Mti waliokatazwa Adamu na Hawa kula ulikuwa mti gani?

Mti waliokatazwa Adamu na Hawa kula ulikuwa mti gani?

Nimetoa angalizo hapo maana hutashindwa kuniuliza MUNGU ni nani....


Napitia bible kila siku... na sijapata maana ya mti wa katikati ambao ADAM na HAWA walikatazwa kula....

Je ni mti gani maana nikijenga picha bado sipati..

Karibun kwa mjadala

Mambo mengine kwa akili ya kibinadamu huwezi kuyaelewa. Nakushauri ujisajili darasa/masomo ya Tauhidi labda utaelewa.
 
wish adam na eve wangekuwa wachina wangemla yule nyoka na paradise ingeendelea kuwapo hadi leo
 
  • Mungu aliuweka mti wa ujuzi wa mazuri na mabaya katika bustani ya Edeni ili awape Adamu na Hawa chaguo la kumtii au kutomtii.
  • Wengi wanasema kuwa mti wa katikati ni kuvunja amri au kuzini, sivyo, Biblia haimumunyi maneno, kuna mahali wameweza kuandika walawiti wangeshindwa nini kuandika juu ya huo mti.
  • Siku tukijaliwa kukutana uso kwa uso na MUNGU atatupa ufafanuzi wa huo mti.
 
Kwa hiyo kwa kuhitimisha, nini ni MTI WA KATIKATI?
 
mti huo ni ubooo na kmaku.....
Na ndio maana baada ya ile
shughuli wakagundua wako utchi....
Kmaku...wema wake ni kupata mtoto
ubaya wake ni kwenda mwezini najisi...

LIni mtu(Eva) akachuma hicho ulichosema mahala na akaja akamletea na Adamu akala!! Kizazi cha nyoka kila kitu ni ngono tu hakuna kitu kinafikiri!!
 
story ya kutunga, dini zisipokua na maelezo yanayoweza kundulika uongo wake hata kwa mtoto wa darasa la kwanza wanaanza kuja na lugha tata ( spooky language ).
 
kama biblia inasema wazi bila kuficha neno, kwanini iandikwe tunda,​ tena la kula,kisha walipokula he! kimbe wako uchi
 
  • Mungu aliuweka mti wa ujuzi wa mazuri na mabaya katika bustani ya Edeni ili awape Adamu na Hawa chaguo la kumtii au kutomtii.
  • Wengi wanasema kuwa mti wa katikati ni kuvunja amri au kuzini, sivyo, Biblia haimumunyi maneno, kuna mahali wameweza kuandika walawiti wangeshindwa nini kuandika juu ya huo mti.
  • Siku tukijaliwa kukutana uso kwa uso na MUNGU atatupa ufafanuzi wa huo mti.

Lakini mungu alikuwa kisha wabariki wakazaliane, kwahyo kama ni sex wangefanya tu. Hivyo sio kweli kuwa mti ule ndio tendo la sex
 
.... Mungu aliwahukumu kwa kukosa utii na si kwa sababu ya tunda walilokula, you pipo mbona u great thinker wenu siuoniii...???
 
Back
Top Bottom