Mti mzuri wa kivuli usiochafua na majani

Mti wenye kivuli na usiodondosha majani au mbegu nyingi ni Mkoramaji, wengine huiita Mdodoma, kisayansi unaitwa Trichilia emetica.
Ndo huo hapo?
Sijawahi kuuona.
 
Okay.

Ukimuambia muuza miti anipe muashoki dume ataelewa tu mkuu?
 
Ndo huo hapo?
Sijawahi kuuona.View attachment 2688263
Miti tunayoiita Midodoma ni kama hii kwenye picha, bahati mbaya nimepiga usiku sina hakika kama inaonekana vizuri. Lakini kikubwa unachopaswa kuangalia ni hiyo morphology ya canopy cover maana ndicho kivuli chenyewe. Hapo ina kama miaka mitatu!
 

Attachments

  • 20230714_202715.jpg
    949.7 KB · Views: 56
  • 20230714_202539.jpg
    465 KB · Views: 54
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…