Mti mzuri wa kivuli usiochafua na majani

Mti mzuri wa kivuli usiochafua na majani

Midodoma ipoje?

Mistafeli inakomaa kwa muda gani? Tunda lake ni tamu kuliko.

-Kaveli-
Hivi mastafeli ndo haya huku Mbeya tunaita matopetope? Nimeyaotea Mwanjelwa mkuu kwa buku buku! Ila kuna sehemu nimepanda yanachukua more than 5 years kuanza kuzaa! Na mti wake sio wa kivuli kivile
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    1.1 MB · Views: 13

Attachments

  • AD52E413-65C9-4FD8-A68C-C3FFCD908852.jpeg
    AD52E413-65C9-4FD8-A68C-C3FFCD908852.jpeg
    47.3 KB · Views: 12
Habari zenu wakuu.

Naomba msaada wa kuelezwa mti mzuri unaoleta kivuli lakini usio chafua mazingira kwa majani/vitunda.

Kwa sasa tuna hiyo miti pichani,ina kivuli na inaleta hewa nzuri ila tunataka tuikate tupande mingine maana hii kwanza inapendwa na popo ambao huharibu mazingira kwa kinyesi chao kwenye kuta za majengo na pia inamwaga majani mengi kiasi kwamba eneo linaonekana kama halisafishwi.

Vile vile nasikia(not sure) haifikishi miaka 10 inakufa.

So wakuu,naomba anayejua mti wowote mzuri wa kivuli hata ukiwa wa matunda anitajie mradi tu usiwe wa kuchafua kwa majani.

Natanguliza shukrani🙏View attachment 2687597View attachment 2687603
Nyie! Mungu fundi
 
Mti wenye kivuli na usiodondosha majani au mbegu nyingi ni Mkoramaji, wengine huiita Mdodoma, kisayansi unaitwa Trichilia emetica.
Kwa Dar hii inapatikana kwa wauza miche ya miti?
 
Ndo mana mi natamani ningezaliwa mwanaume.
Sasa naongelea miti huku anatokea mwehu anasema najitangaza.
Najitangaza ili nifaidike nini wakati PM yangu nimeifunga?
Wanaojiuza/jitangaza humu hawafungi PM zao.
Najiheshimu na lengo la uzi wangu liko wazi hakuna kingine mkuu🙏
Unatamani kuwa mwanaume? Kweli ? Una uhakika? Kuna miti ipo sehemu moja hapa Mbezi sijui jina lake ila ni the best kwa kivuli na inapukutisha majani kidogo sana. Ungepata muda ningekuelekeza sehemu moja pia nliambiwa ipo huko Tabata. Ni mizuri sana. Na inakua kwa haraka sana kisha juu inatanuka.
 
Ndo mana mi natamani ningezaliwa mwanaume.
Sasa naongelea miti huku anatokea mwehu anasema najitangaza.
Najitangaza ili nifaidike nini wakati PM yangu nimeifunga?
Wanaojiuza/jitangaza humu hawafungi PM zao.
Najiheshimu na lengo la uzi wangu liko wazi hakuna kingine mkuu[emoji120]
Pole sana hao ndo meen
 
Habari zenu wakuu.

Naomba msaada wa kuelezwa mti mzuri unaoleta kivuli lakini usio chafua mazingira kwa majani/vitunda.

Kwa sasa tuna hiyo miti pichani,ina kivuli na inaleta hewa nzuri ila tunataka tuikate tupande mingine maana hii kwanza inapendwa na popo ambao huharibu mazingira kwa kinyesi chao kwenye kuta za majengo na pia inamwaga majani mengi kiasi kwamba eneo linaonekana kama halisafishwi.

Vile vile nasikia(not sure) haifikishi miaka 10 inakufa.

So wakuu,naomba anayejua mti wowote mzuri wa kivuli hata ukiwa wa matunda anitajie mradi tu usiwe wa kuchafua kwa majani.

Natanguliza shukrani🙏View attachment 2687597View attachment 2687603

Nani ameona kivuli cha mpiga picha ?
 
Mti wenye kivuli na usiodondosha majani au mbegu nyingi ni Mkoramaji, wengine huiita Mdodoma, kisayansi unaitwa Trichilia emetica.
Ni kweli mkoramaji ni mzuri ila sasa mpaka uje utoe kivuli cha kueleweka sio leo. Unaeza subiri 5 years bado kivuli kinasua sua.

Kuna mtu kashauri mstafeli, ila kwa mimi sijawahi kuona mstafeli wenye kivuli. Hua inanyooka tu kwenda juu. Pia mimi mistafeli niliikata baada ya kuniletea ule ugonjwa wa wadudu weupe ambao nahangaika nao hadi leo.

Ushauri wangu tafuta miashoki dume. Hakikisha ni dume maana jike ndio ile hunyooka na kurefuka sana. Miashoki dume inaangusha majani kidogo sana, haina matunda, ina kivuli kizuri, na haichukui muda sana kuota.
 
Unatamani kuwa mwanaume? Kweli ? Una uhakika? Kuna miti ipo sehemu moja hapa Mbezi sijui jina lake ila ni the best kwa kivuli na inapukutisha majani kidogo sana. Ungepata muda ningekuelekeza sehemu moja pia nliambiwa ipo huko Tabata. Ni mizuri sana. Na inakua kwa haraka sana kisha juu inatanuka.
Ndio ninatamani kuwa mwanaume.Kuwa mwanamke ni mateso mengi tu.Ikitokea muujiza Mungu aniambie anifanyie nini fasta ningemuomba anibadili jinsia.

Naomba unisaidie tupate jina lake au japo picha.🙏
 
Back
Top Bottom