KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Habari za muda huu wazalendo wenzangu poleni na mihangaiko, harakati na purukushani za kuhakikisha mkono unakwenda kinywani.
Bila shaka hiyo sio kauli ngeni miongo mwa wanaojiita wapendanao ni kauli ambayo imekaa kibusara au kwenye kheri.
Hii kauli imevikwa muonekano wa hekima lakini ndani yake ina ushetani mkubwa wa matendo...
Mimi binafsi lishawahi kunikuta "Jambo" baada ya kuibeba kauli hii kwa jinsi inavyoonekana na so uhalisia wake.
Hii kauli ni kichaka cha waovu wanaotumia simu kama bunge la kuendeshea vikao vyao vyenye nia ovu.
Ni kauli inayoweka ulinzi wa mtu mwovu kufanya uovu kwa uhuru.
Chonde chonde mwenza wako anapohubiri sana kauli hii unatakiwa ufungue jicho la tatu kuyaona usiyoyatarajia.
"NZI WASIOTAKA USHAURI HUZIKWA NA MIZOGA"
Bila shaka hiyo sio kauli ngeni miongo mwa wanaojiita wapendanao ni kauli ambayo imekaa kibusara au kwenye kheri.
Hii kauli imevikwa muonekano wa hekima lakini ndani yake ina ushetani mkubwa wa matendo...
Mimi binafsi lishawahi kunikuta "Jambo" baada ya kuibeba kauli hii kwa jinsi inavyoonekana na so uhalisia wake.
Hii kauli ni kichaka cha waovu wanaotumia simu kama bunge la kuendeshea vikao vyao vyenye nia ovu.
Ni kauli inayoweka ulinzi wa mtu mwovu kufanya uovu kwa uhuru.
Chonde chonde mwenza wako anapohubiri sana kauli hii unatakiwa ufungue jicho la tatu kuyaona usiyoyatarajia.
"NZI WASIOTAKA USHAURI HUZIKWA NA MIZOGA"