandika historia ya kuwa Rais aliyemlazimisha Spika wa chama chake kujiuzulu kwa jambo la mitazamo midogo yenye kutofautiana kisera? Ni kweli tunataka kumuona Ndugai anatoka lango la Ikulubakitembea anageukageuka nyuma akijifuta jasho?

Kama Rais ni taasisi na Spika ni taasisi kama ilivyo kwa Jaji Mkuu. Tusiingie mtego huu. Wa kutegua ni Samia na si Ndugai.

Hekima itatamalaki? Ya nani?
wee mzee embu tuache kwanza.

ulikuwa wapi kuyaandika haya enzi za yule shetani muuaji. ulikuwa upande wa kuunga mkono uovu.
 
Si mtego mgumu...lakini ni mtego mkali... CCM kwa miaka yote imejitahidi sana kukwepesha na wakati mwingine kuahirisha milongas ya mihimili.

Kuanzia wakati wa Baba wa Taifa Mwl. J. K. Nyerere na mjadala wa Uafrika na Uraia wa Tanzania hadi huu wa mkopo na Tozo wa Rais Samia. Migongano iliepushwa kwa kuzungumza kichama.

Sasa hivi kichama vitu haviendi na visingefika alipofikisha Rais Samia, kukataa msamaha alioomba Ndugai. Samia angeweza kutoa kauli ya kusamehe kama aliyotoa mtangulizi wake kwa waliomkosea wakati ule (mnakumbuka ya Kinana?). Mambo yangeisha kiutu uzima kwa kupiga picha na kunywa chai.

Spika ni mtu mzito sana Kikatiba...Rais ni mzito zaidi..hawapimani. Spika hana hata chipukizi wa kumlinda na mshale..Rais anaamuru majeshi.

Lakiki Samia yuko tayari kuandika historia ya kuwa Rais aliyemlazimisha Spika wa chama chake kujiuzulu kwa jambo la mitazamo midogo yenye kutofautiana kisera? Ni kweli tunataka kumuona Ndugai anatoka lango la Ikulubakitembea anageukageuka nyuma akijifuta jasho?

Kama Rais ni taasisi na Spika ni taasisi kama ilivyo kwa Jaji Mkuu. Tusiingie mtego huu. Wa kutegua ni Samia na si Ndugai.

Hekima itatamalaki? Ya nani?
Spika alifanya kosa kama kiongozi wa muhimili wa Bunge kutoa kauli kama ile public ilikuwa ni makosa makubwa sana.
Wengi tulishangaa sana hizi misalignments za viongozi wakubwa kwa nchi zenye demokrasia changa ni hatarishi sana.
Hatuyajui ya kipindi cha mpito alikuwa na msimamo gani na take over ya mama.

Na baada ya kipindi cha mpito amebehave vipi behind the carpet Raisi ni top well informed
katika nchi.
 
Si mtego mgumu...lakini ni mtego mkali... CCM kwa miaka yote imejitahidi sana kukwepesha na wakati mwingine kuahirisha milongas ya mihimili.

Kuanzia wakati wa Baba wa Taifa Mwl. J. K. Nyerere na mjadala wa Uafrika na Uraia wa Tanzania hadi huu wa mkopo na Tozo wa Rais Samia. Migongano iliepushwa kwa kuzungumza kichama.

Sasa hivi kichama vitu haviendi na visingefika alipofikisha Rais Samia, kukataa msamaha alioomba Ndugai. Samia angeweza kutoa kauli ya kusamehe kama aliyotoa mtangulizi wake kwa waliomkosea wakati ule (mnakumbuka ya Kinana?). Mambo yangeisha kiutu uzima kwa kupiga picha na kunywa chai.

Spika ni mtu mzito sana Kikatiba...Rais ni mzito zaidi..hawapimani. Spika hana hata chipukizi wa kumlinda na mshale..Rais anaamuru majeshi.

Lakiki Samia yuko tayari kuandika historia ya kuwa Rais aliyemlazimisha Spika wa chama chake kujiuzulu kwa jambo la mitazamo midogo yenye kutofautiana kisera? Ni kweli tunataka kumuona Ndugai anatoka lango la Ikulubakitembea anageukageuka nyuma akijifuta jasho?

