appoh
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 5,262
- 2,184
Kwa hiyo kwa kuhitimisha, nini ni MTI WA KATIKATI?
nasikia alikula tigo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo kwa kuhitimisha, nini ni MTI WA KATIKATI?
nasikia alikula tigo
sasa jiulize tunda gani walikula ?
Ujue kwenye hilo suala la tunda kila mtu ana tafsiri yake lakini hakuna ambaye ana uhakika sana kilikuwa ni kitu gani walifanya... Ila labda nikukumbushe kitu kwenye mafundisho tunaambiwa kuwa kwenye lile shamba kulikuwa na miti ya aina mbalimbali mfano mti wa uzima(ambao INASEMEKANA wangewahi kuula hata baada ya kutolewa shambani kwa UTOVU wa nidhamu bado wangeweza kuishi mpaka sasa na vizazi vyao pia) na ule waliokula(waliokatazwa) uliwafanya wagundue wapo uchi(hapa tunaweza kusema walikula mti wa ufahamu wa mema/mabaya)....
Mie kwa mtizamo wangu mwenyewe ninaweza kusema kuwa ni mpaka mtu aweze kufunuliwa na roho mtakatifu ndipo anaweza kupata ufahamu ulikuwa ni mti gani vinginevyo wengi wetu tutaishia kukisia kisia tu mambo kwa kuwa hakuna mwenye uhakika kabisa kwenye hili jambo....
Ngoja nianze maombi nifunuliwe mimi ..sasa je jamii itakubaliana na mimi
Jamii itakubaliana nawe kama ukimuomba roho mtakatifu atumie kinywa chako katika kuhubiri habari njema ya maono uliyopewa
kule kwetu lushoto wanasema ni "komamanga"kiswahili sijui wanalitaje hilo tunda.Kila mtu anajibu lake wapo wanaosema ni apple sababu ya utamu wake ukienda mbeya (uyole na inyara) wanaona inaweza kuwa ni mikusu sababu ni mitamu balaaa ukienda njombeh wanadai ni peazi...dodoma wanasema zabibu.......kazi kupata jibu.
Mama weeeee... Alikua mtoto wa nani..!?inasemekana hata mtoto wa kwanza mwenye jina la kaini hakua mtoto halali wa adam na ndio maana alikua na roho mbaya na ndio kizazi kilichoendelea mpaka leo
Kristo alikufa, Kristo alifufuka, Kristo atakuja tena...