Mtemi Ng'wanamalundi (Mwanamalundi) - Yesu wa Afrika?

Mtemi Ng'wanamalundi (Mwanamalundi) - Yesu wa Afrika?

nimekisoma tena jana ila ni hadithi tu sema meaneo yalitajwa katika kitabu hicho ni ya kweli,hadithi hii ilikuwa nzuri na ya kutisha enzi hizo

Eti unasemaje? Ni hadithi? Nitaenda nikusemee kwa bibi ukione cha moto!! Huyo jamaa alipata kuishi na matukio hayo ni ya kweli na yapo mengi ambayo hayakuandikwa! Ukitaka kujua historia yake kwa undani kabisa tembelea maeneo ya Seke Shinyanga vijijini! Na Mimi "Jissinza Manjagata" ni wa ukoo wa Mwanamalundi ila "tusijuane!"
 
Hii si hadithi...mwanamalundi amepata kuexist....isipokuwa baadhi ya sifa anaongezewa..

Mdogo wangu usiseme hivyo! Sema sifa zingine nyingi sana wamempunguzia, aidha kwa kukosekana wandishi mahili ama watu kuogopa kutoa habari zote. Hivi uliwahi kusikia alivyowapiga upofu Wamasai waliokuja kuiba ng'ombe wa Usukumani miaka hiyo? Pale Mhunze kulikuwa na mti aliouunguza wakati wa uhai wake, gogo hilo ndo limeishia miaka ya hivi karibuni (kama 2004 hivi).
 
PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA


Chukua japo dakika 10 za kusoma kitabu cha mwanamalundi, mtu maarufu aliyewahi kutokea katika historia ya kabila la kisukuma, hizi ni picha nilizozitoa katika kitabu hicho chenye karatasi kama 7, ni mojawapo ya kitabu nilichotamani kukisoma kupata ukweli juu ya mtu huyu, kwa bahati nzuri nimekikuta kwa mama yangu mkubwa katika kabati lake la vitabu, hivyo nikaona sio mbaya nikiweza kushare na marafiki zangu ambao nao wanatamani kujua historia ya mtu huyu maarufu kuwahi kutokea hapa Tanzania.


C360_2013-12-30-22-24-16-025.jpg


C360_2013-12-30-22-25-57-127.jpg


C360_2013-12-30-22-26-58-771.jpg


C360_2013-12-30-22-27-21-158.jpg


C360_2013-12-30-22-27-40-175.jpg


C360_2013-12-30-22-27-57-164.jpg


C360_2013-12-30-22-28-16-511.jpg


C360_2013-12-30-22-28-34-982.jpg


C360_2013-12-30-22-28-58-344.jpg


C360_2013-12-30-22-29-21-005.jpg


C360_2013-12-30-22-29-39-805.jpg


C360_2013-12-30-22-29-59-835.jpg


BRAVO 2 ZERO

Source:

http://nyanja.blogspot.com/2014/01/pata-ukweli-kuhusu-mwanamalundi-mtu-wa.html
 
Nilikisoma nikiwa shule ya msingi, ni maajabu sana. Mwanamalundi, mtu maarufu katika historia ya Usukuma. Hivi Mwanamalundi ali-exist kweli Usukumani ama ni hadithi za kutunga tu. Nifafanulieni tafadhali

ukiona bismark rock pale mwanza ndo utajua kuwa ali exist. alitembea juu ya maji ya lake victoria na bahari ya hindi. nyayo yake iko juu ya jiwe la bismark na mbwa wake
 
Ashukuriwe aliye upload kitabu, nime enjoys mnooooo kukumbuka stori hiyo. Asante sana
 
Hata kwetu kuna mlima unaitwa wa mwanamalundi ambapo kuna baadhi ya vutu vyake alivyotumia enzi za uhai wake vinaonekana ikiwa pamoja na nyao za miguu yake kila alipokanyaga juu ya mawe na vingine vingi mlima huu upo wilaya ya bukombe mkoa wa geita kwa sasa
 
Asante sana mleta mada na aliye-upload.
Afadhali, wenzetu wanahifadhi historia zao na tungo zao ktk filamu( series) sie kazi yetu kununua, angalau leo niongeze jambo la nyumbani
^^
 
Back
Top Bottom