Mtibwa Sugar 0-0 Simba SC | Ligi kuu Bara| Manungu Morogoro

Mtibwa Sugar 0-0 Simba SC | Ligi kuu Bara| Manungu Morogoro

Ubingwa ni wetu ni Jambo la muda tu
[emoji23][emoji23][emoji23]
IMG-20220121-WA0003.jpg
 
Kocha amesha ambiwa, akianza kupiga viti atafungwa kamba.kwasasa ameonyesha utulivu Kama yupo Madrid.

Mpira ni mapumziko na viongozi wa Simba wanajaribu kutafuta eneo lililo inuka ili wapate WIFI kwakua kocha anataka kuwasiliana na Zidane maana mechi imekuwa ngumu.
Ahahaaaaaa.....
 
Tupo mzunguko wa kwanza,ligi bado ni mbichi.

Msimu huu Simba anabeba ubingwa wala msihofu wanasimba wenzangu.leo atujafungwa tume draw na point moja mkononi.
Hii kusuasua ya mzunguko huu wa kwanza autotokea mzunguko wa pili,timu itaimarika zaidi na ubingwa ni wa Simba.

Wanaojinasibu sasa watakuja kulia na kulalama mzunguko wa pili.

Nguvu moja.
 
Tupo mzunguko wa kwanza,ligi bado ni mbichi.

Msimu huu Simba anabeba ubingwa wala msihofu wanasimba wenzangu.leo atujafungwa tume draw na point moja mkononi.
Hii kusuasua ya mzunguko huu wa kwanza autotokea mzunguko wa pili,timu itaimarika zaidi na ubingwa ni wa Simba.

Wanaojinasibu sasa watakuja kulia na kulalama mzunguko wa pili.

Nguvu moja.
tatizo ni kwenye nguvu moja, imeisha imebaki nguvuless
 
Tupo mzunguko wa kwanza,ligi bado ni mbichi.

Msimu huu Simba anabeba ubingwa wala msihofu wanasimba wenzangu.leo atujafungwa tume draw na point moja mkononi.
Hii kusuasua ya mzunguko huu wa kwanza autotokea mzunguko wa pili,timu itaimarika zaidi na ubingwa ni wa Simba.

Wanaojinasibu sasa watakuja kulia na kulalama mzunguko wa pili.

Nguvu moja.
Nguvu 0 hapo[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wanafanya hujuma za wazi wazi kabisa

Hii TFF kwasababu simba ilikataa mkataba wa mchongo aliosaini na GSM basi TFF imekuwa ikimuandama simba
Kwenye kizingiti weka ndalama
 
Hili nikwamaslahi ya soka letu.tukiendelea na ujinga na ushabiki maandazi kama huu kamwe usitegemee soka la nchi kufika mbali.Maendeleo ya mpira ni pamoja na miundombinu bora.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Kwa masirahi pamana ya soka kila timu iwe na uwanja wake Mtibwa wameweza mmeenda mkacheza vizuri tu uzuri hamjafungwa mngefungwa ungekuwa utetezi wenu, sasa na nyie wapelekeni Mtibwa kwenye uwanja wenu wa Bunju mbona Mtibwa wameweza nyie mshindwe mna nini?
 
Tupo mzunguko wa kwanza,ligi bado ni mbichi.

Msimu huu Simba anabeba ubingwa wala msihofu wanasimba wenzangu.leo atujafungwa tume draw na point moja mkononi.
Hii kusuasua ya mzunguko huu wa kwanza autotokea mzunguko wa pili,timu itaimarika zaidi na ubingwa ni wa Simba.

Wanaojinasibu sasa watakuja kulia na kulalama mzunguko wa pili.

Nguvu moja.
Yani ww yafaa uwe katika kitengo cha ushauri na saha kwa mane no matamu maana wagonjwa wote wa ukimwi hawatokufa kwa maneno matamu
 
Back
Top Bottom