Kama Rais ni taasisi na Spika ni taasisi kama ilivyo kwa Jaji Mkuu. Tusiingie mtego huu. Wa kutegua ni Samia na si Ndugai.

Hekima itatamalaki? Ya nani?
Yanayofanyika kwa Wapinzani wa Kisiasa ni sawa, ila kwa watu wa chama kimoja si sawa...Sasa hapo Hekima iko wapi? Je Hekima ni suala la Upande mmoja tu wa Utawala au Hekima ni namna ya kuishi na watu wa makundi yote bila upande mmoja kujisikia kuonewa na kuishi kwa raha kama watawala?

Kuna misemo miwili naomba tujikumbushe. Mwl Nyerere aliwahi kusema " Upinzani halisi utatoka ndani ya CCM" Labda wakati ndio huu umefika. Wakili Msomi Tundu Lisu, aliwahi kusema "Wakisha wamaliza wapinzani watarudiana wao kwa wao" Je nalo hilo wakati ndio umefika?
 
Ile ilikuwa kazi wale wenyeviti wa CCM mikoa waliyopewa kumpinga Ndugai ndio maana jana wakaitwa ikulu kupongezwa kwa "kazi nzuri" waliyoifanya.

Hapo ukiangalia vizuri utaona Samia binafsi ameshaanza kujipanga kwa 2025, ila hataki wengine wajipange, akiulizwa anakimbilia najenga nchi, huu ni uongo, anacheza na akili za wajinga.

Wamechezea rasilimali za taifa kuwapa wazungu bure leo wanaona sifa kukopa, na kuna kundi kubwa la wajinga wameagizwa toka mikoani kuja Dsm kushangilia, hizi akili ndogo zimeigeuza ikulu yetu kijiwe cha kupiga umbea na kuimba mipasho.

Sasa nawashauri wote waanze kujipanga kwa 2025 hii nchi haina haja ya kuwa na Rais wala Spika, inaweza kujiendea tu, kila siku tunalia umasikini, hakuna maji safi na salama wakati hawa miaka yote wapo tu hawajui wanachofanya, bora wapigane niangalie vita yao.
Kunywa mirinda,bill juu yangu!
 
Hii busara ilitakiwa ianze kwa Supika kwenda kumuona Rais na kumpa dokezo kiuongozi, kwenda public na kuhoji huku ukikebehi "nchi itapigwa mnada" zaidi ya hapo unasema wataamua 2025 mkitaka kuweka wa kukopakopa, huku kulikuwa ni kupungukiwa busara kwa hali ya juu.

Na retaliation yake ndio hii watu msije kumuona Rais amekosea kumjibu public kwasababu yeye aliongea public basi naye acha ajibu public ndio waende huko ndani wakamalizane, hauwezi kuharibu image ya mwenzako yeye akae amekuangalia tuu.
Umeniwakilisha vizuri. Aliyeanzisha vita ni supika mwenyewe.
 
Wale wabunge wana nafasi nzuri sana kwenye kuamua hili suala, ni either wapige kura ya kutokuwa na imani na Samia au kutokuwa na imani na Ndugai, kwao kuendelea kukaa kimya ni unafiki wasilete habari ya kulinda chama zaidi ya kulinda interests za nchi.

Kuwa na mihimili miwili isiyoelewana ni tatizo, kwa sababu yote hufanya kazi kwa kushirikiana, na kwa namna fulani inategemeana. Naona Samia ameaminiwa kwa kauli yake ya anajenga nchi hataki watu wamharibie, huu kwangu ni usanii tu.

Wakati yeye ndie aliekuwa wa kwanza kuwaambia wanawake wenzie 2025 ni zamu yao, kama alidhani alikuwa anapiga umbea kwenye kikao cha wanawake wenzake ajue wanaume walijua vita ndio imeshatangazwa, sasa apigane asijifiche kwenye kisingizio cha najenga nchi na kutaka kutumbua mawaziri wanaojipanga, anawaonea.
It is better the parliament is dissolved and a new election is arranged for the best interests of the country, we can't have two prominent pillars undermining each other in public this is gross derogatory to the voters.

