Mti mzuri wa kivuli usiochafua na majani

Mti mzuri wa kivuli usiochafua na majani

Panda mparachichi ukifikia level ya kutoa matunda unaweka shadenet chini yake ili matunda yasiangukie watu kichwani

Hapo utapata kivuli na matunda pia.
Sawa.
Kuna mtu hapa ananiambia na mistafeli eti ni mizuri pia
 
Mashine kazi muarobani ni green daily,kivuli iwe masika iwe kiangazi inatwanga tuuu.Nenda na muarobaini.
Miarobain nasikia mizizi inapasua kuta
 
  • Mshangao
Reactions: EEX
Majani ya miti yaliyoanguka pia ni urembo kwenye nyumba. Yanaonyesha uhai kwenye mazingira yako.

Cha msingi panda nyasi nzuri chini ya miti yako. Hapo cha kushughulika nacho ni hao popo tu, kama aina ya mti ndio unawavutia badilisha aina
Mimi sipendi haya majani mkuu.
 
Habari zenu wakuu.

Naomba msaada wa kuelezwa mti mzuri unaoleta kivuli lakini usio chafua mazingira kwa majani/vitunda.

Kwa sasa tuna hiyo miti pichani,ina kivuli na inaleta hewa nzuri ila tunataka tuikate tupande mingine maana hii kwanza inapendwa na popo ambao huharibu mazingira kwa kinyesi chao kwenye kuta za majengo na pia inamwaga majani mengi kiasi kwamba eneo linaonekana kama halisafishwi.

Vile vile nasikia(not sure) haifikishi miaka 10 inakufa.

So wakuu,naomba anayejua mti wowote mzuri wa kivuli hata ukiwa wa matunda anitajie mradi tu usiwe wa kuchafua kwa majani.

Natanguliza shukrani🙏View attachment 2687597View attachment 2687603
Style yako ya kujitangaza nimeipenda. Wakongwe tu ndo tunaelewa ulicho lenga ni nini.
 
Usipande hii utajuta.
Picha ya mdodoma please🙏
Ngoja nikipita maeneo nitapiga picha nikutumie hapa hapa maana nikisema kwa WhatsApp na hicho kivuli cha mzoa uchafu utastuka!😁😁😁
 
Style yako ya kujitangaza nimeipenda. Wakongwe tu ndo tunaelewa ulicho lenga ni nini.
Ndo mana mi natamani ningezaliwa mwanaume.
Sasa naongelea miti huku anatokea mwehu anasema najitangaza.
Najitangaza ili nifaidike nini wakati PM yangu nimeifunga?
Wanaojiuza/jitangaza humu hawafungi PM zao.
Najiheshimu na lengo la uzi wangu liko wazi hakuna kingine mkuu🙏
 
Ngoja nikipita maeneo nitapiga picha nikutumie hapa hapa maana nikisema kwa WhatsApp na hicho kivuli cha mzoa uchafu utastuka!😁😁😁
Ni kweli ningeshtuka mana whatsap yangu anai control mume wangu.
 
Dah! Nafanya imagination hapa
20230610_120945.jpg
20230523_195338.jpg
 
Back
Top Bottom