miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,811
- 49,053
Kwani hujui kuwa mke ni msaidiz…? Unahisi alikuwa na kaz gan…? Jamaa alitakiwa ku populate na kuitawala Bustani, so msaidiz kaja kwa ajili ya kazi hizo...
mke ni msaidizi lakini why akusema kuwa wafanye mapenzi akuwaambia... ila baada ya kugundua tunda la utamu akaja kuweka amri ya sita USIZINI alafu ni amri ambayo wanafanya wengi tena kwa sifa sana..