Both pillars chiefs did it wrong to attack each other in public without considering the adverse attitude implications to the citizens; they have damaged respect, they lacked wisdom and knowledge on mirror issues that could have been resolved internally.

The sitting government shall not prevail if it continues behaving the way it demonstrates now
 
Kwani Ndungai akiachia hayo madaraka kuna shida gani, unadhani Mh. SSH atataka kuongea na huyo mhusika tena, ki uhalisia huwezi kuishi na nyoka ndani ya nyumba yako ukawa salama. Muhimu ni kukikata kichwa mapema tu.
kwani Samia akiacha hayo madaraka Kuna shida gani!?, Hadi akatae kuongelewa suala la kukopa!!??
 
Kuna nchi ushawahi kuona imepigwa mnada?..

Suala la Tozo wananchi walipiga sana kelele na kuilaumu sana serikali mpaka Rais kuitwa BI TOZO....sasa bila shaka wataelewa mhusika ni nani..

Kukopa sio dhambi, ila tu uwe na unakopa kwa mipango au ukijua namna sahihi ya kulipa either kupitia kodi hizo hizo unazotoza raia au kupitia uzarishaji mali ndani ya rasilimari zilizopo..

Kumbe kuna mtu alikuwa anakopakopa sana na Ndugai alikuwepo kwanini hakuwahi kuyasema haya bali anakuja kusema wengine hapa utaona naye ni muoga na mnafiki tu..

Hapakua na TOZO HUYO ALOKUA ANSKOPA HOVYO HOVYO TULIKUA HATUMINYWI SISI..
Sasa hivi tunaminywa na wanakopa na sisi ndio walipaji sio wao huko juu kila kitu bure maji umeme nyumba vyakula mavazi vyote bure kwao
 
Kwa cheo cha Ndugai anapoongea kitu kupitia media maneno yake yanachukuliwa Spika kasema sio mnywa kahawa kasema
Kwa hiyo lazima ujue kuna tofauti kubwa Kati ya Ndugai na Mtanzania wa kawaida katika maneno watakayosema

Hakuna popote kwenye katiba anapozuiliwa awaye yote kutoa maoni yake.

Hakuna sheria yoyote aliyovunja na hapo ndipo tusiokuwamo linapotuhusu.
 
ndugai yuko sahh Kama spika kuhoji ,Sasa nashangaa bi mkubwa kaja juu na kuhemka ,kwa nn analazmisha nchi ijiwekeze kwenye kukopa!!??,tunamnufaisha Nani !!? mikopo mikubwa mikubwa hii,si ni mzigo mkubwa kwa taifa !!?,tozo liliwekwa watu wakalalamika weee,lkn ndugai pia alisapoti suala la tozo na kumsapot bi mkubwa ,alifanya hivyo kwa kuwa tunataka Kama nchi,Basi tuwe na angalau uwezo wetu wenyewe wa kujitegemea na kupunguza hii tabia ya kukopakopa nje!! Mi naona ,bi mkubwa anajambo anahofia ,Ila Kama rais alitakiwa amjibu ndugai kwa hoja kwa nn kukopa plus na tozo ipo!? Kama ndugai alivyohoji why tukope zaidi na tozo tunayo !?. bi mkubwa akumbuke aliachiwa nchi kutoka kwa mrithi wake nchi ikiwa kwenye policy ya kujenga utamaduni wa kujitegemea ,na wananchi wote walifahamu na wakamuelewa jpm,Sasa bi mkubwa ni Kama anataka kuwahamisha watu kwa kwenda kwenye policy ambayo inataka uwe mwangalifu kuwa hamisha watu,la sivyo unaweza ukajikuta umehalibu mazima!!

wabunge wapo kimya kwenye hili,lkn kwa mmoja mmoja ,naamini wanajua Nani yuko sahh!!, na hapo ndo pabaya!!
 
Back
Top Bottom