Mtemi Ng'wanamalundi (Mwanamalundi) - Yesu wa Afrika?

Mtemi Ng'wanamalundi (Mwanamalundi) - Yesu wa Afrika?

Mkuu ushapata kitabu? Hata mimi nakihitaji
Bado mkuu, nadhani pale mwanza mkabala na benki kuu kuna duka la wakatoliki i.e. Catholic Book Store, kinaweza kuwepo. Itabidi nifunge safari kwenda mwanza kukitafuta hiki kitabu.
 
nadhan kuna tatizo ktk haya maelezo, hakuna njia sahihi ya kuelezea kitu kwa uwazi zaidi kama utaweka picha, yote haya yameongelewa lakini hakuna hata mmoja ameweka picha hata y izo nyayo!
 
Bado mkuu, nadhani pale mwanza mkabala na benki kuu kuna duka la wakatoliki i.e. Catholic Book Store, kinaweza kuwepo. Itabidi nifunge safari kwenda mwanza kukitafuta hiki kitabu.
Ntawaagizia walioko huko
 
attachment.php

Wanajamii Forum; picha hapo chini ni mti aina ya mkurunguunaodaiwa kuwa ulikauka miaka kadhaa iliopita baada ya magician with supernatural powers kupita katika kataiitwayo Usule hukooo&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];.kama unaelekea kusini mashariki mwa Shinyanga vijijini . alifikia kwa chief nakufuata taratibu zote za kiitifaki naanga yote ilitanda askari wa kutungua roketi, mabomu ya ardhini, silaha za nyuklia na kuthibiti dhahama ya aina yeyote ilewananzengona kama kawaida ya kabila langu la &[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];.. (ntuhu tabu, mawitogwa duhu koi hagalikoya&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG]😉 walimwangusha ngondi lakini kuni za kuchomea zilikosekana baadawanawake kuzuiwa kuzurura hovyo kwenye maeneo ya ugeni . Hivyo mgeni rasmi alitoa tamkowenyeji waondoe hofu kwani kuni zipo,alitakiwa kutoa kuni mara aliamka na kulisota kidole mti wa mkurungu uliokuwajirani. Ulikauka palepale na kuni zikapatikana.
Rushia like hapa! nitaendeleaambaye yupo karibu na library ya shytown atupe details za huyu mtualikozikwa maana naskia ukigusa kaburi lake unapata super natural power kamayeye.
Kwa sasa nipo Njombena punde nitawaletea kuhusu &[HASHTAG]#8216[/HASHTAG];'nyumba nitu''from Mlevela.
DSCN0094.jpg
 
Ilkua ni karne ya ngapi hiyo?nimewahi kusikia maajabu ya huyo mtu,si yule aliyebadili mawe kua ngoma,nyayo zake zipo kwenye jiwe na alama za makalio yake?
 
Sasa kama mtu akigusa kaburi lake anakuwa na super natural power si kila mtu mpk sasa angekuwa keshagusa
 
Wanajamii Forum; picha hapo chini ni mti aina ya mkurunguunaodaiwa kuwa ulikauka miaka kadhaa iliopita baada ya magician with supernatural powers kupita katika kataiitwayo Usule hukooo….kama unaelekea kusini mashariki mwa Shinyanga vijijini . alifikia kwa chief nakufuata taratibu zote za kiitifaki naanga yote ilitanda askari wa kutungua roketi, mabomu ya ardhini, silaha za nyuklia na kuthibiti dhahama ya aina yeyote ilewananzengona kama kawaida ya kabila langu la ….. (ntuhu tabu, mawitogwa duhu koi hagalikoya……) walimwangusha ngondi lakini kuni za kuchomea zilikosekana baadawanawake kuzuiwa kuzurura hovyo kwenye maeneo ya ugeni . Hivyo mgeni rasmi alitoa tamkowenyeji waondoe hofu kwani kuni zipo,alitakiwa kutoa kuni mara aliamka na kulisota kidole mti wa mkurungu uliokuwajirani. Ulikauka palepale na kuni zikapatikana.
Rushia like hapa! nitaendeleaambaye yupo karibu na library ya shytown atupe details za huyu mtualikozikwa maana naskia ukigusa kaburi lake unapata super natural power kamayeye.
Kwa sasa nipo Njombena punde nitawaletea kuhusu ‘’nyumba nitu’’from Mlevela.

