Kaveli
JF-Expert Member
- Dec 4, 2012
- 5,443
- 8,903
Sawa.
Kuna mtu hapa ananiambia na mistafeli eti ni mizuri pia
Mistafeli inachukua miaka mingapi tunda lake kuliwa?
-Kaveli-
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa.
Kuna mtu hapa ananiambia na mistafeli eti ni mizuri pia
Watu Wana Afya Mamelod Wa FIFA Hagusi KabisaDah! Kwa hilo umbo lake tu, hakika anahitaji miti isiyochafua mazingira kwa kweli.
Hiyo Ndiyo Habari Kubwa Hapa Na Issue Ya Mti Ni NdogoWahuni mshaanza kujadili kivuli[emoji4]
Hivi mastafeli ndo haya huku Mbeya tunaita matopetope? Nimeyaotea Mwanjelwa mkuu kwa buku buku! Ila kuna sehemu nimepanda yanachukua more than 5 years kuanza kuzaa! Na mti wake sio wa kivuli kivileMidodoma ipoje?
Mistafeli inakomaa kwa muda gani? Tunda lake ni tamu kuliko.
-Kaveli-
Hivi mastafeli ndo haya huku Mbeya tunaita matopetope? Nimeyaotea Mwanjelwa mkuu kwa buku buku! Ila kuna sehemu nimepanda yanachukua more than 5 years kuanza kuzaa! Na mti wake sio wa kivuli kivile
Ni specie hizo hizo mkuu,tofauti ni kidogo sana moja kama lina miba moja kama lina manundu! Hata scientific names zake ni mule mule! Hilo Stafeli ni Annona Muricata na hili topetope ni Annona Chirimoya! Utamu unaendana pia
Nyie! Mungu fundiHabari zenu wakuu.
Naomba msaada wa kuelezwa mti mzuri unaoleta kivuli lakini usio chafua mazingira kwa majani/vitunda.
Kwa sasa tuna hiyo miti pichani,ina kivuli na inaleta hewa nzuri ila tunataka tuikate tupande mingine maana hii kwanza inapendwa na popo ambao huharibu mazingira kwa kinyesi chao kwenye kuta za majengo na pia inamwaga majani mengi kiasi kwamba eneo linaonekana kama halisafishwi.
Vile vile nasikia(not sure) haifikishi miaka 10 inakufa.
So wakuu,naomba anayejua mti wowote mzuri wa kivuli hata ukiwa wa matunda anitajie mradi tu usiwe wa kuchafua kwa majani.
Natanguliza shukrani🙏View attachment 2687597View attachment 2687603
Kwa Dar hii inapatikana kwa wauza miche ya miti?Mti wenye kivuli na usiodondosha majani au mbegu nyingi ni Mkoramaji, wengine huiita Mdodoma, kisayansi unaitwa Trichilia emetica.
Unatamani kuwa mwanaume? Kweli ? Una uhakika? Kuna miti ipo sehemu moja hapa Mbezi sijui jina lake ila ni the best kwa kivuli na inapukutisha majani kidogo sana. Ungepata muda ningekuelekeza sehemu moja pia nliambiwa ipo huko Tabata. Ni mizuri sana. Na inakua kwa haraka sana kisha juu inatanuka.Ndo mana mi natamani ningezaliwa mwanaume.
Sasa naongelea miti huku anatokea mwehu anasema najitangaza.
Najitangaza ili nifaidike nini wakati PM yangu nimeifunga?
Wanaojiuza/jitangaza humu hawafungi PM zao.
Najiheshimu na lengo la uzi wangu liko wazi hakuna kingine mkuu🙏
Pole sana hao ndo meenNdo mana mi natamani ningezaliwa mwanaume.
Sasa naongelea miti huku anatokea mwehu anasema najitangaza.
Najitangaza ili nifaidike nini wakati PM yangu nimeifunga?
Wanaojiuza/jitangaza humu hawafungi PM zao.
Najiheshimu na lengo la uzi wangu liko wazi hakuna kingine mkuu[emoji120]
Habari zenu wakuu.
Naomba msaada wa kuelezwa mti mzuri unaoleta kivuli lakini usio chafua mazingira kwa majani/vitunda.
Kwa sasa tuna hiyo miti pichani,ina kivuli na inaleta hewa nzuri ila tunataka tuikate tupande mingine maana hii kwanza inapendwa na popo ambao huharibu mazingira kwa kinyesi chao kwenye kuta za majengo na pia inamwaga majani mengi kiasi kwamba eneo linaonekana kama halisafishwi.
Vile vile nasikia(not sure) haifikishi miaka 10 inakufa.
So wakuu,naomba anayejua mti wowote mzuri wa kivuli hata ukiwa wa matunda anitajie mradi tu usiwe wa kuchafua kwa majani.
Natanguliza shukrani🙏View attachment 2687597View attachment 2687603
Ni kweli mkoramaji ni mzuri ila sasa mpaka uje utoe kivuli cha kueleweka sio leo. Unaeza subiri 5 years bado kivuli kinasua sua.Mti wenye kivuli na usiodondosha majani au mbegu nyingi ni Mkoramaji, wengine huiita Mdodoma, kisayansi unaitwa Trichilia emetica.
Vijana wa hovyo Sana[emoji4]Vichwa vyao vimejaa ngono tu
Ndiyo kunguru wanafata matunda hayoKumbe na kunguru pia.
Ndio ninatamani kuwa mwanaume.Kuwa mwanamke ni mateso mengi tu.Ikitokea muujiza Mungu aniambie anifanyie nini fasta ningemuomba anibadili jinsia.Unatamani kuwa mwanaume? Kweli ? Una uhakika? Kuna miti ipo sehemu moja hapa Mbezi sijui jina lake ila ni the best kwa kivuli na inapukutisha majani kidogo sana. Ungepata muda ningekuelekeza sehemu moja pia nliambiwa ipo huko Tabata. Ni mizuri sana. Na inakua kwa haraka sana kisha juu inatanuka.