Mtibeli leo nitakuwa Kanisa la Wasabato Magomeni. Ninawakaribisha wôte.

Mtibeli leo nitakuwa Kanisa la Wasabato Magomeni. Ninawakaribisha wôte.

Sabato Njema!

Kwa Neema ya Yule Mwenye Ñguvu, Mola Mlezi, Mungu mwenye Ñguvu, na utukufu. Mtakatifu atupaye utukufu na kutufanya tuheshimike.
Atupaye Akili Zenye Akili, huyo tunayemtumainia na kwake tunajivunia yeye pekee.

Huyo àmbaye amewashikilia Adui zetu. Tenà amewapa Hofu ya kututendea Yale Mabaya.

Huyo mmoja na wapekee, aliyetuweka mbele ya Adui zetu Kwa Miaka na Miaka, aliyetuweka mbele Kwa kizazi na kizazi juu Yao.

Huyo aliyewaangusha mara elfu na kuwaweka chini Kabisa wale waliothubutu kusogea katika njia zetu. Akaangusha mawazo Yao, akafuta Majina Yao, na vizazi vyao vikabaki shimoni Siku nyingi.

Huyo na Wala hapana Mwingine tunayemuamini, Wala hapana tumtegemeaye isipokuwa yeye.

Yeye mwenyewe alisema, ndiye Baba yetu. Nasi tuwatoto wake.

Leo Mtibeli atakuwa Kanisa la Wasabato la Magomeni. Karibuni wote

Sabato Njema

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Sabath njema wote...
 
Hao wasabato ndo waislamu walio potea( lost muslim) hao hawakupashwa kua wa kuristo ni wastaarabu, hawana chuki na mtu wanamisimamo thabiti wa safi kama waislamu, maubili yao hayatishi sana walipashwa kua katika kundi la wa islamu.......tstizo lao kubwa ni kumshirikisha Mungu na Yesu kwamba nayeye ni Mungu.
Acha kuwafananisha wana wa Hellen.G.White na wahuni
 
Wasabato na mashahidi wa jehova nimesoma vijarida vyenu sana, kuna kitabu kimoja cha kisabato kinaitwa pambano kuu kama sikosei🤔🤔🤔
 
Sabato Njema!

Kwa Neema ya Yule Mwenye Ñguvu, Mola Mlezi, Mungu mwenye Ñguvu, na utukufu. Mtakatifu atupaye utukufu na kutufanya tuheshimike.
Atupaye Akili Zenye Akili, huyo tunayemtumainia na kwake tunajivunia yeye pekee.

Huyo àmbaye amewashikilia Adui zetu. Tenà amewapa Hofu ya kututendea Yale Mabaya.

Huyo mmoja na wapekee, aliyetuweka mbele ya Adui zetu Kwa Miaka na Miaka, aliyetuweka mbele Kwa kizazi na kizazi juu Yao.

Huyo aliyewaangusha mara elfu na kuwaweka chini Kabisa wale waliothubutu kusogea katika njia zetu. Akaangusha mawazo Yao, akafuta Majina Yao, na vizazi vyao vikabaki shimoni Siku nyingi.

Huyo na Wala hapana Mwingine tunayemuamini, Wala hapana tumtegemeaye isipokuwa yeye.

Yeye mwenyewe alisema, ndiye Baba yetu. Nasi tuwatoto wake.

Leo Mtibeli atakuwa Kanisa la Wasabato la Magomeni. Karibuni wote

Sabato Njema

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Amina. Barikiwa.
 
Asante sana mkuu 😊

Nimesoma Sana hivyo nikiwa under ten years.
Vimenisaidia kujua Dunia ya Wakati wa kale nikiwa mdogo Sana

Nilivisoma kama vitabu vya kihistoria na vya kuelimisha sikuvisoma kama vitabu vya Dini.

Kûna vitabu kadhaa nje ya vitabu vya Wasabato kama

1. Jitihada za Aina binadamu katika kumtafuta Mungu waô
2. Bahaula na Siku zetu
3. Maisha ya Mtume Muhammad n.k.

Vitafute ni vizuri
 
Nimesoma Sana hivyo nikiwa under ten years.
Vimenisaidia kujua Dunia ya Wakati wa kale nikiwa mdogo Sana

Nilivisoma kama vitabu vya kihistoria na vya kuelimisha sikuvisoma kama vitabu vya Dini.

Kûna vitabu kadhaa nje ya vitabu vya Wasabato kama

1. Jitihada za Aina binadamu katika kumtafuta Mungu waô
2. Bahaula na Siku zetu
3. Maisha ya Mtume Muhammad n.k.

Vitafute ni vizuri
Huwa vitabu vyote ikiwa pamoja na biblia ninavisoma kama riwaya tu, kama ile riwaya ya siku njema ya keni walibora🤔

Nitavisoma hivyo pia.
 
Hao wasabato ndo waislamu walio potea( lost muslim) hao hawakupashwa kua wa kuristo ni wastaarabu, hawana chuki na mtu wanamisimamo thabiti wa safi kama waislamu, maubili yao hayatishi sana walipashwa kua katika kundi la wa islamu.......tstizo lao kubwa ni kumshirikisha Mungu na Yesu kwamba nayeye ni Mungu.
Natamani Mufti mkuu WA Tanzania awadai warudi nyumbani kwenye uislam maana ñi wakristo feki wanaopaswa kuwa na jina lingine... wengine ni Mormon na witness,,,njooni hata kesho asubuhi muwachukue,,,hatuwataki kabisa..
 
Nimesoma Sana hivyo nikiwa under ten years.
Vimenisaidia kujua Dunia ya Wakati wa kale nikiwa mdogo Sana

Nilivisoma kama vitabu vya kihistoria na vya kuelimisha sikuvisoma kama vitabu vya Dini.

Kûna vitabu kadhaa nje ya vitabu vya Wasabato kama

1. Jitihada za Aina binadamu katika kumtafuta Mungu waô
2. Bahaula na Siku zetu
3. Maisha ya Mtume Muhammad n.k.

Vitafute ni vizuri
Maisha ya Mtume Muhammad yanasisimua sana wallah
 
Back
Top Bottom