Muju4
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 5,489
- 7,446
Inategemea na haiba ya mtu, kama una undava undava watu hawatakutetea.Mkuu! Kwani hukuona Asad alivyoitwa majina mazuri mazuri kwa ujumbe wake ule?
Sasa kwanini huu wa Ndugai tunaupiga teke?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inategemea na haiba ya mtu, kama una undava undava watu hawatakutetea.Mkuu! Kwani hukuona Asad alivyoitwa majina mazuri mazuri kwa ujumbe wake ule?
Sasa kwanini huu wa Ndugai tunaupiga teke?
Haiba haiko kwa Ndugai ila ipo kwenye ujumbe wakeInategemea na haiba ya mtu, kama una undava undava watu hawatakutetea.
Huwezi kusema unachukia nyama ya nguruwe lakini ukinadi utamu wa supu yake.Haiba haiko kwa Ndugai ila ipo kwenye ujumbe wake
Hata Yesu aliwambia watu wake kama hawamwamini yeye basi waamini ujumbe wake.Huwezi kusema unachukia nyama ya nguruwe lakini ukinadi utamu wa supu yake.
ujumbe wa Assad uliaminiwa? yeye je? Ni wakati awajibike sasa kama alikuwa sure na alichokisema, why excuse ya nilinukuliwa vibaya, huku akiusifia mkopo kwa kujenga madarasa? hii inaonesha issue sio mkopo kuna hidden agenda.Hata Yesu aliwambia watu wake kama hawamwamini yeye basi waamini ujumbe wake.
Tunaweza kuwa na chuki kwa Ndugai ila vipi ujumbe wake?
Kafanya vile baada ya kuona aliojaribu kuwatetea ni wapumbavu!ujumbe wa Assad uliaminiwa? yeye je? Ni wakati awajibike sasa kama alikuwa sure na alichokisema, why excuse ya nilinukuliwa vibaya, huku akiusifia mkopo kwa kujenga madarasa? hii inaonesha issue sio mkopo kuna hidden agenda.
Sasa ngoja atubu kwa alilolifanya, hiyo ndio price yake Mkuu ni sasa sijui tuiite calculated error?Kafanya vile baada ya kuona aliojaribu kuwatetea ni wapumbavu!
Badala ya waungane nae wao wameishia kumshambulia.
wapinzani walivyokua wanabananishwa na system mliechekelea sana nyie push gang.Nadhani watu wanamiss kwanini Ndugai kaomba msamaha...si kwa sababu alikosea
Ndugai kabananishwa wapi?wapinzani walivyokua wanabananishwa na system mliechekelea sana nyie push gang.
leo member wenu wa push gang ameingia kwenye 18 za watu wa system unasema eti samia amejitega [emoji23]
mwanakijiji acha unafiki....yeye ndugai kamsema rais kwenye public tena huko kwao kijijini bila aibu..tena kwa kupayuka mno...kwani alishindwaje kuongea na rais kiofisi???kama ilivyontaratibu zenu maccm.....mama Samia kafanya vema nae kumjibu ndugai in public....alitaka kuharibu image ya rais in public...wacha na yeye asutwe in public.....Si mtego mgumu...lakini ni mtego mkali... CCM kwa miaka yote imejitahidi sana kukwepesha na wakati mwingine kuahirisha milongas ya mihimili.
Kuanzia wakati wa Baba wa Taifa Mwl. J. K. Nyerere na mjadala wa Uafrika na Uraia wa Tanzania hadi huu wa mkopo na Tozo wa Rais Samia. Migongano iliepushwa kwa kuzungumza kichama.
Sasa hivi kichama vitu haviendi na visingefika alipofikisha Rais Samia, kukataa msamaha alioomba Ndugai. Samia angeweza kutoa kauli ya kusamehe kama aliyotoa mtangulizi wake kwa waliomkosea wakati ule (mnakumbuka ya Kinana?). Mambo yangeisha kiutu uzima kwa kupiga picha na kunywa chai.
Spika ni mtu mzito sana Kikatiba...Rais ni mzito zaidi..hawapimani. Spika hana hata chipukizi wa kumlinda na mshale..Rais anaamuru majeshi.
Lakiki Samia yuko tayari kuandika historia ya kuwa Rais aliyemlazimisha Spika wa chama chake kujiuzulu kwa jambo la mitazamo midogo yenye kutofautiana kisera? Ni kweli tunataka kumuona Ndugai anatoka lango la Ikulubakitembea anageukageuka nyuma akijifuta jasho?
