nimekisoma tena jana ila ni hadithi tu sema meaneo yalitajwa katika kitabu hicho ni ya kweli,hadithi hii ilikuwa nzuri na ya kutisha enzi hizo
Hii si hadithi...mwanamalundi amepata kuexist....isipokuwa baadhi ya sifa anaongezewa..
Leo katika pita pita zangu kwenye makabrasha yangu nimekutana na hiii kitu..
Nimekumbuka mbali sana.
Nahitaji hiki kitabu jamani, nilikisoma nikiwa mdogo.
Nilikisoma nikiwa shule ya msingi, ni maajabu sana. Mwanamalundi, mtu maarufu katika historia ya Usukuma. Hivi Mwanamalundi ali-exist kweli Usukumani ama ni hadithi za kutunga tu. Nifafanulieni tafadhali
fanya uiapload mkuu tufaidike wote.kuna mtu namjua ana video yake niliipenda sana
fanya uiapload mkuu tufaidike wote.
Itakuwa vyema sana mkuu na unaweza kuitupia hata YouTube.ana cd yake labda nimtafute nicopy hyo cd kwenye PC ndo ni apload
Me pia ningependa kuiona video yake,
Tufanyie mchakato plz @mwaj waukweli