hii ni kiswahili cha google
 
kuna kitabu kinaitwa. MWANAMALUNDI, MTU MAARUFU KATIKA HISTORIA YA USUKUMA. NIKISIMOMA SIKU NYINGI SANA PALE MAKTABA YA MKOA MWANZA. SIJUI BADO KIPO? Kina historia nzuri sana yab mwanamalundi.
kuna kitabu kuhusu historia ya Ng'wana malundi nilikisoma long time. Kinaelezea mambo yake huyu jamaa aliwatesa sana wajerumani walimsafirisha hadi ng'wani (pwani) lkn walimrudisha sababu ya viroja na wakati anaondoka alimwacchia mama yake maziwa na kumwambia kuwa maziwa yakiganda wajue kuwa amekufa na hayakuganda kwa muda wa mwaka na nusu. Nafkiri historia ya extra ordinary people ktk afrika ilipotoshwa na wazungu hasa wabritish kwa makusudi ili kujenga jamii ya inferior africans, hata historia ya Kinjekitile na uwezo wake wa ajabu hasa kufuga wanyama wa aina zote na habari za vita vya maji maji imepotoshwa sana. Mungu akinisaidia napenda sana niandike kitabu kuhusu ''pre-colonial tanganyika mighty men and women''ni mengi ya msingi yapo. Anyway hicho kitabu cha ng'wana malundi kipo nyumbani kwa dingi yangu nikienda ntajaribu kumuomba atleast nikiscan nikiweke huku coz he's very strict about his books. As historian kuna mengi nimeona na kusikia kuhusu jamii yetu ambayo vizazi vyetu vinahitaji kusikia
 
Ni kweli mkuu ulichokisema hata mimi hicho kitabu nilikisoma miaka ya mwanzo ya tisini na kama ulivyoelekeza akienda Bujora lazima atakipata.

Hata hivyo usukumani kuna simulizi za watu wengi sana zaidi ya Ng'wanaMalundi. Kuna simulizi za watu wengine kama Ng'wanagasasala, Samike, na kuna mwingine nimemsahau jina alikuwa na uwezo wa kuruhusu mwili wake ujae na kufiti chumba, kuna simulizi zingine za visima kuwa na uwezo wa kumeza watu na kuwatoa baada ya siku kadhaa wakiwa hai, simulizi za maajabu ni nyingi sana.

Huyu bwana jina lake ni Ibambangulu alikufa siku moja baada ya kuwa amecheza huo mchezo wake wa kujaa nyumba wenzie walimtumia kuku aliye mdonoa kupitia upenyo mdogo kwenye hiyo nyumba kwani nymba zenyewe hazikuwa kama zile za akina lady jd.
 
Wanasema wazungu walikuja kupoteza historia zetu na kuleta za kwao kwani kama ingeandikwa kwenye vitabu na kusambazwa kama bible basi hata sisi tulikuwa na mungu wetu kama wachina au wahindi inasemekana Ng'wanamalundi alikua anaponya anaokoa watu kutoka kw
 
Kule Mwanza mjini sehemu moja panaitwa Kitangili kama kilometer 4 toka Mwanza mjini,kuna sehemu panaitwa JIWE KUU...pale alichimba BAO kwenye kwamba mkubwa wa jiwe na jins alivyokuwa anacheza BAO aliweka mkono chini Ile alama ipo pia jins alivyokaa wakati akicheza BAO alama ya makalio ipo,pia inaonekana wakati anajiandaa kucheza BAO mkononi alikuwa kabeba mkuki,Mwanamalundi akauchomeka kwenye jiwe utazani kazamisha kwenye mchanga,leo hii vyote vipo pâle,ukizungukia Mwanza nenda Kitangili utakuta hayo maajabu......!!
 
Kunatofauti kubwa sana kati ya historia na hadithi au habari fikirika,masimulizi (oral tradition)inaweza kuwa sahemu ya kuelezea historia ya jamii fulani lkn wasiwangu nikwamba sio kila mtu anayeweza kufanya hiyo kazi kwani kulikua na watu maalumu wa kuelezea hayo,tuwe makini sana kuhusu 'habari' za mwanamalundi.
 
Back
Top Bottom