Kama Rais ni taasisi na Spika ni taasisi kama ilivyo kwa Jaji Mkuu. Tusiingie mtego huu. Wa kutegua ni Samia na si Ndugai.
Hekima itatamalaki? Ya nani?
hahah mataga pori mmepoteana *****.Ndugai kabananishwa wapi?
Ile ni panic tu ya Hangaya baada ya kuchomwa na ujumbe wa Job
Mungu anapoamua kuteketeza kundi fulani ni vigumu wanadamu kuokoa , huu ndio mwanzo wa Tanzania mpyaSi mtego mgumu...lakini ni mtego mkali... CCM kwa miaka yote imejitahidi sana kukwepesha na wakati mwingine kuahirisha milongas ya mihimili.
Kuanzia wakati wa Baba wa Taifa Mwl. J. K. Nyerere na mjadala wa Uafrika na Uraia wa Tanzania hadi huu wa mkopo na Tozo wa Rais Samia. Migongano iliepushwa kwa kuzungumza kichama.
Sasa hivi kichama vitu haviendi na visingefika alipofikisha Rais Samia, kukataa msamaha alioomba Ndugai. Samia angeweza kutoa kauli ya kusamehe kama aliyotoa mtangulizi wake kwa waliomkosea wakati ule (mnakumbuka ya Kinana?). Mambo yangeisha kiutu uzima kwa kupiga picha na kunywa chai.
Spika ni mtu mzito sana Kikatiba...Rais ni mzito zaidi..hawapimani. Spika hana hata chipukizi wa kumlinda na mshale..Rais anaamuru majeshi.
Lakiki Samia yuko tayari kuandika historia ya kuwa Rais aliyemlazimisha Spika wa chama chake kujiuzulu kwa jambo la mitazamo midogo yenye kutofautiana kisera? Ni kweli tunataka kumuona Ndugai anatoka lango la Ikulubakitembea anageukageuka nyuma akijifuta jasho?
Kama Rais ni taasisi na Spika ni taasisi kama ilivyo kwa Jaji Mkuu. Tusiingie mtego huu. Wa kutegua ni Samia na si Ndugai.
Hekima itatamalaki? Ya nani?
Push gang ni kina nani na wametawanywa vipi?hahah mataga pori mmepoteana *****.
mpaka sasa push gang mmeshatawanywa.
Pambaf
Hapo ndio namuona Polepole kidume,hii ni mihimili miwili tofauti,Spika Hapangingwi(Sauti ya Ruto), kule Kenya mhimili wa Mahakama umemvibia Uhuru mara kadhaa, tuangalie katiba yetu inasemaje kuhusu mgawanyo wa madaraka kwa mihimili yetu mikuu 3 yaani Bunge,Serikali na Mahakama, mnaoshangilia leo ya Ndugai tusije tukalaumu yajayo kwenye mahakama. Raisi hayuko juu ya sheria.Ushawahi sikia Samuel Sitta anaomba msamaha kwa mkuu mwenzie wa muhimili! (enzi hizo alikua JK)
Kwa kifupi Job Ndugai kakosea alitakiwa aendelee kuvimba, yeye ni muhimili tofauti, na inashangaza mwanaume gani anakuwa mwepesi mwepesi kuomba msamaha tena kwa she!
hahah push gang umepanic hadi umebadili mada 😂Push gang ni kina nani na wametawanywa vipi?
Mimi nilifikiri badala ya kuhangaika na mambo ya ccm ungejikita kuhangaika na mambo ya gaidi wenu!
Hao push gang unaofikiri wametawanywa, 2025 wataungana kuwapelekea moto alafu mtarudi tena humu kulalama!
Sijui huwa hamjifunzi.
Hakuna kitu kama hicho mnanishangaza kumshangilia mama na kumlaumu Ndugai kisa kuwaruhusu wabunge mliowafukuza kuwa bungeni mnasahau kuwa hao hao mnaowashangilia ndio hao hao mnaowalalamikia Katiba, na ndio waliomsweka ndani gaidi.Bure kabisa nyie watu.Mungu anapoamua kuteketeza kundi fulani ni vigumu wanadamu kuokoa , huu ndio mwanzo wa Tanzania mpya
Subiri 2025!hahah push gang umepanic hadi umebadili mada [emoji23]
tulia wewe push gang acha kulia-lia kama kuku mjane.Subiri 2025!
Endelea kushabikia yanahoendelea ccm
Ok... Kumbe umeshazoea maumivu basi sawatulia wewe push gang acha kulia-lia kama kuku mjane.
mimi hakuna maumivu mapya yatakayonitikisa kwenye hizi siasa.