Mtemi Ng'wanamalundi (Mwanamalundi) - Yesu wa Afrika?

Mtemi Ng'wanamalundi (Mwanamalundi) - Yesu wa Afrika?

Natafuta kitabu cha historia ya Mwanamalundi mwenye nacho aniuzie au anipe nitoe nakala moja Photocopy. Anitext kwenye namba 0789641118.
 
Pale kijijin kwetu shy kuna sehemu wanasema alipita. kwahiyo kaacha alama za miguu na makalio kwwnye mawe ukienda unayakuta.

Alikuwa anamuachia Maziwa freshi mke wake akitaka kusafiri yakiganda atakuwa amekufa yasipoganda hajafa. Pia alifunga shoka ikaning'inia juu ya dari mpaka chini akianza kusafiri kamba inaanza kuvuta shoka inaanza kupanda juu akifika mwisho wa safari na shoka itakuwa imegusa juu, akianza kurudi na shoka inaanza kushuka taratibu akifika nyumban shoka nayo inafika chini. Pia alikuwa anapanda viazi na kuiva kwa siku moja. Ni mengi ila naishia hapo

Asee..alikua mfalme,chifu au nani..napendakujua zaidi....habari zake huyu mtu
 
the biggest loss tuliyonayo waafrika ni kupoteza historia zetu, wengi wetu hatujui vizazi vyetu zaid ya cha pili ukijitahid sana cha tatu!!!
pili historia pekee tunazofundishwa ni kuanzia ukolon kuja mbele uhuru na sasa nyuma kabla ya ukolon historia hiyo imefutwa kabisa hii ni mbaya sana!!!
we need to know the story of our heroes!!!
 
aloo, huyu jamaa kweli alikua kiboko, hakuna hata vitabu kumhusu au labda hata kumbukumbuk kwenye ma museum? kweli tunahitaji kujua zaidi historia ya nchi yetu sio through formal education maana mengi sana tunayakosa
 
Ahahaha, mmezidisha chumvi sasa inawezekana vipi azikwe huku amekaa na apande viazi viote the same day?
 
kulikuwa na kitabu nakumbuka primary tulikisoma ila hakikuwa kwenye syllabus, ilikuwa ni hadithi tu, sasa historia kamili ya huyu jamaa sijaisikia, nadhani hata hao watu mwanza hawaifahamu kisawasawa kama wahehe na mkwawa
 
the biggest loss tuliyonayo waafrika ni kupoteza historia zetu, wengi wetu hatujui vizazi vyetu zaid ya cha pili ukijitahid sana cha tatu!!!
pili historia pekee tunazofundishwa ni kuanzia ukolon kuja mbele uhuru na sasa nyuma kabla ya ukolon historia hiyo imefutwa kabisa hii ni mbaya sana!!!
we need to know the story of our heroes!!!

Tembelea makumbusho Bujora utayaona yote kuhusu Mwanamalundi
 
Mheshimiwa Rais, nimefurahishwa vilivyo na jinsi ulivyoanza uongozi wako wa awamu ya nne kwa ziara za kushtukiza unazozifanya sehemu mbalimbali ambazo unahisi kuna matatizo yanayowaelemea wananchi. Kwa jambo hilo nakupa hongera sana. Wasiwasi wangu ni kwamba, je,baada ya ziara kama hizo ufumbuzi wa matatizo uliyoyaona utapatikana kwa wakati wake? Mfano; Muhimbili wagonjwa kulala chini, mpaka leo hatujasikia hatua zilizochukuliwa. Je, Vitanda vitapatikana lini?

Umeme bei juu lini utapunguzwa? Au ni kutokana na hii hali ya ukame…labda! Na kule kwenda sokoni na kuona bei ya vyakula kuwa juu, je kwa kauli yako wafanya biashara wamefanya lolote kupunguza bei? Mheshimiwa nafikiri wakati umefika wa kuwatumia wasaidizi wako wafanye kwanza utafiti wa kina wa matatizo ya sehemu unazoziona zina shida, ili unapotembelea sehemu hizo utoe hitimisho na kauli zilizofanyiwa utafiti wa kina. Kwa bahati mbaya Mheshimiwa rais nchi yetu ina matatizo mengi sana kila nyanja, nachelea kusema kwamba sehemu ambazo utakuwa hujatembelea wajanja watatumia kigezo hicho kwamba hawajaonekana hivyo kuzidi kutunyanyasa. Pia kama ziara hazitakuwa na ukali wa utekelezaji, basi wataona ni kawaida ya rais kututembelea na kuongea...!

Kuna jambo lingine tena Mtukufu Rais ambalo ni muhimu kwako kuliangalia, UWAJIBIKAJI WA PAMOJA (total responsibility). Serikali yako bado ni changa sana madarakakani hivyo inahitaji mawasilianao ya karibu sana katika utendaji wake ili kuimarisha msingi wa mtandao wa utekelezaji wa yale manayoyakusudia. Kitendo cha hivi karibuni cha wewe kwenda kutembelea daraja la muda bila kuwepo kwa mhusika yeyote wa ngazi za juu katika wizara inayohusika, ni cha kushangaza na kuacha maswali mengi nyuma.

Yako mengi sana Mheshimiwa yanayonipa mashaka na maswali mengi kichwani kama kauli zinazopingana kuhusu wafanyabiasha wadogo (wamachinga), Namna zoezi la ukamataji wa wafanyabiashara wanaohusishwa na ujambazi unavyofanyika na hatima yake….ni megi, mengi…nitarudi tena mhesimiwa rais.

ngatuni.

Unashangaa hayo jiulize Maziwa yalikaaje zaidi ya miezi 3 Bila kuganda?? Jiulize kwa nini Wajerumani walioenda kymnyonga walimrudisha?? Kwa nini siku aliyozaliwa baba yake alikufa?? Mwanamalundi ni mtoto wa dawa yani mama yake alimeza mabughota ili aweze kushika mamba.
No tembelea Makumbusho ya Bujora utajua mengi kuhusu huyu. MI story zingine nimeskia kutoka kwa wacheza ngoma yeye alijikita huko
 
Ahahaha, mmezidisha chumvi sasa inawezekana vipi azikwe huku amekaa na apande viazi viote the same day?



Unashangaa hayo jiulize Maziwa yalikaaje zaidi ya miezi 3 Bila kuganda?? Jiulize kwa nini Wajerumani walioenda kymnyonga walimrudisha?? Kwa nini siku aliyozaliwa baba yake alikufa?? Mwanamalundi ni mtoto wa dawa yani mama yake alimeza mabughota ili aweze kushika mamba.
No tembelea Makumbusho ya Bujora utajua mengi kuhusu huyu. MI story zingine nimeskia kutoka kwa wacheza ngoma yeye alijikita huko
 
Mimi nina kitabu cha mwanamalundi na iwamba nguru. Kiu kweli kuhusu mwanamalundi pia aliwahi kutengeneza bao kwenye jiwe na na kete zake kwa mkono kama wewe unavyo kula ugali. Mpaka leo kunaalama ya miguu yake alipo kanyaga na mbwa wake na sehem aliyo kaa kwa maana ya makalio yake. Kiu kweli kanda ya ziwa kuna historiya kubwa sana. Napenda kumjuza jamaa asieamini kuwa viazi kulimwa kwa siku moja. Sasa nampa hii miaka ya 1990 mm nimeshuhudia kwenye ngoma hizi watu kulima mahindi, karanga, njugumawe na kuiva kwa siku moja na watu kuvuna. Ulizia watu kama nkondya mavitii. Ng'wanamayuki hawa watu wamefanya maajabu.
 
Back
Top Bottom